Pre GE2025 Neno langu la mwisho kwa Mbunge mkalia kuti kavu CCM

Pre GE2025 Neno langu la mwisho kwa Mbunge mkalia kuti kavu CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Kwa lugha ya kisasa kisiasa, unaweza kusema yupo ukingoni jikoni, kikaangoni anakaangwa...

Neno langu la muhimu sana kwake ni kwamba, haipo taasisi popote duniani, isiyo na utaratibu wa kufanya mambo yake, iwe ya kisiasa, kijamii au kiuchumi.

Haiwezekani utaratibu wa taasisi unaelekeza mambo yafanyike hivi ila wewe unafanya kinyume chake kwa makusudi.

Kwa mfano taasisi x utaratibu wa maisha ya wanachama wake Lazima kuanza kuvaa viatu mguu wa kulia, lakini wewe unaanza kuvaa mguu wa kushoto kwa kujua kabisa ni makosa, lakini kwa jeuri na kiburi cha skio la kufa wewe hujali na unakiuka utaratibu.

Nenda unako enda, kiuka utaratibu, mila desturi na utamaduni wa taasisi hiyo, you will not survive completely...

Kizuri ni kwamba unaweza kua huru na mwenye haki, ukuamua kujiondoa kwa hiari yako na kujiunga na taasisi nyingine ikiwa unahisi hupendezwi na mambo ya kuanza kuvaa viatu mguu wa kulia, hali ya kua wewe unapendelea kuanzia mguu wa kushoto. Toka kwa amani, na uende kwa uhuru tafadhali..

Ni lazima na muhimu sana uendako kuzingatia kanuni, taratibu, miongozo na sheria za taasisi husika, kwa kufanya kazi kama timu moja bila kuathiri misingi ya taasisi yenyewe, mila, desturi na utamaduni wa mtindo wa maisha ya taasisi hiyo.

Vinginevyo huwezi kudumu popote utakako kwendra, kwa kuishi kwa tabia na majivuno yako yenye ujuaji mwingi hali ya kua mbele kiza...

Mwanzo wa mwisho wako CCM uliuanza mwenyewe kwa hasira na chuki za kutemwa barazani, na una uhitimisha mwenyewe kwa kishindo, cha kusingizia watu vitu visivyo na uhakika wowote.

Kwa kukubali kurubuniwa kwa kulamba asali na kuufanya uongo kua kweli, kwa tamaa ya fedha na mali, za wahujumu uchumi, waliokusudia kuhatarisha amani na utulivu wa Taifa, uzalendo wako ni wa mashaka sana.

Na katika muda usio kua mrefu utaondoka ccm, utaondoshwa au utabanduliwa rasmi CCM bila wasi wasi wowote.

Na walio nyuma ya jeuri na kiburi yako hiyo unayoonyesha kwa chama na serikali sikivu ya CCM, watabainishwa bayana na kuanza kutajana rasmi kwa majina yao, moja baada ya mwingine.

Kiufupi huna tena maisha wala uhai wa uanachama CCM. na hata ukiachwa huta kua na furaha wala amani ndani ya chama kwa heshma na ustaarabu ondoka CCM.

Utakapojikuta umeshiwa nguvu na ushawishi kisiasa, ujue sasa ni rasmi uko nje ya CCM, na hizo ndizo miongoni mwa athari utakazo kutana nazo ukiwa upinzani.

Lakini pia, nguvu ya utamu wa sukari ya makampuni ya sukari uliyolambishwa itakapokua imeisha ladha mdomoni kwako, vile vile utaanza kubaini kwamba uzushi unaweza kukusababishia uchungu wewe mwenyewe na kuathiri maisha ya kisiasa 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
lakini pia,
nguvu ya utamu wa sukari ya makampuni ya sukari uliyolambishwa itakapokua imeisha ladha mdomoni kwako, vile vile utaanza kubaini kwamba uzushi unaweza kukusababishia uchungu wewe mwenyewe na kuathiri maisha ya kisiasa 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Sijakuelewa mantiki yako hapa mwisho. Unataka kusema alikuwa anasimamia maslahi binafsi ? Au ulitaka alinde wezi kama ilivyo desturi yenu? muda utasema.....
 
