King Nkondo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2023
- 1,399
- 2,110
Ukimwi sio ugonjwa Ila ukimwi huleta hayo magonjwa unayoyaogopa!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HUYU TUMPE KITANZIMAONI YA BUSH LAWYER ON JF 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀😀😀😀
Muaji ya kukusudia, defence ya "in heat of passion" haipo tena! Alipata muda wa kwenda nyumbani, akatafuta kisu kilipo, akapanda gari, akarudi, akamtafuta alipo....akamchoma! basi alikusudia KUUA...MALICE AFORETHOUGHT
Heat of passion is a mitigating factor that may be raised by an accused criminal, claiming to have been in an uncontrollable rage, terror, or fury at the time of the alleged crime, especially one provoked by the victim. Heat of passion defense is used to negate the element of malice in a murder prosecution.
Ina tegemea kakuita vipi?[emoji16][emoji16].Yaani mimi kuitwa mhudumu na mteja wa baa yangu mwenyewe ndiyo nikagombane nae na pengine nimpoteze huyo mteja kwenye biashara yangu?
Hata niwe nimekaa na wakwe zangu me nazingatia pesa tu, hakuna kiwango cha dharau cha kuniita mhudumu kisha nikasirike, me naipenda pesa babu. Sema tu landa kuna jambo tumefichwa kwenye hili tukio huenda walikuwa na ugomvi wao before.Ina tegemea kakuita vipi?[emoji16][emoji16].
Kuna mijitu inaita kwa dharau.
Alafu hapo amekaa na mademu lazma umaind
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Wee .neno muhudumu lina uma asikwambie mtu.Hata niwe nimekaa na wakwe zangu me nazingatia pesa tu, hakuna kiwango cha dharau cha kuniita mhudumu kisha nikasirike, me naipenda pesa babu. Sema tu landa kuna jambo tumefichwa kwenye hili tukio huenda walikuwa na ugomvi wao before.
Liver au splee
Kwa nyie msiojua biashara ila wengine hilo ndio neno zuri kuliko yote katika biashara.Wee .neno muhudumu lina uma asikwambie mtu.
Sio kwenye biashara ya bar.Kwa nyie msiojua biashara ila wengine hilo ndio neno zuri kuliko yote katika biashara.
Allaaa kumbe, sikujua hilo kuwa kwenye biashara ya bar neno mhudumu linaumaSio kwenye biashara ya bar.
Hivi UDSM wamemnyamazia kweli?Jenerali mpuuzi 'form 10' na ndio chuo kikuu kimeshabadirika jina tayari
Ndiyo, halikubaliki. Kuna ubaya gani kutumia neno Afisa mauzo?Allaaa kumbe, sikujua hilo kuwa kwenye biashara ya bar neno mhudumu linauma
Wataalam wenyewe wa afya wamejazana kwenye uzzi wa rick boy ule wa kula tunda kimasihara sidhan kama hii wataiona ila ilikuwa na tija kweli kweli, kuna yule jamaa anajita carlos the jackal sijui anawabandua kimasihara kule na ni docta asa hapa tuhesabu tushaumia mkuu….Hii ni dondoo nzuri kwa wataalamu wa afya kuifanyia tafiti ili waje na namna ya kuboresha huduma kama inavyofanyika katika maeneo mengine yenye changamoto ikiwemo vifo vya wajawazito
Afisa mauzo sio muhudumu, afisa mauzo ni yule anayeshawishi kuuzwa kwa bidhaa ambapo kwa bar hakuna hicho kitengo kwa sababu bar tunaenda wenyewe tunakuta viti, wahudumu na vinywaji kisha tunaita wahudumu tunawaagiza gambe. Mhudumu ni mtu atoaje huduma sasa wewe ni mmiliki wa bar umetuwekea huduma ya vinywaji unakaataje tukikuita mhudumu?Ndiyo, halikubaliki. Kuna ubaya gani kutumia neno Afisa mauzo?
Any..................nshomile wa wapiLiver au splee
Hapo defence yako ni involuntary intoxication au temporary insanity 🤣🤣 manake jamaa baada ya kupokea kipigo akachanganyikiwa kisha akaenda kutafuta msaada wa kisuMAONI YA BUSH LAWYER ON JF 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀😀😀😀
Muaji ya kukusudia, defence ya "in heat of passion" haipo tena! Alipata muda wa kwenda nyumbani, akatafuta kisu kilipo, akapanda gari, akarudi, akamtafuta alipo....akamchoma! basi alikusudia KUUA...MALICE AFORETHOUGHT
Heat of passion is a mitigating factor that may be raised by an accused criminal, claiming to have been in an uncontrollable rage, terror, or fury at the time of the alleged crime, especially one provoked by the victim. Heat of passion defense is used to negate the element of malice in a murder prosecution.
hapana, hakunywa kiasi cha kukosa fahamu ya maamuzi sahihi! malezo ya RPC hayasemi hivyo! Hivyo hiyo defense sidhani kma itamsaidia..... lakini si ushahidi bado kutolewa mahakamani (kesi haijafunguliwa) , anaweza kuitumia as you have suggestedHapo defence yako ni involuntary intoxication au temporary insanity 🤣🤣 manake jamaa baada ya kupokea kipigo akachanganyikiwa kisha akaenda kutafuta msaada wa kisu