Neno 'Mhudumu' lasababisha kifo cha mmiliki wa baa

Haya yote mkuu ni ku complicate mambo. Ukishika silaha ukauwa basi wewe ni muuwaji tu na sheria ya jicho kwa jicho ndio inafaa.
 
Huwezi kuwasilisha kwa kiswahili!?
 
Watu hutofautiana katika kufanya maamuzi.
Wewe huwezi lkn wapo wanaweza kufanya hivyo

Hapa ndipo unajua biashara ni za wachache.

Kuna watu wanakwenda migahawa ya nusret mzee wa chumvi,wakifika wanadai yeye ndiye awapikie na awatengee.jamaa anafanya kwa ufahari mkubwa.

Labda tukubali walikuwa na kisa kingine,ila watu wa biashara huwa hawako hivi kabisa hususani wa bar.anaweza hata kukubeba mgongoji ukitaka[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Waache kulazimisha kufanya biashara ya baa ilihali kifikira wanawaza kuwa BOT.
 
Mbon
Mbona km mtoa mada hajatoa maoni.
Nionavyo mimi ni km katoa taarifa baada ama ya kumsikiliza RPC ama kutoka kwa aliyemsimulia.
 
Yaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…