Neno 'Mhudumu' lasababisha kifo cha mmiliki wa baa

Neno 'Mhudumu' lasababisha kifo cha mmiliki wa baa

Tale ni baa ya kihistoria, baa inazaidi ya miaka 20 ile,sasa mmiliki awe na miaka 35 naona hapo kuna shida mahali either mtoa taarifa au mleta taarifa, labda useme meneja wa bar.

Kingine walikosea kwenda hospitali ya wilaya kibena usiku wakati kwa kesi hiyo alibidi apelekwe moja kwa moja hospitali ya mkoa ambako laparatomy ingefanyika upesi, kupeleka ya wilaya walipoteza muda muhimu sana, ukizingatia hospitali ya wilaya iko mbali zaidi ya hospitali ya mkoa yenye emergency department iliyo active, shida ya ndugu zangu wale mpaka waje waizoee ile ya mkoa sijui itakuwa mwaka gani, pia wananchi waelekezwe case ipi iwe inawahishwa kwenye hospitali ya aina gani.
Mkuu kwani kitu kikiwa cha kijistoria wamiliki hawawezi kubadilika?,by the way jamaa alikuwa ndio Manager miaka ya nyumba badae Boss wake alimuuzia na jamaa akainunua kwa malipo ya kidogo kidogo mwishowe alamaliza na kufungua Bar nyingine Sumbawanga.
 
Hapa ndipo unajua biashara ni za wachache.

Kuna watu wanakwenda migahawa ya nusret mzee wa chumvi,wakifika wanadai yeye ndiye awapikie na awatengee.jamaa anafanya kwa ufahari mkubwa.

Labda tukubali walikuwa na kisa kingine,ila watu wa biashara huwa hawako hivi kabisa hususani wa bar.anaweza hata kukubeba mgongoji ukitaka[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio, mimi kwenye baa yangu nikipata muda huwa naenda kupiga mzigo mwenyewe ili kuwapa morali wafanyakazi, na mtu akiniita mhudumu either kwa makusudi au kukosea huwa natabasamu tu
 
Ndio, mimi kwenye baa yangu nikipata muda huwa naenda kupiga mzigo mwenyewe ili kuwapa morali wafanyakazi, na mtu akiniita mhudumu either kwa makusudi au kukosea huwa natabasamu tu
Safi sana mkuu utafika mbali zaidi, hiyo ndio inatakiwa kwenye biashara. Kuwa humble kwa wateja kwa wafanyakazi wako inaleta raha sana.
 
Sijajua kwanin hapa nchini kwetu mtu akichimwa kisu cha tumbo kupona ni 30% au hawez kupona kbsa hta akiwahishwa hospital.. nmesikia vifo vingi san vya namna hii, nahisi madaktar wetu hawan ujuzi na hizi ajali kulinganisha na nchi zingine kupona ni 70%
Inawezekana ni muda wa kuanza kutoa huduma ndo husababisha mtu kupoteza damu.
 
Sijajua kwanin hapa nchini kwetu mtu akichimwa kisu cha tumbo kupona ni 30% au hawez kupona kbsa hta akiwahishwa hospital.. nmesikia vifo vingi san vya namna hii, nahisi madaktar wetu hawan ujuzi na hizi ajali kulinganisha na nchi zingine kupona ni 70%
Hata ulaya ipo hivo,
Yan wew uchomwe kisu kipasue maini, kisha kichane Inferior Vena Cava, damu ianze kumwagika humo ndani, tena mwingine baada ya kuchoma akakipitisha mara tatu akachana maini na figo, kisha uje useme unatka kupona,
Kwan mkuu Mungu anakuogopa .?
 
Kwa nini emergency room ya hospitali ya wilaya haiko active ?

Na kwa nini Wananchi ndio waamue pa kumpeleka badala ya emergency first responders ???

Tatizo la viongozi wetu na wasomi wetu ni kwamba mmeganda kwenye fikra za u third world wa kudumu.

Swali mnalolitafutia majawabu ni "tuna survive vipi na huu u third world, tunaishije na hii hali yetu." Badala ya "tunatokaje kwenye huu u-third world."

Jawabu la emergency room ya Wilaya kutokuwa "active" sio kuwakimbiza watu wote emergency room ya mkoa, ambayo iko moja tu. Ni kuwaadabisha kikazi, na ki criminal justice kama wakiua. Na sio kuwatwika wananchi jukumu la kukimbiza wagonjwa hospitali. Tunataka ambulances zisambazwe kila mahala. How ? Cut government spending on $200,000 luxury Land Cruisers to start with.

