Neno mswahili wewe unalitafsiri vipi?

Neno mswahili wewe unalitafsiri vipi?

mswahili ni mtu anaejifanya anajua kumbe hajui starehe anapenda na pesa hana kwasabu pesa hana basi starehe yake kubwa ni ngono ataoa wake wengi au ataoa nakuacha watoto huduma zero

anauwivu na majungu kwa aliefanikiwa wengi wao elimu hawana
Hacha kupotosha
 
Waswahili ni mfano wa watu wa Jf wote waliochangia huu uzi wanatabia za waswahili , uongo uongo mwingi, wote wana magari na hawaishi uswahilini.
 
Rais wa JMT mh Dr Samia ataizindua rasmi Jengo la Ikulu mpya ya Chamwino siku ya 20/5/2023
Hakuna ushwahili kwa JPM
 

Ushwahili Ndio kama huu🖕🖕
 
Waswahili ni mfano wa watu wa Jf wote waliochangia huu uzi wanatabia za waswahili , uongo uongo mwingi, wote wana magari na hawaishi uswahilini.
😂😂😂 kaka punguza jazba bas
 
Kwishaaa!!; Hao wa kujibanza wanakuaga na mbwembwe acha!

Jamaangu Moja tulitoka wote sehem Moja kufika dar kila mtu akafikia kwa mwenyeji wake, mi nlifikia kwa marafiki nliosoma nao yy akaenda Kwa ndugu zake Kwa kiasi flan Ile familia hela zipo rafiki hata lengo lililotuleta aliacha saiv daily kuweka status wanapokua viwanja 😁😁 tukipiga story kwangu 50k ni kubwa lkn kwake 100k anaona kama jero tu
🤣🤣Mwenzio anaona life kalipatia tayari🤣chezeya mitoko ya samaki samaki,vidimbwi, Hyatt,bahari beach etc
 
Back
Top Bottom