Net budget TSH 10 Million. Je, naweza agiza na kumiliki IST kutoka nje?

Net budget TSH 10 Million. Je, naweza agiza na kumiliki IST kutoka nje?

Navyofahamu mimi, 4WD ni injini kuzungusha/kuvuta tairi zote nne. Kuna IST zenye 4WD full time.

Kama ni tofauti, naomba unielimishe mkuu.
Hakuna kitu kinaitwa 4WD full time kwenye gari za matumiz ya kawaida
 
Ingia ENHANCE AUTO huwa wana bei nzuri na hizo 4wd wanazo nyingi tu
 
Kwanini usilenge ya mkononi ilio katika condition nzuri kwa 8-9m nauhakika hutokosa. Uzuri gari ya Toyota ikiwa inafanyiwa service kwa wakati na matunzo ya body hata ikiwa namba B kitachotofautisha na ilioagizwa straight from Japan ni km tu.
 
Hivi hizo Gharama za Ma agent kwa nini mtu asinge shughulikia ye mwenyewe bila agents, kwa nini hao ma agent wapo?
Fungua kampuni ili hela zako uhamishie mfuko wa suruali kwenda mfuko wa shati.
 
Navyofahamu mimi, 4WD ni injini kuzungusha/kuvuta tairi zote nne. Kuna IST zenye 4WD full time.

Kama ni tofauti, naomba unielimishe mkuu.

Hakuna kitu kama '4WD full time' . 4WD huwa inakua engaged au disengaged kulingana na model ya gar kwa kupress button / kuweka gear ya 4WD either 4H,4L / au kwa baadh kama nissan hard body ukitaka kuengage 4W unashuka kutoka ndani ya gar na kuzungusha vitufe vya duara katikati ya tairi za mbele na kulock gar kwenye 4WD.

Katika mfumo wa 4WD muda wote gar uwa ni zito na hutumia mafuta mengi maana muda wote engine huwa inasukuma gar kwa kuzungusha tairi zote nne za nyuma na mbele kwa wakati wote. Katika mfumo wa 2WD ambao ndio normal na ndio unatumika by default unapoweka gear yoyote engine uzungusha tairi mbili tu either za mbele au nyuma kulingana na model au aina ya gar.

Mbili zinazunguka mbili zinakuwa pushed na zile zinazozunguka hiyo ndiyo 2WD. 4WD inafaa katika mazingira magumu OFFROAD kwenye matope, milima au mwinuko mikali, mabonde, mchanga mwingi, makorongo, etc... Kwa gari ndogo na ya chini kama IST huwezi enjoy 4WD na kuna baadh ya maeneo IST haitapita hata kama utakua umeengage 4WD.

Gari za juu kama Toyota hilux, Toyota SURF, Prado, Landcruiser VX, Nissan hard body, Nissan Patrol, Jeep Cherokee, Ford Ranger, Voltswagen Amarok, Hummer, and the likes, yaan SUVs ndo tamu kwa 4WD kwenye offroad conditions tena ukute ile yenye option ya 4WD + DIFF LOCK.
 
Kwanini usilenge ya mkononi ilio katika condition nzuri kwa 8-9m nauhakika hutokosa. Uzuri gari ya Toyota ikiwa inafanyiwa service kwa wakati na matunzo ya body hata ikiwa namba B kitachotofautisha na ilioagizwa straight from Japan ni km tu.
Tofauti ni hiyo straight from japan, Kilometers hata japan zipo zenye KM kubwa kuliko bongo
 
Hakuna brand new IST ya 13 milioni. Usipotoshe, hizo ni bei za used
Muuliza swali anajua nimemaanisha nini...
Haya Magari ni used Japan lakini huku dunia ya tatu tunaita mapyaa mambo yanayohusu Magari nayajua mwanzo mwisho na ninamiliki pia
 
Muuliza swali anajua nimemaanisha nini...
Haya Magari ni used Japan lakini huku dunia ya tatu tunaita mapyaa mambo yanayohusu Magari nayajua mwanzo mwisho na ninamiliki pia
Kumiliki gari haikufanyi utumie maneno brand new ukimaanisha limetumika Japan! Bora hata ungesema new car ningekuelewa kidogo ila kuongeza na neno 'brand' unamaanisha completely new! Sahihisha lugha twende sawa mkuu
 
Back
Top Bottom