Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Tunakusikiliza wewe sasa Town lawyer...utupe maelezo yako ya fifth year ya sheria...kama hujapita "Form 10" ( Mzee Ulimwengu jamaniii!!!)Ndivyo mlivyo fundishwa first year mmekariri
Jenerali mpuuzi 'form 10' na ndio chuo kikuu kimeshabadirika jina tayariTunakusikiliza wewe sasa Town lawyer...utupe maelezo yako ya fifth year ya sheria...kama hujapita "Form 10" ( Mzee Ulimwengu jamaniii!!!)
Njombe ni miongoni mwa mikoa yenye matukio mengi ya mauaji nchini. Hata hivyo, matukio mengi yanahusishwa na imani za kishirikiana na wivu wa mapenziMMILIKI wa baa ya Tale mjini Njombe, Jackson Mgeni (35), mkazi wa Mji Mwema mjini hapa, amefariki dunia kutokana na kuchomwa kisu tumboni na anayedaiwa mteja wake, Emmanuel Shiwa (32).
Mfanyabiashara wa madini na mkazi wa eneo la Uwanja wa Ndege mjini Njombe, anadaiwa kutenda ukatili huo baada ya kutokea ugomvi kati yao alipomwita Mgeni, akitumia neno 'mhudumu'.
Ni tukio hilo lilitokea Novemba jana saa nane usiku katika baa hiyo ya mjini Njombe.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Kamishna Msaidizi Mahamoud Banga alithibitisha kutokea kwa tukio hilo. Alisema mtuhumiwa ni mteja mzoefu katika baa hiyo.
"Katika hali ya kupata huduma, mtuhumiwa alimwita Mgeni kwa jina la mhudumu. Sasa kile kitendo cha kuitwa mhudumu, ninafikiri kilimuudhi.
"Akaanza kugombana na yule mteja na yule mteja ninafikiri aliona hatoweza kupigana naye kawaida. Hivyo alitoka nje," alisema Kamanda Banga.
Aliendelea kusimulia, akisema: "Mtuhumiwa huyo baada ya kutoka nje alipanda gari lake, akaenda nyumbani kwake.
"Mashuhuda wanasema ni maeneo ya Uwanja wa Ndege, lakini baada ya muda alirudi na kisu na kumvizia yule jamaa na kumchoma nacho tumboni."
Kamanda Banga alisema kuwa baada ya kufanya tukio hilo, wananchi ambao ni wateja wa baa hiyo walikuwapo eneo la tukio, walimdhibiti mtuhumiwa na kutoa taarifa kituo cha polisi.
"Polisi walifika na kumkamata, majeruhi alikimbizwa Hospitali ya Halmashauri ya Mji Njombe (Kibena), lakini kabla ya kuanza kupatiwa matibabu alifariki (dunia)," alisema Kamanda Banga.
Njombe ni miongoni mwa mikoa yenye matukio mengi ya mauaji nchini. Hata hivyo, matukio mengi yanahusishwa na imani za kishirikiana na wivu wa mapenzi.
mi naogopa kansa na kisukari, ukimwi hauna shidaMkuu vipi haujaunganishwa gwwnye gridi ya taifa? Maana nasikia njombe namba zipo juu.
Hii inaitwa pre-meditated homicideMAONI YA BUSH LAWYER ON JF π π π π π π π ππππ
Muaji ya kukusudia, defence ya "in heat of passion" haipo tena! Alipata muda wa kwenda nyumbani, akatafuta kisu kilipo, akapanda gari, akarudi, akamtafuta alipo....akamchoma! basi alikusudia KUUA...MALICE AFORETHOUGHT
Heat of passion is a mitigating factor that may be raised by an accused criminal, claiming to have been in an uncontrollable rage, terror, or fury at the time of the alleged crime, especially one provoked by the victim. Heat of passion defense is used to negate the element of malice in a murder prosecution.
Kulikuwa na kitu baina yao.MMILIKI wa baa ya Tale mjini Njombe, Jackson Mgeni (35), mkazi wa Mji Mwema mjini hapa, amefariki dunia kutokana na kuchomwa kisu tumboni na anayedaiwa mteja wake, Emmanuel Shiwa (32).
Mfanyabiashara wa madini na mkazi wa eneo la Uwanja wa Ndege mjini Njombe, anadaiwa kutenda ukatili huo baada ya kutokea ugomvi kati yao alipomwita Mgeni, akitumia neno 'mhudumu'.
