Netanyahu aiambia UN hakunaga wa kulitishia Nyau Israel hapa Duniani, Waarabu watoka ukumbini kabla ya Hotuba!

Huku anaomba msaada Marekani, NATO na Uk wamasaidie. Isreal bila ya NATO ni wepesi sana
 
Hivyo hivyo mwanangu
 
Muislam hashindwi na kafiri kama wewe na makafiri wenzio
Wewe ambae unasema ni Dini ya Allah huna Teknolojia unategemea Silaha ununue kutoka kwa "Makafiri" waliojaaliwa na Allah ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ
 
Kuna taarifa mbaya kwa kobazi leo nasikia mkuu wa hezbollah Nasrullah kaliwa kichwa tayari huko makao makuu ya hezbollah
 
Ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