Sijawahi kuona Slogan iliyokufa kifo cha mende haraka kama hii , hivi hawa mataga hawakuamini kwenye msemo huu , au ndio ile kauli ya ASIYEKUWEPO NA LAKE HALIPO ?
Onyo : Usithubutu kuwaamini wapambe , na hasa wakiwa wachumia tumbo
Ndiyo unavyojiaminisha. Bado sana kufuta legacy ya Magufuli unahitaji bomb la scud.Vinginevyo unapoteza mudaSijawahi kuona Slogan iliyokufa kifo cha mende haraka kama hii , hivi hawa mataga hawakuamini kwenye msemo huu , au ndio ile kauli ya ASIYEKUWEPO NA LAKE HALIPO ?
Onyo : Usithubutu kuwaamini wapambe , na hasa wakiwa wachumia tumbo
HAPA KAZI TU IENDELEESijawahi kuona Slogan iliyokufa kifo cha mende haraka kama hii , hivi hawa mataga hawakuamini kwenye msemo huu , au ndio ile kauli ya ASIYEKUWEPO NA LAKE HALIPO ?
Onyo : Usithubutu kuwaamini wapambe , na hasa wakiwa wachumia tumbo
Nimeipenda hii bure mwanangu na Mungu azidi kukupa maarifa.
Alafu kuna wajinga watatu Assad. Lema na Lisu wanatokwa povu kutuaminisha kwamba Magufuli alikuwa zero tu.
Hata mabeberu yanayowalea Ulaya yamewakana sasa.
Umoja wa mataifa wasimama kumlilia hayati rais Magufuli.
Kaa kimya wewe Mzilankende hayupo tena , Mama ashawatoa Ikulu leo bado anaendelea kuwasafisha wachumia tumboWewe tuliza mshono!! Sasa tunasema KAZI IENDELEE! Hapo ni sawa na Hapa Kazi Tu!!
πππImebaki mdomoni mwa profesa Lumumba wakenya ....sasa hatujui atatoa wapi pesa zakumtangazia bygone wetu(magufulification inahitaji pesa
Hivi ndivyo CAG alivyowabana MATAGA.Nimecheka kinyama !
Ona lisu naye kapoteaSijawahi kuona Slogan iliyokufa kifo cha mende haraka kama hii , hivi hawa mataga hawakuamini kwenye msemo huu , au ndio ile kauli ya ASIYEKUWEPO NA LAKE HALIPO ?
Onyo : Usithubutu kuwaamini wapambe , na hasa wakiwa wachumia tumbo
Wamebaki na kamsemo ka kinyonge sana" kazi iendelee" hawasemi hata ni kazi gani.π π πSijawahi kuona Slogan iliyokufa kifo cha mende haraka kama hii , hivi hawa mataga hawakuamini kwenye msemo huu , au ndio ile kauli ya ASIYEKUWEPO NA LAKE HALIPO ?
Onyo : Usithubutu kuwaamini wapambe , na hasa wakiwa wachumia tumbo
Lissu yuko hai anakula bata. Big tree is lost, small axe has done the work.Ona lisu naye kapotea
Na kwenye hayo mandege yao wasipofuta hilo neno yatapukutika yote .Wamebaki na kamsemo ka kinyonge sana" kazi iendelee" hawasemi hata ni kazi gani.π π π
Sasa jamaa anawaambia kazi tu kumbe linawaibia. Watu tumekuja kusanuka mchizi yupo kwenye futi sita thereunder. Dah πSijawahi kuona Slogan iliyokufa kifo cha mende haraka kama hii , hivi hawa mataga hawakuamini kwenye msemo huu , au ndio ile kauli ya ASIYEKUWEPO NA LAKE HALIPO ?
Onyo : Usithubutu kuwaamini wapambe , na hasa wakiwa wachumia tumbo
Hapa kazi tu limeenda zake na mwendazakeSijawahi kuona Slogan iliyokufa kifo cha mende haraka kama hii , hivi hawa mataga hawakuamini kwenye msemo huu , au ndio ile kauli ya ASIYEKUWEPO NA LAKE HALIPO ?
Onyo : Usithubutu kuwaamini wapambe , na hasa wakiwa wachumia tumbo
Nimegundua kuna haja ya "like" kuwa na madaraja ili comment kama hii ipate stahiki yake ambayo ni daraja la juu kabisa. Nimecheka sana mkuu. You have made my day.Hivi ndivyo CAG alivyowabana MATAGA.View attachment 1754127
Sijawahi kuona Slogan iliyokufa kifo cha mende haraka kama hii , hivi hawa mataga hawakuamini kwenye msemo huu , au ndio ile kauli ya ASIYEKUWEPO NA LAKE HALIPO ?
Onyo : Usithubutu kuwaamini wapambe , na hasa wakiwa wachumia tumbo