Neno mswahili wewe unalitafsiri vipi?

Ndio inavyokuaga hivyo
 
Kwahiyo unataka kusema anafaid mema ya familia
Kufaidi au kutofaidi hiyo ni yeye! tunatofautiana kimtazamo mimi siwezi kujigamba kwa msaada wa ndugu wenye mshiko!
Kama kuna connection naweza pata kupitia wao au kuna namna watanisaidia kurahisisha njia za kupita aiseee mi mapema sana ntafanya mazingira na ntatoboa
 
Mswwahili uyo
 
mswahili ni mtu anaejifanya anajua kumbe hajui starehe anapenda na pesa hana kwasabu pesa hana basi starehe yake kubwa ni ngono ataoa wake wengi au ataoa nakuacha watoto huduma zero

anauwivu na majungu kwa aliefanikiwa wengi wao elimu hawana
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ majungu ni mtaji
 
Mswahili kitaalamu ni mtu anayetokea pwani pwani huko zenji,Tanga, mtwara,Lindi,bagamoyo ila kimjinmjin mswahili Ni mtu anayekaa mazingira hatarishi(uswazi)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…