Nepal: Mmoja alikuwa Live Facebook kabla ndege haijaanguka

Nepal: Mmoja alikuwa Live Facebook kabla ndege haijaanguka

mcshonde

Member
Joined
Jul 15, 2022
Posts
66
Reaction score
154
Ndege ndogo ya abiria ilianguka kwenye bonde mkoani Pokhara, nchini Nepal, mapema jumapili. Ndege hii ilikuwa imebakiza sekunde 10 - 20 ili itue kwenye kiwanja kipya cha Pokhara kilichozinduliwa wiki 2 zilizopita.

Mpaka hivi sasa watu 68 kati ya 72 waliokuwa kwenye ndege hiyo wamefariki dunia, mmojawapo akiwa ni Sonu Jaiswal. So Sad.

 
Mungu awarehemu na kuwapumzisha marehemu wote.

Majeruhi wapate nafuu mapema
 
Marehemu wote Wapate rehema Kwa Mungu wapumzike kwa amani
 
Usafiri wa anga kwa nchi ya Nepal muda mwingi hali ya hewa huleta shida,nakumbuka tulishinda airport ya Kathmandu siku mbili kusubiria hali ya hewa ikae vizuri ndege iruke kwenda Lukla.
Missing u Nepal.
RIP kwa wote.
Yes, you are quite true. Safu za milima ya Himalaya ni challenge kubwa sana kwa marubani especially:- Paro international airport, Kathmandu Tribhuva International airport, Lukla airport Nepal
Ni kati ya most Dangerous, Risky and due diligence airports for landing/taking off.
 
Kwa hiyo ikiwepo internet service ndo hutakiwi kuzima vifaa vya mawasiliano tangazo linapotoka? akili kisoda hii....
Unatumia wewe chumvi..

We uliambiwa hao wametangaziwa??


 
Back
Top Bottom