min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Vita havina macho ,ndugu mheshimiwa.actually,
hilo hufanyika mbona kwa matusi ya nguvu, ama hua huoni?🐒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vita havina macho ,ndugu mheshimiwa.actually,
hilo hufanyika mbona kwa matusi ya nguvu, ama hua huoni?🐒
Na tunaotakiwa kubaini ni sisi wananchi na sio watuhumiwa au rafiki zake watuhumiwa , ngoja kwanza tupitie ushaidi tulinganishe na hali halisi majibu yatapatikana tu.ikibainika muungwana kasema uongo atabanduliwa chamani mara moja 🐒
huku kwetu tunamuona ni jamaa mwenye hasira na chuki kupindukia kuanzia tu mara baada ya kuonekana mzigo, muongo na mzushi mwenye kiburi na jeuri kwa wananchi, alielewa madaraka na kutemwa baraza la mawaziri 🐒
una uchungu sana ee gentleman ?🐒Yeye anasema uongo, ukweli wako uko wapi? Panga hoja zake kwa kuleta hoja kinzani, ulichoandika hapa ni upuuzi na upumbavu kwa mtu mwenye uchungu na nchi yake.
Sasa kama hutaki mbunge akae kimya mbona una support censorship ya chama kwa mbunge?nani anataka mbunge akae kimya gentleman?🐒
kama unazuiwa kusema, unababaika na kung'ang'ana ulipo ili iweje, si ukatafute platforms nyingine na useme vizuri na kwa uhuru zaidi, au unaogopa ukiwa pengine 🐒
nadhani naweza kua nimesoma vitabu vingi mno, miongoni mwao ni hicho 🐒
vinahitaji utulivu mkubwa sana, nidhamu nidhamu ya kiwango cha juu mno lakini malengo, mipango na mikakati ya wazi otherwise mtu atafeli mwanzoni sana mwa vita 🐒.Vita havina macho ,ndugu mheshimiwa.
Elezea uongo kwenye hoja zake na toa uthibitisho wa kile alichosema kuwa uongo. Kuambiwa ulichoambiwa ni upuuzi na upumbavu sio matusi, nenda kasome lugha yako ya kiswahili utajua hayo maneno yanamaanisha nini.una uchungu sana ee gentleman ?🐒
naona unafanya mazoezi ya kuanza kuporomosha matusi 🤣
nipange hoja za nani? au unazungumzia uongo na uzushi wa mlamba sukari ya makampuni ya sukari?🤣
I'm not sure kama umeelewa hoja yangu ya msingi, unless una jambo jengine unapendelea nilisemee,Sasa kama hutaki mbunge akae kimya mbona una support censorship ya chama kwa mbunge?
Unamshauri Mpina azingatie kufanya kazi kama timu moja ya CCM!! Kwa hiyo wizi wa Bashe ni wa CCM nzima? Naona unamshauri na kumpe ujumbe Mpina kuwa CCM ni ya watu majizi, na ukiwemo humo ushikamane bila kwenda kinyume na taratibu za wevi.Kwa lugha ya kisasa kisiasa, unaweza kusema yupo ukingoni jikoni, kikaangoni anakaangwa...
Neno langu la muhimu sana kwake ni kwamba, haipo taasisi popote duniani, isiyo na utaratibu wa kufanya mambo yake, iwe ya kisiasa, kijamii au kiuchumi.
Haiwezekani utaratibu wa taasisi unaelekeza mambo yafanyike hivi ila wewe unafanya kinyume chake kwa makusudi.
Kwa mfano taasisi x utaratibu wa maisha ya wanachama wake Lazima kuanza kuvaa viatu mguu wa kulia, lakini wewe unaanza kuvaa mguu wa kushoto kwa kujua kabisa ni makosa, lakini kwa jeuri na kiburi cha skio la kufa wewe hujali na unakiuka utaratibu.
