25000q
JF-Expert Member
- Dec 27, 2022
- 4,805
- 3,762
Huyu ajui chochoteAhahhahaaa hii kiboko kwahiyo wanao kunywa kahawa ni waswahili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ajui chochoteAhahhahaaa hii kiboko kwahiyo wanao kunywa kahawa ni waswahili?
Hacha kupotoshamswahili ni mtu anaejifanya anajua kumbe hajui starehe anapenda na pesa hana kwasabu pesa hana basi starehe yake kubwa ni ngono ataoa wake wengi au ataoa nakuacha watoto huduma zero
anauwivu na majungu kwa aliefanikiwa wengi wao elimu hawana
Una maana ganiUmenikumbusha awamu ya Pili na ya Sita
Mwamposa sioKa nyakati hizi mswahili nikama
MCHAWI,MSHIRIKINA.
Mjanjamjanja.
Umekalili tuMswahili kitaalamu ni mtu anayetokea pwani pwani huko zenji,Tanga, mtwara,Lindi,bagamoyo ila kimjinmjin mswahili Ni mtu anayekaa mazingira hatarishi(uswazi)
Una maana gani
Uswahili, UswahiliUna maana gani
Ni MTU Kama wewe Mwachiluwi .Morng Africa
Ukilisikia neno mswahili kwako unapata maana gani yaani ukisikia mtu anaitwa mswahili ni picha gani inakujia juu ya mtu alie itwa mswahili
Zamani sana wakati nasoma primary nilifikiri Wazaramo ndiyo Waswahili.Mswahili ni kabila la watu wa mwambao mambasa wapo ngazija wapo
😂😂😂 kaka punguza jazba basWaswahili ni mfano wa watu wa Jf wote waliochangia huu uzi wanatabia za waswahili , uongo uongo mwingi, wote wana magari na hawaishi uswahilini.
Kumbe mimi mswahili na sijijui asante kwakunichanaNi MTU Kama wewe Mwachiluwi .
Yaani MTU anayeongea kiswahili na kukaa uswahilini.
😂😂😂 aseTanzania Mining Cadastre Portal mtandao huo umezimwa sasa ni miezi 4 haufanyi kazi
Prof. Idris Suleiman Kikula, mwenyekiti wa Tume ya Madini amekiri kuwa Mtandao tajwa hapo juu umezima kama sio kushindwa kufanya kazi kwa kipindi cha miezi minne sasa. Kukosekana kwa huduma hiyo muhimu kumeikosesha serikali hasara ya bilioni 7 kwa mwezi jambo ambalo sio la kuvumiliwa. Waziri...www.jamiiforums.com
Ushwahili Ndio kama huu🖕🖕
🤣🤣Mwenzio anaona life kalipatia tayari🤣chezeya mitoko ya samaki samaki,vidimbwi, Hyatt,bahari beach etcKwishaaa!!; Hao wa kujibanza wanakuaga na mbwembwe acha!
Jamaangu Moja tulitoka wote sehem Moja kufika dar kila mtu akafikia kwa mwenyeji wake, mi nlifikia kwa marafiki nliosoma nao yy akaenda Kwa ndugu zake Kwa kiasi flan Ile familia hela zipo rafiki hata lengo lililotuleta aliacha saiv daily kuweka status wanapokua viwanja 😁😁 tukipiga story kwangu 50k ni kubwa lkn kwake 100k anaona kama jero tu
Kwani umewahi kukuta mtu wa bara anakunywa tule tuvikombe tudogoAhahhahaaa hii kiboko kwahiyo wanao kunywa kahawa ni waswahili?
Kivip mkuuMwamposa sio