Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivyo yani😂🤣🤣🙌🏿
Usimuite demu tutagombana 😡Demu katambua kuwa wampenda sana
Hua naogopa siku nikimfumania kama nitaweza kumuachaAm so sorry man😔
Mmeyafanya mapenzi yamekuwa magumu sana.Mahusiano ya siku hizi jitahidi sana uwe upande wa "nakupenda pia"
😘😘hongera sana cuteKwangu hilo ndilo neno ninalopenda kumwambia zaidi kaka mzuri wangu, siwezi kumtumia texts tatu bila kumwambia nampenda.
Same kwake, umegeuka utaratibu wetu na kiukweli ndilo neno napenda kusikia kutoka kwake.
Nyie wenzetu vipi? Asiponiambia ananipenda sina raha.
Hahahahahahaha...Yaan ukiambiwa hivyo badala ya kujibu unaanza kupata wasiwasi.Sijui tatizo nini?
Baby nakupenda!
Baby mwenyewe 👇🏽
View attachment 2899305
HahahahahahahaKwangu hilo ndilo neno ninalopenda kumwambia zaidi kaka mzuri wangu, siwezi kumtumia texts tatu bila kumwambia nampenda.
Same kwake, umegeuka utaratibu wetu na kiukweli ndilo neno napenda kusikia kutoka kwake.
Nyie wenzetu vipi? Asiponiambia ananipenda sina raha.
HahahahahahaMmeyafanya mapenzi yamekuwa magumu sana.
Huwezi kukubali ni kawaida kila mtu huwa anasema hawezi kusumbuliwa na mapenziHakuna hakuna....nakataa Hapana mkuu