kwa lugha ya kisasa kisiasa, unaweza kusema yupo ukingoni jikoni, kikaangoni anakaangwa...

neno langu la muhimu sana kwake ni kwamba, haipo taasisi popote duniani, isiyo na utaratibu wa kufanya mambo yake, iwe ya kisiasa, kijamii au kiuchumi...
haiwezekani utaratibu wa taasisi unaelekeza kuanza kuvaa viatu mguu wa kulia, wewe unaanza kuvaa mguu wa kushoto tena kwa jeuri na kiburi cha skio la kufa...

kizuri ni kwamba unaweza kua huru na mwenye haki, ukuamua kujiondoa kwa hiari yako na kujiunga na taasisi nyingine ikiwa unahisi hupendezwi na mambo ya kuanza kuvaa viatu mguu wa kulia, hali ya kua wewe unapendelea kuanzia mguu wa kushoto..
toka na uende kwa uhuru tafadhali..

ni lazima na muhimu sana uendako kuzingatia kanuni, taratibu, miongozo na sheria za taasisi husika, kwa kufanya kazi kama timu moja bila kuathiri misingi ya taasisi yenyewe, mila, desturi na utamaduni wa mtindo wa maisha ya taasisi hiyo.

vinginevyo huwezi kudumu popote utakako kwendra, kwa kuishi kwa tabia na majivuno yako yenye ujuaji mwingi hali ya kua mbele kiza...

mwanzo wa mwisho wako CCM uliuanza mwenyewe kwa hasira na chuki za kutemwa barazani, na una uhitimisha mwenyewe kwa kishindo, cha kusingizia watu vitu visivyo na uhakika wowote,

kwa kukubali kurubuniwa kwa kulamba asali na kuufanya uongo kua kweli, kwa tamaa ya fedha na mali, za wahujumu uchumi, waliokusudia kuhatarisha amani na utulivu wa Taifa, uzalendo wako ni wa mashaka sana...

na katika muda usio kua mrefu utaondoka ccm, utaondoshwa au utabanduliwa rasmi CCM bila wasi wasi wowote....

na walio nyuma ya jeuri na kiburi yako hiyo unayoonyesha kwa chama na serikali sikivu ya CCM, watabainishwa bayana na kuanza kutajana rasmi kwa majina yao, moja baada ya mwingine...

kiufupi huna tena maisha wala uhai wa uanachama CCM. na hata ukiachwa huta kua na furaha wala amani ndani ya chama
kwa heshma na ustaarabu ondoka CCM.

utakapojikuta umeshiwa nguvu na ushawishi kisiasa, ujue sasa ni rasmi uko nje ya CCM, na hizo ndizo miongoni mwa athari utakazo kutana nazo ukiwa upinzani..

lakini pia,
nguvu ya utamu wa sukari ya makampuni ya sukari uliyolambishwa itakapokua imeisha ladha mdomoni kwako, vile vile utaanza kubaini kwamba uzushi unaweza kukusababishia uchungu wewe mwenyewe na kuathiri maisha ya kisiasa 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Wadau naomba msome kuhusu ostracism mtanishukuru sana
 
Kwa ushahidi wake alio utoa kila mwananchi kauona , ikithibitika ushahidi una ukweli , hao wahalifu wachukuliwe hatua kali mno iwe funzo kwa yeyote yule.
1718948671145.jpg
 
kwa lugha ya kisasa kisiasa, unaweza kusema yupo ukingoni jikoni, kikaangoni anakaangwa...

neno langu la muhimu sana kwake ni kwamba, haipo taasisi popote duniani, isiyo na utaratibu wa kufanya mambo yake, iwe ya kisiasa, kijamii au kiuchumi...
haiwezekani utaratibu wa taasisi unaelekeza mambo yafanyike hivi ila wewe unafanya kinyume chake kwa makusudi.

