Neno "tafuta hela" limeua dhana nzima ya neno" mahusiano" na" upendo"

Neno "tafuta hela" limeua dhana nzima ya neno" mahusiano" na" upendo"

Bolotoba

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2024
Posts
3,424
Reaction score
7,706
Kigezo Cha kuwa kwenye mahusiano kimekuwa kimoja🤔tu utasikia watu mtaani Wakina dada wanasema "tafuta hela"?! Utaweza kummliki huyo demu
Lakini watu waliojipata kifedha mfano "vunja bei " wakati fulani alipublish sana swala la Kuhonga

Ina maana hakuna aspect nyingine zinazowakutanisha watu kimahusiano?


Hivi Sasa huwezi kutofautisha mahusiano ya mapenzi na hizi terminology Sasa ni Sawa na "company" au "partnership" hakuna tena Ile ladha ya upendo kama zamani

Kwa sasa mahusiano yanatulazimisha hivi vitu :
👉Unatakiwa uwe HR mzuri sana kwenye kurecruit mtu kwenye mahusiano , hisia zinatakiwa ziwe pembeni kabisa angalia productivity ya huyo mtu unaemchagua

👉Unatakiwa uwe accountant mzuri, kweli kweli kwenye kupiga hesabu za kummudu huyo mtu mwisho wa siku usije ukala loss kwenye uwekezaji wako
👉Unatakiwa uwe risk manager mzuri, mtu yupo radhi kusomesha, ajinyime kula ata kutowajali ndugu zake ili ampe mpenzi tu, na huyo analaumu anasema kapewa kidogo shame on them.

👉Nitoe tu rai
Weka pembeni neno mpenzi mwanaume mwenzangu
We jua tu upo na "partner" ama "shareholder " kwenye kampuni yenu inayoitwa "love relationship" kuwa mjanja

Hakikisha unaweka condition ambazo ikitokea kampuni yenu ya mapenzi inaleta shida hautapata loss kubwa ya fedha.

Karibuni kwa maoni na michango.
 
Huyo mrembo anayekusumbuaaa. Usiwaze, just focus on money sababu miaka kumi ijayo atakuwa ashachoka na wakati huo utakuwa na hela. Kama utafocus lakini
Asante.
 
Huyo mrembo anayekusumbuaaa. Usiwaze, just focus on money sababu miaka kumi ijayo atakuwa ashachoka na wakati huo utakuwa na hela. Kama utafocus lakini
Asante.
Nakumbusha pia usipofocus, miaka kumi ijayo, wewe na huyo demu wote mtakua mmechoka
 
Tafsiri yake

Kwamba we tafuta pesa na ukiwa nazo, ruksa kutembea na yeyote mwenye kuhitaji hizo pesa zako.
Unaweza kuwa na mahusiano na mwanamke, ukamlala mama yake, dada zake, kaka zake au hata baba yake madam wanaohutaji pesa.(Maadili, heshima nidhamu, utu sio dili tena......we tafuta pesa)
kwamba ukiwa na pesa ni marufuku kuwa na mwanamke/mwanaume mmoja, mwiko kuwa na mke/mume mmoja.lazima uwe na wengi kwani ni wahitaji wa pesa.
Ukiwa na pesa hutakiwi kuwa mwaminifu!
 
Kuna wanaotoa hela ili wale na kuna wanotumia flattery skills zao
kila mtu ashinde mechi zake
 
Pesa ni kirutubishi cha upendo bila pesa hata mwanao wa kumzaa anaweza kukutukana
 
Kigezo Cha kuwa kwenye mahusiano kimekuwa kimoja🤔tu utasikia watu mtaani Wakina dada wanasema "tafuta hela"?! Utaweza kummliki huyo demu
Lakini watu waliojipata kifedha mfano "vunja bei " wakati fulani alipublish sana swala la Kuhonga

Ina maana hakuna aspect nyingine zinazowakutanisha watu kimahusiano?


Hivi Sasa huwezi kutofautisha mahusiano ya mapenzi na hizi terminology Sasa ni Sawa na "company" au "partnership" hakuna tena Ile ladha ya upendo kama zamani

Kwa sasa mahusiano yanatulazimisha hivi vitu :
👉Unatakiwa uwe HR mzuri sana kwenye kurecruit mtu kwenye mahusiano , hisia zinatakiwa ziwe pembeni kabisa angalia productivity ya huyo mtu unaemchagua

👉Unatakiwa uwe accountant mzuri, kweli kweli kwenye kupiga hesabu za kummudu huyo mtu mwisho wa siku usije ukala loss kwenye uwekezaji wako
👉Unatakiwa uwe risk manager mzuri, mtu yupo radhi kusomesha, ajinyime kula ata kutowajali ndugu zake ili ampe mpenzi tu, na huyo analaumu anasema kapewa kidogo shame on them.

👉Nitoe tu rai
Weka pembeni neno mpenzi mwanaume mwenzangu
We jua tu upo na "partner" ama "shareholder " kwenye kampuni yenu inayoitwa "love relationship" kuwa mjanja

Hakikisha unaweka condition ambazo ikitokea kampuni yenu ya mapenzi inaleta shida hautapata loss kubwa ya fedha.

Karibuni kwa maoni na michango.
Siku za mwisho UPENDO wa wengi utapoa
 
Back
Top Bottom