Pre GE2025 Neno langu la mwisho kwa Mbunge mkalia kuti kavu CCM

Pre GE2025 Neno langu la mwisho kwa Mbunge mkalia kuti kavu CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
msingi wa uwajibikaji wake ni chama chake cha siasa kilichomdhamini kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi 🐒

once amebanduliwa kwenye chama chake, anapoteza nafasi ya ubunge na wananchi wanapaswa kumchagua muwakilishi wao mwingine 🐒
Kuna mambo ya principle ambayo ni ya muhimu kuliko ubunge.

Sasa kama chama kinaua watu, mbunge hapendi hilo, unataka mbunge akae kimya tu kwa sababu chama chake ndiyo kinachoua watu?

Umewahi kusoma kitabu cha John F. Kennedy kilichoshinda nishani ya Pulitzer kinachoitwa "Profiles in Courage" ?
 
Kosa lake ni kukuzidi akili ya kuelewa mambo na kudadavua. Ngoja tuone kama utamshinda
ni ubunifu wa kiwango cha juu sana cha uzushi na uongo tangu baada ya kutemwa baraza la mawaziri alipojaribu kutupiga fix alipotumia rula kupima size ya ukubwa wa samaki waliorostiwa vizuri sana kwa nazi 🤣

zile data sijui ziko wap kwanza mpaka sasa dah 🐒
 
kwa uzushi na uongo ule wa mbuni tuhuma mwenye kiburi, wivu na hasira za kutemwa baraza la mawaziri, sidhani kama atasavive up to the middle of next week 🐒
....Mpina pamoja na madhaifu yake kama binadamu!, katikq hili nasimama nae, Haitaki akili kubwa kuona kwamba Ndugu Bashe Kachukua mlungula na analindwa.
 
Mpina simama na unachokiamini - hutakuwa wa kwanza kutimuliwa CCM ama upokwa Ubunge si mwisho wa maisha.

Mboma kuna watu hawana vyama ila ni Wabunge, TZ hakuna linaloshindikana.
Kwa katiba ipi mtu hana chama halafu ni mbunge?
 
kwa uzushi na uongo ule wa mbuni tuhuma mwenye kiburi, wivu na hasira za kutemwa baraza la mawaziri, sidhani kama atasavive up to the middle of next week 🐒
Akili yako ina shoti na kuna waya zimekatika, unajizima data makusudi tuu au ni uchawa unakusumbua.
 
Kuna mambo ya principle ambayo ni ya muhimu kuliko ubunge.

Sasa kama chama kinaua watu, mbunge hapendi hilo, unataka mbunge akae kimya tu kwa sababu chama chake ndiyo kinachoua watu?

Umewahi kusoma kitabu cha John F. Kennedy kilichoshinda nishani ya Pulitzer kinachoitwa "Profiles in Courage" ?
nani anataka mbunge akae kimya gentleman?🐒

kama unazuiwa kusema, unababaika na kung'ang'ana ulipo ili iweje, si ukatafute platforms nyingine na useme vizuri na kwa uhuru zaidi, au unaogopa ukiwa pengine 🐒

nadhani naweza kua nimesoma vitabu vingi mno, miongoni mwao ni hicho 🐒
 
ni ubunifu wa kiwango cha juu sana cha uzushi na uongo tangu baada ya kutemwa baraza la mawaziri alipojaribu kutupiga fix alipotumia rula kupima size ya ukubwa wa samaki waliorostiwa vizuri sana kwa nazi 🤣

zile data sijui ziko wap kwanza mpaka sasa dah 🐒
Mbona wewe hatujawahi kukuona unaleta uzushi au uongo. Kwani hujui kwamba siasa ni uongo. Siasa ni mchezo wa karata. Tatizo watu wengi mnaingia kwenye siasa kwa kufosi. Siasa ni mchezo mwenzako akicheza hivi kwa maneno unatakiwa kupangua kwa maneno. Siasa ni mdomo sio nguvu. Data data ndio siasa. Siasa ni kugeuza uongo kuwa ukweli. Una defend point ya uongo kuwa ya kweli na sio kulialia.
 
Tatizo watu wengi mnaingia kwenye siasa kwa kufosi. Siasa ni mchezo mwenzako akicheza hivi kwa maneno unatakiwa kupangua kwa maneno. Siasa ni mdomo sio nguvu. Data data ndio siasa. Siasa ni kugeuza uongo kuwa ukweli. Una defend point ya uongo kuwa ya kweli na sio kulialia.
 
Akili yako ina shoti na kuna waya zimekatika, unajizima data makusudi tuu au ni uchawa unakusumbua.
kwahiyo akili kubwa ndio hiyo, imetoa na kuhitimisha hoja kwa kishindo cha mihemko binafsi 🤣
 
Kwa lugha ya kisasa kisiasa, unaweza kusema yupo ukingoni jikoni, kikaangoni anakaangwa...

Neno langu la muhimu sana kwake ni kwamba, haipo taasisi popote duniani, isiyo na utaratibu wa kufanya mambo yake, iwe ya kisiasa, kijamii au kiuchumi.

Haiwezekani utaratibu wa taasisi unaelekeza mambo yafanyike hivi ila wewe unafanya kinyume chake kwa makusudi.

Kwa mfano taasisi x utaratibu wa maisha ya wanachama wake Lazima kuanza kuvaa viatu mguu wa kulia, lakini wewe unaanza kuvaa mguu wa kushoto kwa kujua kabisa ni makosa, lakini kwa jeuri na kiburi cha skio la kufa wewe hujali na unakiuka utaratibu.

Nenda unako enda, kiuka utaratibu, mila desturi na utamaduni wa taasisi hiyo, you will not survive completely...

