Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajui kwamba una Carina tiMuuliza swali anajua nimemaanisha nini...
Haya Magari ni used Japan lakini huku dunia ya tatu tunaita mapyaa mambo yanayohusu Magari nayajua mwanzo mwisho na ninamiliki pia
Weka pichaNimeagiza ist cc1290 mpaka imefika mkononi imekula 10.3m, nimeuza 11.5. Nimeagiza nyingine
Hahahaha!!!!Hajui kwamba una Carina ti
Umeagiza kwa kampuni gani?
Weka picha
It's obviously Toyota Spacio itakula mafuta zaid kuliko Ist kutokana na tofauti za weight ya gari;spacio is much much heavier than Ist, kadiri gari linapokuwa na uzito mkubwa ndivyo engine itahitaji kuzalisha power kubwa zaid ili gari litembee na hiyo nguvu inayozalishwa Ili gari litembee inazalishwa kupitia gari kuchoma mafuta ukiachilia hewa nk.kwenye ulaji wa mafuta kati ya spacio na IST ipi nafuu kama zote zikiwa na CC sawa?
Kwa hela hiyo ya Mawazo TOYOTA Progress hataiweza labda akalenge pale magomeni Kwa Madalali njaaNimetoka kuangalia sasa hivi kuna Toyota Progres ya mwaka 2000, ambayo imetembea only 45000km tuu.. Price ya kununulia na kulipa ushuru hapa bongo mpaka itoke ni chini ya 10M.. Unaweza kuingia na kuiangalia https://www.japanesevehicles.com/vehicle_details.php?vid=200039&lang=en
Haya mkuu. Itabidi nitafute tena hiyo M 1 ya kuongeza.
Mbn ww unapenda kukatisha tamaa wakati mwenzako ndio kaanxa mwanzo mzuri anataka mpya hataki hiyo second hand hebu tulia unajifanya unayajua magari wakati hata huna ...kaushaKama ist tu unajichanga hvo kulihudimia utaweza?? Matengenezo madogo madogo ...kama unavosema hujawah miliki gari mikiki ya magari unaijua leo paap umegonga vx ya watu si unaeza acha hiyo IST ?? .
Mbn ww unapenda kukatisha tamaa wakati mwenzako ndio kaanxa mwanzo mzuri anataka mpya hataki hiyo second hand hebu tulia unajifanya unayajua magari wakati hata huna ...kausha
sent from toyota Allex
Mbn ww unapenda kukatisha tamaa wakati mwenzako ndio kaanxa mwanzo mzuri anataka mpya hataki hiyo second hand hebu tulia unajifanya unayajua magari wakati hata huna ...kausha
sent from toyota Allex