kwa mfano taasisi x utaratibu wa maisha ya wanachama wake Lazima kuanza kuvaa viatu mguu wa kulia, lakini wewe unaanza kuvaa mguu wa kushoto kwa kujua kabisa ni makosa, lakini kwa jeuri na kiburi cha skio la kufa wewe hujali na unakiuka utaratibu...

nenda unako enda, kiuka utaratibu, mila desturi na utamaduni wa taasisi hiyo, you will not survive completely...

kizuri ni kwamba unaweza kua huru na mwenye haki, ukuamua kujiondoa kwa hiari yako na kujiunga na taasisi nyingine ikiwa unahisi hupendezwi na mambo ya kuanza kuvaa viatu mguu wa kulia, hali ya kua wewe unapendelea kuanzia mguu wa kushoto..
toka kwa amani, na uende kwa uhuru tafadhali..

ni lazima na muhimu sana uendako kuzingatia kanuni, taratibu, miongozo na sheria za taasisi husika, kwa kufanya kazi kama timu moja bila kuathiri misingi ya taasisi yenyewe, mila, desturi na utamaduni wa mtindo wa maisha ya taasisi hiyo.

vinginevyo huwezi kudumu popote utakako kwendra, kwa kuishi kwa tabia na majivuno yako yenye ujuaji mwingi hali ya kua mbele kiza...

mwanzo wa mwisho wako CCM uliuanza mwenyewe kwa hasira na chuki za kutemwa barazani, na una uhitimisha mwenyewe kwa kishindo, cha kusingizia watu vitu visivyo na uhakika wowote,

kwa kukubali kurubuniwa kwa kulamba asali na kuufanya uongo kua kweli, kwa tamaa ya fedha na mali, za wahujumu uchumi, waliokusudia kuhatarisha amani na utulivu wa Taifa, uzalendo wako ni wa mashaka sana...

na katika muda usio kua mrefu utaondoka ccm, utaondoshwa au utabanduliwa rasmi CCM bila wasi wasi wowote....

na walio nyuma ya jeuri na kiburi yako hiyo unayoonyesha kwa chama na serikali sikivu ya CCM, watabainishwa bayana na kuanza kutajana rasmi kwa majina yao, moja baada ya mwingine...

kiufupi huna tena maisha wala uhai wa uanachama CCM. na hata ukiachwa huta kua na furaha wala amani ndani ya chama
kwa heshma na ustaarabu ondoka CCM.

utakapojikuta umeshiwa nguvu na ushawishi kisiasa, ujue sasa ni rasmi uko nje ya CCM, na hizo ndizo miongoni mwa athari utakazo kutana nazo ukiwa upinzani..

lakini pia,
nguvu ya utamu wa sukari ya makampuni ya sukari uliyolambishwa itakapokua imeisha ladha mdomoni kwako, vile vile utaanza kubaini kwamba uzushi unaweza kukusababishia uchungu wewe mwenyewe na kuathiri maisha ya kisiasa 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Wajinga mpo wengi,lakini taratibu mtakwisha
 
kwa lugha ya kisasa kisiasa, unaweza kusema yupo ukingoni jikoni, kikaangoni anakaangwa...

neno langu la muhimu sana kwake ni kwamba, haipo taasisi popote duniani, isiyo na utaratibu wa kufanya mambo yake, iwe ya kisiasa, kijamii au kiuchumi...
haiwezekani utaratibu wa taasisi unaelekeza mambo yafanyike hivi ila wewe unafanya kinyume chake kwa makusudi.

kwa mfano taasisi x utaratibu wa maisha ya wanachama wake Lazima kuanza kuvaa viatu mguu wa kulia, lakini wewe unaanza kuvaa mguu wa kushoto kwa kujua kabisa ni makosa, lakini kwa jeuri na kiburi cha skio la kufa wewe hujali na unakiuka utaratibu...

nenda unako enda, kiuka utaratibu, mila desturi na utamaduni wa taasisi hiyo, you will not survive completely...