Ni tukio hilo lilitokea Novemba jana saa nane usiku katika baa hiyo ya mjini Njombe.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Kamishna Msaidizi Mahamoud Banga alithibitisha kutokea kwa tukio hilo. Alisema mtuhumiwa ni mteja mzoefu katika baa hiyo.
"Katika hali ya kupata huduma, mtuhumiwa alimwita Mgeni kwa jina la mhudumu. Sasa kile kitendo cha kuitwa mhudumu, ninafikiri kilimuudhi.
"Akaanza kugombana na yule mteja na yule mteja ninafikiri aliona hatoweza kupigana naye kawaida. Hivyo alitoka nje," alisema Kamanda Banga.
Aliendelea kusimulia, akisema: "Mtuhumiwa huyo baada ya kutoka nje alipanda gari lake, akaenda nyumbani kwake.
"Mashuhuda wanasema ni maeneo ya Uwanja wa Ndege, lakini baada ya muda alirudi na kisu na kumvizia yule jamaa na kumchoma nacho tumboni."
Kamanda Banga alisema kuwa baada ya kufanya tukio hilo, wananchi ambao ni wateja wa baa hiyo walikuwapo eneo la tukio, walimdhibiti mtuhumiwa na kutoa taarifa kituo cha polisi.
"Polisi walifika na kumkamata, majeruhi alikimbizwa Hospitali ya Halmashauri ya Mji Njombe (Kibena), lakini kabla ya kuanza kupatiwa matibabu alifariki (dunia)," alisema Kamanda Banga.
Njombe ni miongoni mwa mikoa yenye matukio mengi ya mauaji nchini. Hata hivyo, matukio mengi yanahusishwa na imani za kishirikiana na wivu wa mapenzi.
Muuaji ni Msukuma anaitwa Emanuel Shiwa MasanjaHuko Njombe ni noma sana aisee
Sijui kuna shida gani.. bora nibakie daslam tu. Mikoani hapana
Huyo marehemu hakuwa anajua maana ya kuwa na biashara,ukiwa na biashara na watu wamekuja unakuwa mjini kwa kuitwa jina lolote cha msingi ni hela analipa.......vifo vingine ni vya kijinga sana
Bush lawyer ume zunguka sana kwa izo facts iyo ni murder directly. sioni akichomoka kwa defence yoyote ata kama alikua kalewaMAONI YA BUSH LAWYER ON JF π π π π π π π ππππ
Muaji ya kukusudia, defence ya "in heat of passion" haipo tena! Alipata muda wa kwenda nyumbani, akatafuta kisu kilipo, akapanda gari, akarudi, akamtafuta alipo....akamchoma! basi alikusudia KUUA...MALICE AFORETHOUGHT
Heat of passion is a mitigating factor that may be raised by an accused criminal, claiming to have been in an uncontrollable rage, terror, or fury at the time of the alleged crime, especially one provoked by the victim. Heat of passion defense is used to negate the element of malice in a murder prosecution.
Mzee ina depend na kisu aina gan na kina urefu ganiSijajua kwanin hapa nchini kwetu mtu akichimwa kisu cha tumbo kupona ni 30% au hawez kupona kbsa hta akiwahishwa hospital.. nmesikia vifo vingi san vya namna hii, nahisi madaktar wetu hawan ujuzi na hizi ajali kulinganisha na nchi zingine kupona ni 70%
Mungu amlaze anapostahili marehemuPole kwa wafiwa wa msiba huu.
Pole Watanzania kwa msiba wa ujinga unaowakabili wengi kitaifa.
Baba tupe darasaMAONI YA BUSH LAWYER ON JF π π π π π π π ππππ
Muaji ya kukusudia, defence ya "in heat of passion" haipo tena! Alipata muda wa kwenda nyumbani, akatafuta kisu kilipo, akapanda gari, akarudi, akamtafuta alipo....akamchoma! basi alikusudia KUUA...MALICE AFORETHOUGHT
Heat of passion is a mitigating factor that may be raised by an accused criminal, claiming to have been in an uncontrollable rage, terror, or fury at the time of the alleged crime, especially one provoked by the victim. Heat of passion defense is used to negate the element of malice in a murder prosecution.