Nenda unako enda, kiuka utaratibu, mila desturi na utamaduni wa taasisi hiyo, you will not survive completely...
Kizuri ni kwamba unaweza kua huru na mwenye haki, ukuamua kujiondoa kwa hiari yako na kujiunga na taasisi nyingine ikiwa unahisi hupendezwi na mambo ya kuanza kuvaa viatu mguu wa kulia, hali ya kua wewe unapendelea kuanzia mguu wa kushoto. Toka kwa amani, na uende kwa uhuru tafadhali..
Ni lazima na muhimu sana uendako kuzingatia kanuni, taratibu, miongozo na sheria za taasisi husika, kwa kufanya kazi kama timu moja bila kuathiri misingi ya taasisi yenyewe, mila, desturi na utamaduni wa mtindo wa maisha ya taasisi hiyo.
Vinginevyo huwezi kudumu popote utakako kwendra, kwa kuishi kwa tabia na majivuno yako yenye ujuaji mwingi hali ya kua mbele kiza...
Mwanzo wa mwisho wako CCM uliuanza mwenyewe kwa hasira na chuki za kutemwa barazani, na una uhitimisha mwenyewe kwa kishindo, cha kusingizia watu vitu visivyo na uhakika wowote.
Kwa kukubali kurubuniwa kwa kulamba asali na kuufanya uongo kua kweli, kwa tamaa ya fedha na mali, za wahujumu uchumi, waliokusudia kuhatarisha amani na utulivu wa Taifa, uzalendo wako ni wa mashaka sana.
Na katika muda usio kua mrefu utaondoka ccm, utaondoshwa au utabanduliwa rasmi CCM bila wasi wasi wowote.
Na walio nyuma ya jeuri na kiburi yako hiyo unayoonyesha kwa chama na serikali sikivu ya CCM, watabainishwa bayana na kuanza kutajana rasmi kwa majina yao, moja baada ya mwingine.
Kiufupi huna tena maisha wala uhai wa uanachama CCM. na hata ukiachwa huta kua na furaha wala amani ndani ya chama kwa heshma na ustaarabu ondoka CCM.
Utakapojikuta umeshiwa nguvu na ushawishi kisiasa, ujue sasa ni rasmi uko nje ya CCM, na hizo ndizo miongoni mwa athari utakazo kutana nazo ukiwa upinzani.
Lakini pia, nguvu ya utamu wa sukari ya makampuni ya sukari uliyolambishwa itakapokua imeisha ladha mdomoni kwako, vile vile utaanza kubaini kwamba uzushi unaweza kukusababishia uchungu wewe mwenyewe na kuathiri maisha ya kisiasa [emoji205]
Mungu Ibariki Tanzania
Wewe upo upande wa adui then unatoa ushauri wa jinsi gan mpinzani akudondoshe😁😁😁 kweli mnatuona mazuzu mno .vinahitaji utulivu mkubwa sana, nidhamu nidhamu ya kiwango cha juu mno lakini malengo, mipango na mikakati ya wazi otherwise mtu atafeli mwanzoni sana mwa vita 🐒.
my friend,
ni kujipanga tu 🐒
uongo na uzushi ni wake mimi tena nibabaike na huo uzushi ili pia niwe muongo🐒Elezea uongo kwenye hoja zake na toa uthibitisho wa kile alichosema kuwa uongo. Kuambiwa ulichoambiwa ni upuuzi na upumbavu sio matusi, nenda kasome lugha yako ya kiswahili utajua hayo maneno yanamaanisha nini.
Watu wa ccm mmezoea kuliibia taifa miaka mingi, hamjali wananchi walipa kodi hata kidogo, mkiguswa kidogo tu mnaanza kushambulia mtu personally. Attack hoja zake, achana na personality yake, ukiendelea kujibizana sana unaufichua upumbavu uliokujaa coz huna content.
