Neno "HAPA KAZI TU" Layeyuka mithili ya theluji wakati wa kiangazi

Neno "HAPA KAZI TU" Layeyuka mithili ya theluji wakati wa kiangazi

Sijawahi kuona Slogan iliyokufa kifo cha mende haraka kama hii , hivi hawa mataga hawakuamini kwenye msemo huu , au ndio ile kauli ya ASIYEKUWEPO NA LAKE HALIPO?

Onyo : Usithubutu kuwaamini wapambe , na hasa wakiwa wachumia tumbo
Mama alisema kuwa kuanzia sasa ni KAZI IENDELEE, sasa nimeshajua tabia za Watanzania.
 
Sijawahi kuona Slogan iliyokufa kifo cha mende haraka kama hii , hivi hawa mataga hawakuamini kwenye msemo huu , au ndio ile kauli ya ASIYEKUWEPO NA LAKE HALIPO?

Onyo : Usithubutu kuwaamini wapambe , na hasa wakiwa wachumia tumbo
naikumbuka ile ya Mabadilikooo
 
Sijawahi kuona Slogan iliyokufa kifo cha mende haraka kama hii , hivi hawa mataga hawakuamini kwenye msemo huu , au ndio ile kauli ya ASIYEKUWEPO NA LAKE HALIPO?

Onyo : Usithubutu kuwaamini wapambe , na hasa wakiwa wachumia tumbo

Nahodha wa mashua amebadilika. Ila kazi alizonazo ni zile zile
 
Back
Top Bottom