Postmortem report ingeeleza zaidi. Ila hii uliyotuma ni illustration ya system moja tu yaani digestive system wakati eneo zima la tumboni kuna organs nyingi zaidi ya hizo. Lakini in general vifo vingi vya kuchomwa kisu tumboni hutokana na kutoka damu nyingi plus hakuna huduma ya kwanza na mgonjwa kucheleweshwa kufikishwa hospitali.
Uko sahihi kabisa. Nilikuwa najaribu kuonesha internal organs kwenye "tumbo" kama alivyosema mdau mmoja kuwa ukichomwa kisu tumboni kuna organs nyingi hivyo uwezekano wa kupona ni mdogo. Definitely ukiumiza figo moja huwezi kufa. Utakufa kwa kuvuja damu nyingi bila first aid ya kuzuia damu isiishe.Postmortem report ingeeleza zaidi. Ila hii uliyotuma ni illustration ya system moja tu yaani digestive system wakati eneo zima la tumboni kuna organs nyingi zaidi ya hizo. Lakini in general vifo vingi vya kuchomwa kisu tumboni hutokana na kutoka damu nyingi plus hakuna huduma ya kwanza na mgonjwa kucheleweshwa kufikishwa hospitali.
Hizo namba ni za kuombea fedha kwa wahisani, hazina uhalisia wowote mkuuMkuu vipi haujaunganishwa gwwnye gridi ya taifa? Maana nasikia njombe namba zipo juu.
Tale ni baa ya kihistoria, baa inazaidi ya miaka 20 ile,sasa mmiliki awe na miaka 35 naona hapo kuna shida mahali either mtoa taarifa au mleta taarifa, labda useme meneja wa bar.MMILIKI wa baa ya Tale mjini Njombe, Jackson Mgeni (35), mkazi wa Mji Mwema mjini hapa, amefariki dunia kutokana na kuchomwa kisu tumboni na anayedaiwa mteja wake, Emmanuel Shiwa (32).
Mfanyabiashara wa madini na mkazi wa eneo la Uwanja wa Ndege mjini Njombe, anadaiwa kutenda ukatili huo baada ya kutokea ugomvi kati yao alipomwita Mgeni, akitumia neno 'mhudumu'.
Ni tukio hilo lilitokea Novemba jana saa nane usiku katika baa hiyo ya mjini Njombe.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Kamishna Msaidizi Mahamoud Banga alithibitisha kutokea kwa tukio hilo. Alisema mtuhumiwa ni mteja mzoefu katika baa hiyo.
"Katika hali ya kupata huduma, mtuhumiwa alimwita Mgeni kwa jina la mhudumu. Sasa kile kitendo cha kuitwa mhudumu, ninafikiri kilimuudhi.
"Akaanza kugombana na yule mteja na yule mteja ninafikiri aliona hatoweza kupigana naye kawaida. Hivyo alitoka nje," alisema Kamanda Banga.
Aliendelea kusimulia, akisema: "Mtuhumiwa huyo baada ya kutoka nje alipanda gari lake, akaenda nyumbani kwake.
"Mashuhuda wanasema ni maeneo ya Uwanja wa Ndege, lakini baada ya muda alirudi na kisu na kumvizia yule jamaa na kumchoma nacho tumboni."
Kamanda Banga alisema kuwa baada ya kufanya tukio hilo, wananchi ambao ni wateja wa baa hiyo walikuwapo eneo la tukio, walimdhibiti mtuhumiwa na kutoa taarifa kituo cha polisi.
"Polisi walifika na kumkamata, majeruhi alikimbizwa Hospitali ya Halmashauri ya Mji Njombe (Kibena), lakini kabla ya kuanza kupatiwa matibabu alifariki (dunia)," alisema Kamanda Banga.
Njombe ni miongoni mwa mikoa yenye matukio mengi ya mauaji nchini. Hata hivyo, matukio mengi yanahusishwa na imani za kishirikiana na wivu wa mapenzi.
Marehemu ndio mmiliki wa Westgate ya Sumbawanga tutamkumbuka sana Ras alikuwa mtu mpole sana baada ya Simba kupigwa Kono la Nyani kila mteja alieingia kwenye bar yake(Westgate) alikuwa anapewa beer moja ofa ya kusherehekea ushindi R.I.P Ras mbele yako nyuma yetu
Tale Tale baa yangu hiyo , hatari sana, nimekula bata sana hapo, na warembo kibao,, girafe itazidi kuwa juu