Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Israel zaidi ya kuuwa raia wanawake na watoto Hana mpya. Kama mwanaume apambane kiume asiuwe raiaUmetoa wap habar za uongo hizi..hvi kwanini hua mnaonekana kama mmerukwa na akili waarabu na waislamu mnaosapot ugaidi..wiki tu wameshakufa magaidi 700 huko lebanon...
Yani watakufa watu...mbaya zaid magaidi hua mnawatumia watoto wenu na akina mama zenu kujikinga na mabomu, mmewafanya kama ngao ukumaninah wa hali ya juu sana