Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu hutofautiana katika kufanya maamuzi.Yaani mimi kuitwa mhudumu na mteja wa baa yangu mwenyewe ndiyo nikagombane nae na pengine nimpoteze huyo mteja kwenye biashara yangu?
Source ya 30% ni taarifa mbalimbali za habar na hata mitaani tunapoishi.. nikitulia nitakuja na details zaidiSource ya hizi takwimu? Especially on the 30% and 70%?
OkayMaeneo ya tumbo kuna organ muhimu nyingi kama Ini, figo, kongosho, .. hivyo ikitokea kisu kimegusa organ hizo kifo kinamkuta mchomwaji.
Tubaki tu mkuu.na wakija huku tunawatelekeza stend paleHuko Njombe ni noma sana aisee
Sijui kuna shida gani.. bora nibakie daslam tu. Mikoani hapana
Haya yote mkuu ni ku complicate mambo. Ukishika silaha ukauwa basi wewe ni muuwaji tu na sheria ya jicho kwa jicho ndio inafaa.MAONI YA BUSH LAWYER ON JF 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀😀😀😀
Muaji ya kukusudia, defence ya "in heat of passion" haipo tena! Alipata muda wa kwenda nyumbani, akatafuta kisu kilipo, akapanda gari, akarudi, akamtafuta alipo....akamchoma! basi alikusudia KUUA...MALICE AFORETHOUGHT
Heat of passion is a mitigating factor that may be raised by an accused criminal, claiming to have been in an uncontrollable rage, terror, or fury at the time of the alleged crime, especially one provoked by the victim. Heat of passion defense is used to negate the element of malice in a murder prosecution.
Eleza ilikuajeeWrite your reply...nilikuepo eneo la tukio nkaona isiwe tabu nkatoka nduki
Mkuu vipi haujaunganishwa gwwnye gridi ya taifa? Maana nasikia njombe namba zipo juu.
Tale Tale baa yangu hiyo , hatari sana, nimekula bata sana hapo, na warembo kibao,, girafe itazidi kuwa juu
Labda alimuita ivyo kwa namna ya kumfanyia dhihakaYaani mimi kuitwa mhudumu na mteja wa baa yangu mwenyewe ndiyo nikagombane nae na pengine nimpoteze huyo mteja kwenye biashara yangu?
Huwezi kuwasilisha kwa kiswahili!?MAONI YA BUSH LAWYER ON JF 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀😀😀😀
Muaji ya kukusudia, defence ya "in heat of passion" haipo tena! Alipata muda wa kwenda nyumbani, akatafuta kisu kilipo, akapanda gari, akarudi, akamtafuta alipo....akamchoma! basi alikusudia KUUA...MALICE AFORETHOUGHT
Heat of passion is a mitigating factor that may be raised by an accused criminal, claiming to have been in an uncontrollable rage, terror, or fury at the time of the alleged crime, especially one provoked by the victim. Heat of passion defense is used to negate the element of malice in a murder prosecution.
Mteja hakosei/mfalme...ni kutojua biashara na kujivika hadhi/uboss uchwaraLabda alimuita ivyo kwa namna ya kumfanyia dhihaka
Watu hutofautiana katika kufanya maamuzi.
Wewe huwezi lkn wapo wanaweza kufanya hivyo
Waache kulazimisha kufanya biashara ya baa ilihali kifikira wanawaza kuwa BOT.MMILIKI wa baa ya Tale mjini Njombe, Jackson Mgeni (35), mkazi wa Mji Mwema mjini hapa, amefariki dunia kutokana na kuchomwa kisu tumboni na anayedaiwa mteja wake, Emmanuel Shiwa (32).
Mfanyabiashara wa madini na mkazi wa eneo la Uwanja wa Ndege mjini Njombe, anadaiwa kutenda ukatili huo baada ya kutokea ugomvi kati yao alipomwita Mgeni, akitumia neno 'mhudumu'.
Ni tukio hilo lilitokea Novemba jana saa nane usiku katika baa hiyo ya mjini Njombe.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Kamishna Msaidizi Mahamoud Banga alithibitisha kutokea kwa tukio hilo. Alisema mtuhumiwa ni mteja mzoefu katika baa hiyo.
"Katika hali ya kupata huduma, mtuhumiwa alimwita Mgeni kwa jina la mhudumu. Sasa kile kitendo cha kuitwa mhudumu, ninafikiri kilimuudhi.
"Akaanza kugombana na yule mteja na yule mteja ninafikiri aliona hatoweza kupigana naye kawaida. Hivyo alitoka nje," alisema Kamanda Banga.
Aliendelea kusimulia, akisema: "Mtuhumiwa huyo baada ya kutoka nje alipanda gari lake, akaenda nyumbani kwake.
"Mashuhuda wanasema ni maeneo ya Uwanja wa Ndege, lakini baada ya muda alirudi na kisu na kumvizia yule jamaa na kumchoma nacho tumboni."
Kamanda Banga alisema kuwa baada ya kufanya tukio hilo, wananchi ambao ni wateja wa baa hiyo walikuwapo eneo la tukio, walimdhibiti mtuhumiwa na kutoa taarifa kituo cha polisi.
"Polisi walifika na kumkamata, majeruhi alikimbizwa Hospitali ya Halmashauri ya Mji Njombe (Kibena), lakini kabla ya kuanza kupatiwa matibabu alifariki (dunia)," alisema Kamanda Banga.
Njombe ni miongoni mwa mikoa yenye matukio mengi ya mauaji nchini. Hata hivyo, matukio mengi yanahusishwa na imani za kishirikiana na wivu wa mapenzi.
Mbona km mtoa mada hajatoa maoni.MAONI YA BUSH LAWYER ON JF 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀😀😀😀
Muaji ya kukusudia, defence ya "in heat of passion" haipo tena! Alipata muda wa kwenda nyumbani, akatafuta kisu kilipo, akapanda gari, akarudi, akamtafuta alipo....akamchoma! basi alikusudia KUUA...MALICE AFORETHOUGHT
Heat of passion is a mitigating factor that may be raised by an accused criminal, claiming to have been in an uncontrollable rage, terror, or fury at the time of the alleged crime, especially one provoked by the victim. Heat of passion defense is used to negate the element of malice in a murder prosecution.
YaaniHata ukimsikiliza kamanda wapolisi anatoa taarifa kama ni mauji ya kutokusudia,yaani unaona kabisa inajengwa ajenda ya Jamaa kuachiwa Kwa kigezo Cha manslaughter na behind the scene imeshaonekana Kwa Jamaa ipo Hela.Ile kwenda home,kuingia ndani kutafuta Beto na Kurudi pale pale kumvizia na kuchoma nimakusudi.