Neno mswahili wewe unalitafsiri vipi?

Neno mswahili wewe unalitafsiri vipi?

Kwishaaa!!; Hao wa kujibanza wanakuaga na mbwembwe acha!

Jamaangu Moja tulitoka wote sehem Moja kufika dar kila mtu akafikia kwa mwenyeji wake, mi nlifikia kwa marafiki nliosoma nao yy akaenda Kwa ndugu zake Kwa kiasi flan Ile familia hela zipo rafiki hata lengo lililotuleta aliacha saiv daily kuweka status wanapokua viwanja 😁😁 tukipiga story kwangu 50k ni kubwa lkn kwake 100k anaona kama jero tu
Ndio inavyokuaga hivyo
 
Kwahiyo unataka kusema anafaid mema ya familia
Kufaidi au kutofaidi hiyo ni yeye! tunatofautiana kimtazamo mimi siwezi kujigamba kwa msaada wa ndugu wenye mshiko!
Kama kuna connection naweza pata kupitia wao au kuna namna watanisaidia kurahisisha njia za kupita aiseee mi mapema sana ntafanya mazingira na ntatoboa
 
Kufaidi au kutofaidi hiyo ni yeye! tunatofautiana kimtazamo mimi siwezi kujigamba kwa msaada wa ndugu wenye mshiko!
Kama kuna connection naweza pata kupitia wao au kuna namna watanisaidia kurahisisha njia za kupita aiseee mi mapema sana ntafanya mazingira na ntatoboa
Mswwahili uyo
 
mswahili ni mtu anaejifanya anajua kumbe hajui starehe anapenda na pesa hana kwasabu pesa hana basi starehe yake kubwa ni ngono ataoa wake wengi au ataoa nakuacha watoto huduma zero

anauwivu na majungu kwa aliefanikiwa wengi wao elimu hawana
😂😂😂 majungu ni mtaji
 
Back
Top Bottom