Neno ‘Nakupenda’ limeexpire

Neno ‘Nakupenda’ limeexpire

Kiukweli kabisa sijawahi kuwa na mwanaume ambaye chemistry yetu ni kama mimi na kaka mzuri.
Haya na mengine mengi yalinifanya nikashindwa kumsahau, sasa hivi tuko pamoja tena hakuna kingine nahitaji katika hii dunia.
Hongereni sana, huwa napenda sana kuona wawili wakipendana na kutendeana ya upendo kwa sababu kwenye kipindi fulani kwenye maisha yangu niliyaishi hayo ya upendo hata kama hatukufikia lengo naapreciate, ni best ever kama ujawahi fikia level hii huwezi kunielewa namaanisha nini.

Upendo ulikuwepo, amani ilikuwepo, furaha ilikuwepo, heshima ilikuwepo na kupishana pia kulikuwepo ili kudhihirisha kuwa upendo upo kwa kuwekana sawa na kusameheana.
 
Mumy To yeye sijui unazungumzia mahusiano ya aina gani hapa?

Sisi wa kufa na kuzikana ambao tuna miaka nenda rudi tumeshajizowelea na huwa sioni kama akiandika hilo neno kuna kaunafiki ndani kwangu naamini anamaanisha na bila shaka kwa upande wake ni vivyo hivyo.
Hongera sana cute...,pendo lenu lizidi kuchanua
 
1c2da78a71d34325c915be716f8287b5.png
 
Back
Top Bottom