Kizuri ni kwamba unaweza kua huru na mwenye haki, ukuamua kujiondoa kwa hiari yako na kujiunga na taasisi nyingine ikiwa unahisi hupendezwi na mambo ya kuanza kuvaa viatu mguu wa kulia, hali ya kua wewe unapendelea kuanzia mguu wa kushoto. Toka kwa amani, na uende kwa uhuru tafadhali..

Ni lazima na muhimu sana uendako kuzingatia kanuni, taratibu, miongozo na sheria za taasisi husika, kwa kufanya kazi kama timu moja bila kuathiri misingi ya taasisi yenyewe, mila, desturi na utamaduni wa mtindo wa maisha ya taasisi hiyo.

Vinginevyo huwezi kudumu popote utakako kwendra, kwa kuishi kwa tabia na majivuno yako yenye ujuaji mwingi hali ya kua mbele kiza...

Mwanzo wa mwisho wako CCM uliuanza mwenyewe kwa hasira na chuki za kutemwa barazani, na una uhitimisha mwenyewe kwa kishindo, cha kusingizia watu vitu visivyo na uhakika wowote.

Kwa kukubali kurubuniwa kwa kulamba asali na kuufanya uongo kua kweli, kwa tamaa ya fedha na mali, za wahujumu uchumi, waliokusudia kuhatarisha amani na utulivu wa Taifa, uzalendo wako ni wa mashaka sana.

Na katika muda usio kua mrefu utaondoka ccm, utaondoshwa au utabanduliwa rasmi CCM bila wasi wasi wowote.

Na walio nyuma ya jeuri na kiburi yako hiyo unayoonyesha kwa chama na serikali sikivu ya CCM, watabainishwa bayana na kuanza kutajana rasmi kwa majina yao, moja baada ya mwingine.

Kiufupi huna tena maisha wala uhai wa uanachama CCM. na hata ukiachwa huta kua na furaha wala amani ndani ya chama kwa heshma na ustaarabu ondoka CCM.

Utakapojikuta umeshiwa nguvu na ushawishi kisiasa, ujue sasa ni rasmi uko nje ya CCM, na hizo ndizo miongoni mwa athari utakazo kutana nazo ukiwa upinzani.

Lakini pia, nguvu ya utamu wa sukari ya makampuni ya sukari uliyolambishwa itakapokua imeisha ladha mdomoni kwako, vile vile utaanza kubaini kwamba uzushi unaweza kukusababishia uchungu wewe mwenyewe na kuathiri maisha ya kisiasa 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
We jamaa uzalendo wako kwa nchi hii una walakini!
Watu kama nyie hamlifai kabisa Taifa hili lakini kwa bahati mbaya sana nyie ndo mlioshikilia mpini!
 
Mbona wewe hatujawahi kukuona unaleta uzushi au uongo. Kwani hujui kwamba siasa ni uongo. Siasa ni mchezo wa karata. Tatizo watu wengi mnaingia kwenye siasa kwa kufosi. Siasa ni mchezo mwenzako akicheza hivi kwa maneno unatakiwa kupangua kwa maneno. Siasa ni mdomo sio nguvu. Data data ndio siasa. Siasa ni kugeuza uongo kuwa ukweli. Una defend point ya uongo kuwa ya kweli na sio kulialia.
politics is very interesting game, it is mind game but si uongo,
politics is all about interests,
what is your interest and priorities 🐒

consider in mind,
in politics nothing happens out of mere coincidence, everythings in politics are normally well planned, organized, scripted and executed to achieve a certain specific political objectives 🐒
 
kwamba ikibainika muungwana kasema uongo, alazimishwe kutafuna maparachichi mabichi, kama inavyoonekana kwenye picha, right?🐒
Ikibainika pesa za nchi zinatafunwa kweli na kuna ubadhirifu mkubwa wa mali za uma kama alivyobainisha bwana mpina ,hao wahusika wafungwe maisha ,bwana mpina kwetu sisi wananchi ni shujaa no mata wati.
 
Ikibainika pesa za nchi zinatafunwa kweli na kuna ubadhirifu mkubwa wa mali za uma kama alivyobainisha bwana mpina ,hao wahusika wafungwe maisha ,bwana mpina kwetu sisi wananchi ni shujaa no mata wati.
ikibainika muungwana kasema uongo atabanduliwa chamani mara moja 🐒

huku kwetu tunamuona ni jamaa mwenye hasira na chuki kupindukia kuanzia tu mara baada ya kuonekana mzigo, muongo na mzushi mwenye kiburi na jeuri kwa wananchi, alielewa madaraka na kutemwa baraza la mawaziri 🐒
 
sasa mbona umepanic gentleman 🤣

mihemko na ghadhabu za nini sasa,

mbona na wewe unakua na chuki binafsi, mkali na mwenye hasira na wivu, kama huyo muungwana unajaribu kumtetea kwa jazba sana, alipotoswa baraza la mawaziri?🤣

kama anaona hiyo taasisi haifamfai si makampuni ya sukari yanayomfadhili yampatie kazi ya kudumu, kuliko wanavyomrubuni kwa sukari kidogo tu mdomoni ili akomae kusema uongo na uzushi kua kweli?🐒

mbona ni rahis tu..
hata hivyo, jitahidi kuzuia ghadhabu na mihemko isiyo na maana yoyote ambayo soon itakupelekea kupoteza uelekeo na kuanza kuporomosha matusi tu 🤣
Yeye anasema uongo, ukweli wako uko wapi? Panga hoja zake kwa kuleta hoja kinzani, ulichoandika hapa ni upuuzi na upumbavu kwa mtu mwenye uchungu na nchi yake.
 
Back
Top Bottom