kizuri ni kwamba unaweza kua huru na mwenye haki, ukuamua kujiondoa kwa hiari yako na kujiunga na taasisi nyingine ikiwa unahisi hupendezwi na mambo ya kuanza kuvaa viatu mguu wa kulia, hali ya kua wewe unapendelea kuanzia mguu wa kushoto..
toka kwa amani, na uende kwa uhuru tafadhali..

ni lazima na muhimu sana uendako kuzingatia kanuni, taratibu, miongozo na sheria za taasisi husika, kwa kufanya kazi kama timu moja bila kuathiri misingi ya taasisi yenyewe, mila, desturi na utamaduni wa mtindo wa maisha ya taasisi hiyo.

vinginevyo huwezi kudumu popote utakako kwendra, kwa kuishi kwa tabia na majivuno yako yenye ujuaji mwingi hali ya kua mbele kiza...

mwanzo wa mwisho wako CCM uliuanza mwenyewe kwa hasira na chuki za kutemwa barazani, na una uhitimisha mwenyewe kwa kishindo, cha kusingizia watu vitu visivyo na uhakika wowote,

kwa kukubali kurubuniwa kwa kulamba asali na kuufanya uongo kua kweli, kwa tamaa ya fedha na mali, za wahujumu uchumi, waliokusudia kuhatarisha amani na utulivu wa Taifa, uzalendo wako ni wa mashaka sana...

na katika muda usio kua mrefu utaondoka ccm, utaondoshwa au utabanduliwa rasmi CCM bila wasi wasi wowote....

na walio nyuma ya jeuri na kiburi yako hiyo unayoonyesha kwa chama na serikali sikivu ya CCM, watabainishwa bayana na kuanza kutajana rasmi kwa majina yao, moja baada ya mwingine...

kiufupi huna tena maisha wala uhai wa uanachama CCM. na hata ukiachwa huta kua na furaha wala amani ndani ya chama
kwa heshma na ustaarabu ondoka CCM.

utakapojikuta umeshiwa nguvu na ushawishi kisiasa, ujue sasa ni rasmi uko nje ya CCM, na hizo ndizo miongoni mwa athari utakazo kutana nazo ukiwa upinzani..

lakini pia,
nguvu ya utamu wa sukari ya makampuni ya sukari uliyolambishwa itakapokua imeisha ladha mdomoni kwako, vile vile utaanza kubaini kwamba uzushi unaweza kukusababishia uchungu wewe mwenyewe na kuathiri maisha ya kisiasa 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Mbunge anawajibika kwa nafsi yake, kwa wapiga kura wake, kwa nchi yake na kwa chama chake.

Si kwa chama chake tu.
 
kwa lugha ya kisasa kisiasa, unaweza kusema yupo ukingoni jikoni, kikaangoni anakaangwa...

neno langu la muhimu sana kwake ni kwamba, haipo taasisi popote duniani, isiyo na utaratibu wa kufanya mambo yake, iwe ya kisiasa, kijamii au kiuchumi...
haiwezekani utaratibu wa taasisi unaelekeza mambo yafanyike hivi ila wewe unafanya kinyume chake kwa makusudi.

kwa mfano taasisi x utaratibu wa maisha ya wanachama wake Lazima kuanza kuvaa viatu mguu wa kulia, lakini wewe unaanza kuvaa mguu wa kushoto kwa kujua kabisa ni makosa, lakini kwa jeuri na kiburi cha skio la kufa wewe hujali na unakiuka utaratibu...

nenda unako enda, kiuka utaratibu, mila desturi na utamaduni wa taasisi hiyo, you will not survive completely...

kizuri ni kwamba unaweza kua huru na mwenye haki, ukuamua kujiondoa kwa hiari yako na kujiunga na taasisi nyingine ikiwa unahisi hupendezwi na mambo ya kuanza kuvaa viatu mguu wa kulia, hali ya kua wewe unapendelea kuanzia mguu wa kushoto..
toka kwa amani, na uende kwa uhuru tafadhali..

ni lazima na muhimu sana uendako kuzingatia kanuni, taratibu, miongozo na sheria za taasisi husika, kwa kufanya kazi kama timu moja bila kuathiri misingi ya taasisi yenyewe, mila, desturi na utamaduni wa mtindo wa maisha ya taasisi hiyo.