Thibitisha ule ushahidi ni wa uwongo.uongo na uzushi ni wake mimi tena nibabaike na huo uzushi ili pia niwe muongo🐒
hata hivyo sijasema umetusi mahali ispokua unaelekea huko coz is where you belong 🐒
suala hilo la eti sijui CCM wamezoea nini na nini, I think is the story for other day, kwa maoni yangu 🐒
Hadi hapa umeshindwa kuthibitisha uongo wake, yaani gazeti lake lote hili hakuna hata sehemu umethibitsha huyo jamaa kudanganya wapi, zaidi sana unatetea na kutishia yeye kufukuzwa chamani. Watu wanaojiamini hawaogopi kufukuzwa, walamba asali huwa ndio wanaogopa.uongo na uzushi ni wake mimi tena nibabaike na huo uzushi ili pia niwe muongo🐒
hata hivyo sijasema umetusi mahali ispokua unaelekea huko coz is where you belong 🐒
suala hilo la eti sijui CCM wamezoea nini na nini, I think is the story for other day, kwa maoni yangu 🐒
no,Unamshauri Mpina azingatie kufanya kazi kama timu moja ya CCM!! Kwa hiyo wizi wa Bashe ni wa CCM nzima? Naona unamshauri na kumpe ujumbe Mpina kuwa CCM ni ya watu majizi, na ukiwemo humo ushikamane bila kwenda kinyume na taratibu za wevi.
Mshauri mwenyekiti awatamgazie watu wote kuwa CCM ni chama kwaajili ya wevi, ili wasio wevi na wanaochukia wizi, waondoke haraka. Mbakie ninyi majizi mkifuata taratibu zenu zilizo kinyume na katiba ya nchi.
Ni vema ungemalizia kwa kusema, Shetani yabariki majizi ya CCM.
aah sasa nakuelewa,Hadi hapa umeshindwa kuthibitisha uongo wake, yaani gazeti lake lote hili hakuna hata sehemu umethibitsha huyo jamaa kudanganya wapi, zaidi sana unatetea na kutishia yeye kufukuzwa chamani. Watu wanaojiamini hawaogopi kufukuzwa, walamba asali huwa ndio wanaogopa.
Hujaelewa mkuu,aah sasa nakuelewa,
kwahiyo walamba sukari wa makampuni ya sukari kwa kukomaa kusema uongo kua ukweli hawaogopi kufukuzwa sio, right?🤣
walamba asali ndio wanaoga 🐒
Umenikumbusha ya steven masele mbunge..na job ndugaihuna haja kupoteza muda kumfikiria mtu asiekufikiria wewe hiyo ni useless kabisa....
ile ya muhimu nimemshauri muungwana, mkalia kuti kavu CCM nimeshasema vizuri sana nadhani umeelewa..
hata hivyo,
ikiwa hiyo mihemko uko nayo dhidi ya ushauri, maoni na mtazamo wangu wa kitaalamu juu ya sakata ulilolitaja, kama inakusaidia komaa nayo gentleman, utatoboa tu [emoji1787]
lakini kama inakufanya uwe na hali kama uliyonayo hivi sasa, basi ni nonsense achana nayo, komaa na mambo mengine [emoji205]
Hoja yako ya msingi ni nini?I'm not sure kama umeelewa hoja yangu ya msingi, unless una jambo jengine unapendelea nilisemee,
kama ni hivyo bas eleza vizur ni kufafanulie uelewa na kupata uelewa mpya 🐒
Ccm akikuambia toka nnje kumekucha usimwamini kamwe apo timu vibaraka ni hao wa kaskazini, hao wa kanda ya kati ndio wazalendo wa kweli , asante sana kwa kunifumbua macho mkuu🙏🙏🙏no,
namshauri huko kwenu chadema anakokuja, kwamba afanye uchunguzi kwa makini sana aingie timu vibaraka iliyojikita kanda ya kati au timu ya wazalendo ya mwamba wa kaskazini 🐒