Huku anaomba msaada Marekani, NATO na Uk wamasaidie. Isreal bila ya NATO ni wepesi sanaAlipopanda tu jukwaani Waziri Mkuu wa Israel baadhi ya Wajumbe Wakiongozwa na mataifa ya Kiarabu walitoka ukumbini
Netanyahu amesema hakunaga wa kuitisha Israel kwa sababu Mipaka yao ni mitakatifu na imebarikiwa hivyo watairejesha
Credit: Al Jazeera news
Baadae Mlale unono 😃🌹