vinginevyo huwezi kudumu popote utakako kwendra, kwa kuishi kwa tabia na majivuno yako yenye ujuaji mwingi hali ya kua mbele kiza...

mwanzo wa mwisho wako CCM uliuanza mwenyewe kwa hasira na chuki za kutemwa barazani, na una uhitimisha mwenyewe kwa kishindo, cha kusingizia watu vitu visivyo na uhakika wowote,

kwa kukubali kurubuniwa kwa kulamba asali na kuufanya uongo kua kweli, kwa tamaa ya fedha na mali, za wahujumu uchumi, waliokusudia kuhatarisha amani na utulivu wa Taifa, uzalendo wako ni wa mashaka sana...

na katika muda usio kua mrefu utaondoka ccm, utaondoshwa au utabanduliwa rasmi CCM bila wasi wasi wowote....

na walio nyuma ya jeuri na kiburi yako hiyo unayoonyesha kwa chama na serikali sikivu ya CCM, watabainishwa bayana na kuanza kutajana rasmi kwa majina yao, moja baada ya mwingine...

kiufupi huna tena maisha wala uhai wa uanachama CCM. na hata ukiachwa huta kua na furaha wala amani ndani ya chama
kwa heshma na ustaarabu ondoka CCM.

utakapojikuta umeshiwa nguvu na ushawishi kisiasa, ujue sasa ni rasmi uko nje ya CCM, na hizo ndizo miongoni mwa athari utakazo kutana nazo ukiwa upinzani..

lakini pia,
nguvu ya utamu wa sukari ya makampuni ya sukari uliyolambishwa itakapokua imeisha ladha mdomoni kwako, vile vile utaanza kubaini kwamba uzushi unaweza kukusababishia uchungu wewe mwenyewe na kuathiri maisha ya kisiasa 🐒

Mungu Ibariki Tanzania

Wajinga wapo wengi Tz lakini kitaeleweka tu
 
Huyo ni mwanaume ....saa nyingine unaweza Kuta Boss anafurahi kumbe Kuna taarifa alikuwa anafichwa,2. Si mtoto kwahivo alikuwa anajua hii njia ninaenda nitafika hapa....he is playing Chess anajua anakoelekea......Wanasiasa si wenzako. Hapo alipo kajiwekeza vya kutosha......Sasa rusha gololi zako mbili ukijua ni mwenzako hahaaaa
 
Huyo ni mwanaume ....saa nyingine unaweza Kuta Boss anafurahi kumbe Kuna taarifa alikuwa anafichwa,2. Si mtoto kwahivo alikuwa anajua hii njia ninaenda nitafika hapa....he is playing Chess anajua anakoelekea......Wanasiasa si wenzako. Hapo alipo kajiwekeza vya kutosha......Sasa rusha gololi zako mbili ukijua ni mwenzako hahaaaa
mwenzangu?😳

mbuni uzushi na uongo awe mwenzangu kweli? thubutu 🤣

aende aendako si anapata chochote kitu kutoka kwenye makampuni ya sukari yanayomlambisha sukari akomae kusema uongo kua ni kweli 🤣
 
Kiufupi unaona mtu akikemea uovu ndani ya "taasisi" basi kaisaliti taasisi?

Kwa maana hiyo lengo la taasisi hiyo ni kuiba fedha za umma na kusifiana kwa huo wizi?

We ni mshenzi kabisa! Uzalendo wa kichawa kama huu unaua taifa. Wananufaika wachache huku wananchi wakiumia halafu unajiita mzalendo? Is this okay to you?

Huoni aibu kwa Mwanaume kujitoa ufahamu?

Au nawe ni mnufaika?
 
