Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Wakuu habari za huko uliko.
Kuna hili suala linanipa utata kidogo. Naamini wengi tuna wapenzi au wenza wa maisha. Na wengine ambao wapo solo waliwahi kuwa kwenye mahusiano wakati fulani.
Katika harakati za mahusiano ni jambo la kawaida mpenzi mmoja kumwambia mwenzake NAKUPENDA au mke kumwambia mumewe NAKUPENDA.
Mara nyingi mtu anapoambiwa neno NAKUPENDA na mtu ambaye hana uhusiano nae wa kimapenzi huwa anaona ni jambo lisilo la kawaida.
Je wewe mwana jf umewahi kuambiwa NAKUPENDA na mtu hasiye mpenzi wako ?
na upi ulikuwa muitikio wako baada ya kuambiwa neno hilo.
karibuni tu chit chat.
Kuna hili suala linanipa utata kidogo. Naamini wengi tuna wapenzi au wenza wa maisha. Na wengine ambao wapo solo waliwahi kuwa kwenye mahusiano wakati fulani.
Katika harakati za mahusiano ni jambo la kawaida mpenzi mmoja kumwambia mwenzake NAKUPENDA au mke kumwambia mumewe NAKUPENDA.
Mara nyingi mtu anapoambiwa neno NAKUPENDA na mtu ambaye hana uhusiano nae wa kimapenzi huwa anaona ni jambo lisilo la kawaida.
Je wewe mwana jf umewahi kuambiwa NAKUPENDA na mtu hasiye mpenzi wako ?
na upi ulikuwa muitikio wako baada ya kuambiwa neno hilo.
karibuni tu chit chat.