Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Israel zaidi ya kuuwa raia wanawake na watoto Hana mpya. Kama mwanaume apambane kiume asiuwe raiaUmetoa wap habar za uongo hizi..hvi kwanini hua mnaonekana kama mmerukwa na akili waarabu na waislamu mnaosapot ugaidi..wiki tu wameshakufa magaidi 700 huko lebanon...
Yani watakufa watu...mbaya zaid magaidi hua mnawatumia watoto wenu na akina mama zenu kujikinga na mabomu, mmewafanya kama ngao ukumaninah wa hali ya juu sana
Unawajua fuko mkuu๐ jamii ya panya nadhanifuko
Huyo anasali kanisa Moja takatifu la mitumeUme be sided na waisrael.
Kwahiyo unataka niseme Magaidi ya Hezbola ndio Simba?!๐jifurahishe tu hakuna dharau kama hio.
Ungeambatanisha na video clip ya Netanyahu akiunguruma basiNetanyahu amesema hakunaga wa kuitisha Israel kwa sababu Mipaka yao ni mitakatifu na imebarikiwa hivyo watairejesha
Credit: Al Jazeera news
Yale huitwa mahandaki ni kawaida sana kutumika kwenye vita , mpumbavu kama wewe hauwezi kujua kituMzee wa kung'ata na kupuliza safari hii kaingia pabaya Jana wayahudi zaidi ya milioni 2 Tel Aviv walilala kwenye mashimo kama fuko
Kulaza walowezi wa kiyahudi zaidi ya milioni 2 kwenye mashimo siyo jambo dogo sheikh ๐Yale huitwa mahandaki ni kawaida sana kutumika kwenye vita , mpumbavu kama wewe hauwezi kujua kitu
USSR
"1 wafalme 18:30-42"Huyo anasali kanisa Moja takatifu la mitume
Ila walitoka salama sio kule ambako baadae mnaanza kuleta takwimu za wamama na watoto ili muonewe huruma.Mzee wa kung'ata na kupuliza safari hii kaingia pabaya Jana wayahudi zaidi ya milioni 2 Tel Aviv walilala kwenye mashimo kama fuko
Mimi sio shekhe kama wewe ,shimo analo mamako yale ni mahandakiKulaza walowezi wa kiyahudi zaidi ya milioni 2 kwenye mashimo siyo jambo dogo sheikh ๐
Sisi wayahudi tuna sheria yetu hata tukiuliwa hakuna kutoa taarifa tutampa adui nguvu labda taarifa ivuje kwa bahati mbayaIla walitoka salama sio kule ambako baadae mnaanza kuleta takwimu za wamama na watoto ili muonewe huruma.
Punguza hasira hapa tunajadiliana tu.basi nikuite shemasiMimi sio shekhe kama wewe ,shimo analo mamako yale ni mahandaki
USSR
NawajuaUnawajua fuko mkuu๐ jamii ya panya nadhani
Foot 10-20 ni sawa na mita 3 mpaka 6, kuna ajabu hapo?Muongo huyo jamaa anasema kombora la foot 10 Hadi 20 limefichwa jikoni ๐๐ jiko gani hiloo๐๐ kaah
Kumbe magaidi wa Israel ndio simba sioKwahiyo unataka niseme Magaidi ya Hezbola ndio Simba?!๐
Source?Mzee wa kung'ata na kupuliza safari hii kaingia pabaya Jana wayahudi zaidi ya milioni 2 Tel Aviv walilala kwenye mashimo kama fuko
Israel itashinda hii vita labda itokee Netanyahu aondolewe katika Boksi la Kura.Kumbe magaidi wa Israel ndio simba sio
Source : Kijiwe Cha Bao, Mtoni Kwa Aziz Ally.Source?
Baba Netanyahu ashikilie hapo hapo.Mavi yake