Hili sakata la Mpina na sukari limekufanya ufunue UPUMBAVU wako ambao umeuficha kwa muda mrefu.
Sikuwahi kufikiri kuwa wewe ni MPUMBAVU kiasi hiki.
huna haja kupoteza muda kumfikiria mtu asiekufikiria wewe hiyo ni useless kabisa....

ile ya muhimu nimemshauri muungwana, mkalia kuti kavu CCM nimeshasema vizuri sana nadhani umeelewa..

hata hivyo,
ikiwa hiyo mihemko uko nayo dhidi ya ushauri, maoni na mtazamo wangu wa kitaalamu juu ya sakata ulilolitaja, kama inakusaidia komaa nayo gentleman, utatoboa tu 🤣

lakini kama inakufanya uwe na hali kama uliyonayo hivi sasa, basi ni nonsense achana nayo, komaa na mambo mengine 🐒
 
Kiufupi unaona mtu akikemea uovu ndani ya "taasisi" basi kaisaliti taasisi?

Kwa maana hiyo lengo la taasisi hiyo ni kuiba fedha za umma na kusifiana kwa huo wizi?

We ni mshenzi kabisa! Uzalendo wa kichawa kama huu unaua taifa. Wananufaika wachache huku wananchi wakiumia halafu unajiita mzalendo? Is this okay to you?

Huoni aibu kwa Mwanaume kujitoa ufahamu?

Au nawe ni mnufaika?
sasa mbona umepanic gentleman 🤣

mihemko na ghadhabu za nini sasa,

mbona na wewe unakua na chuki binafsi, mkali na mwenye hasira na wivu, kama huyo muungwana unajaribu kumtetea kwa jazba sana, alipotoswa baraza la mawaziri?🤣

kama anaona hiyo taasisi haifamfai si makampuni ya sukari yanayomfadhili yampatie kazi ya kudumu, kuliko wanavyomrubuni kwa sukari kidogo tu mdomoni ili akomae kusema uongo na uzushi kua kweli?🐒

mbona ni rahis tu..
hata hivyo, jitahidi kuzuia ghadhabu na mihemko isiyo na maana yoyote ambayo soon itakupelekea kupoteza uelekeo na kuanza kuporomosha matusi tu 🤣
 
Kwa hiyo utaratibu Wa CCM wa kuiba na ww ukiwa humo uibe tu mana ndo utaratibu. Si ndyo? Vinginevyo ajiondoe. Si ndo manake? Aisee, hii Nchi ina laana kabisa...
 
Nani wa kuwachukulia hatua? Wakati wao ndo wanahusika kuanzia jumba jeupe
unamtia moyo au unampotosha mwenzako aamini uongo na uzushi gentleman?🐒

au ndio ile stori ya pwagu na pwaguzi 🤣
 
Kwa hiyo utaratibu Wa CCM wa kuiba na ww ukiwa humo uibe tu mana ndo utaratibu. Si ndyo? Vinginevyo ajiondoe. Si ndo manake? Aisee, hii Nchi ina laana kabisa...
sasa kama ni hivyo,
si ajiondoe tu kwa salama na amani akajiunga na taasisi isiyokua na utaratibu wa kuendesha mambo yake, kuliko kukomaa kwa hofu na kusubiri kubanduliwa chamani mpaka mjengoni kwa pamoja kwa fedheha na aibu, gentleman 🐒

au we unaonaje,
mwamposa akikuzingua kwenye kanisa lake, si unaenda kwa suguye au gwajima na mambo yanaisha kirahisi tu, au unasemaje, gentleman?🐒
 
Mzalendo mpina hajakiuka taratibu yeyote isipokuwa hili bunge limejiwenea utaratibu mbovu katika kuwasilisha ushahidi wa mbunge.kwanza huo utaratibu hawajatushirikisha sisi wananchi ambao tuliwachagua.Na hata kama amekiuka utaratibu je tuhuma ni za uongo?jibu ni hapana isipokuwa wameona hili sakata linamgusa kizimkazi na kuanza kukomalia mambo ya kipuuzi kabisa.Hii Nchi inaongozwa na majambazi tupu.siku tukipata mzalendo au Mimi mwenyewe nikashika usukani.nitaanza na huyu tulia Kwa kupindisha utaratibu wa bunge
 
Back
Top Bottom