Neno ‘Nakupenda’ limeexpire

Yani wew ni mm kabisa 😀 😀
Napenda sana ilo neno kiukweli kuhusu kuanza Huwa sijali nimeanza marangapi mm muhimu niwe nimesema ukianzwa ndo unajichekea tu 😂😂
 
Yani wew ni mm kabisa 😀 😀
Napenda sana ilo neno kiukweli kuhusu kuanza Huwa sijali nimeanza marangapi mm muhimu niwe nimesema ukianzwa ndo unajichekea tu 😂😂
Sisi ni kila maongezi, kuna wakati tunajadili mambo magumu au mpira nashangaa tu “Nakupenda Nifah wangu”
Nyieeeeee!
 
JF tushaizoea. Mara nyingi mashambulizi hutoka kwa wale wanaotaka kusikika zaidi. Wakiona wapo left out ndio wanaanza malalamiko.
Ha ha ha,huwezi zoea matatizo aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…