Umeelewa wewe msomi ???
Una ni attack mimi kwani mm ni government? Kesi kama hiyo ikifika pale itakuwa arranged for referral mara nyingi wanao husika kufanya laparatomy ni ma dr bingwa wa upasuaji hao utawakuwa kwenye regional refferal hosp, kumbuka yote hayo yanavyofanyika huyu mtu aliendelea breed fr
Mkuu kwani kitu kikiwa cha kijistoria wamiliki hawawezi kubadilika?,by the way

Mkuu kwani kitu kikiwa cha kijistoria wamiliki hawawezi kubadilika?,by the way jamaa alikuwa ndio Manager miaka ya nyumba badae Boss wake alimuuzia na jamaa akainunua kwa malipo ya kidogo kidogo mwishowe alamaliza na kufungua Bar nyingine Sumbawanga.
Hapo sasa umenifumbua
 
Sijajua kwanin hapa nchini kwetu mtu akichimwa kisu cha tumbo kupona ni 30% au hawez kupona kbsa hta akiwahishwa hospital.. nmesikia vifo vingi san vya namna hii, nahisi madaktar wetu hawan ujuzi na hizi ajali kulinganisha na nchi zingine kupona ni 70%
Siyo kuchomwa visu tu...ni karibu kila kitu. Eti upate heart attack hapa au stroke mweh! Kwa wenzetu huko dakika tano ambulance imeshafika huko unakopelekwa emergency room unaikuta tayari tayari wameshaelezwa tatizo ni moja kwa moja kwenye operation. Ukifa basi ni kweli siku zimefika lakini siyo uzembe wa hapo Muhimbili mtu unaweza kukata moto watu wanakuangalia tu. Kwenye suala zima la huduma za afya na elimu sisi bado sana! 🚮
 
Mteja hakosei yule anayeheshimu biashara yako. Mteja anadharau biashara yako na wewe mwenyewe bado unamuita mteja?

Usije ukadhani sijui customer service au customer care.

Kwa title ya huyo muuaji inaonyesha kabisa ana dharau wengine kwakua amewahi kushika mkwanja
Mteja hata akikisea,Kuna lugha zake na namna ya kudili nae,ilis iku nyingine arudi,ndiyo maana ya mteja hakosei,siyo maneno makali,flankiki,ngumu...bado hujui customer care
 
Tale ni baa ya kihistoria, baa inazaidi ya miaka 20 ile,sasa mmiliki awe na miaka 35 naona hapo kuna shida mahali either mtoa taarifa au mleta taarifa, labda useme meneja wa bar.

Kingine walikosea kwenda hospitali ya wilaya kibena usiku wakati kwa kesi hiyo alibidi apelekwe moja kwa moja hospitali ya mkoa ambako laparatomy ingefanyika upesi, kupeleka ya wilaya walipoteza muda muhimu sana, ukizingatia hospitali ya wilaya iko mbali zaidi ya hospitali ya mkoa yenye emergency department iliyo active, shida ya ndugu zangu wale mpaka waje waizoee ile ya mkoa sijui itakuwa mwaka gani, pia wananchi waelekezwe case ipi iwe inawahishwa kwenye hospitali ya aina gani.
Hospital ya mkoa ipo sehem gani??
 
Maeneo ya tumbo kuna organ muhimu nyingi kama Ini, figo, kongosho, .. hivyo ikitokea kisu kimegusa organ hizo kifo kinamkuta mchomwaji.
Ukiwahishwa hospitali, na wao wakakupasua kuona nini kimeathirika, kuna uwezekano wa kukuponya. Ila kwa Tz hatuna dharura na hatujui haraka. Hapo watu wamehangaika na kumdhibiti mtuhumiwa, na pengine kusubiri mambo ya polisi wasiojali kazi yao, bila ya kumuwahisha hospitali aliyejeruhiwa.

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Sijajua kwanin hapa nchini kwetu mtu akichimwa kisu cha tumbo kupona ni 30% au hawez kupona kbsa hta akiwahishwa hospital.. nmesikia vifo vingi san vya namna hii, nahisi madaktar wetu hawan ujuzi na hizi ajali kulinganisha na nchi zingine kupona ni 70%
...🤔🤔🤔..
 
Back
Top Bottom