Neno 'Mhudumu' lasababisha kifo cha mmiliki wa baa

Neno 'Mhudumu' lasababisha kifo cha mmiliki wa baa

Sijajua kwanin hapa nchini kwetu mtu akichimwa kisu cha tumbo kupona ni 30% au hawez kupona kbsa hta akiwahishwa hospital.. nmesikia vifo vingi san vya namna hii, nahisi madaktar wetu hawan ujuzi na hizi ajali kulinganisha na nchi zingine kupona ni 70%
Uko sahihi lakini pia umbali wa vituo vya afya navyo ni tatizo
 
Sijajua kwanin hapa nchini kwetu mtu akichimwa kisu cha tumbo kupona ni 30% au hawez kupona kbsa hta akiwahishwa hospital.. nmesikia vifo vingi san vya namna hii, nahisi madaktar wetu hawan ujuzi na hizi ajali kulinganisha na nchi zingine kupona ni 70%
Uje uangalie movie ya scream ndo utashangaaa visu vile lakn watu bado walipona
 
Back
Top Bottom