Netanyahu akimbia nyumbani kwake. Ahamia kwa rafiki yake kwenye handaki la nyuklia kuhofia usalama wake

Netanyahu akimbia nyumbani kwake. Ahamia kwa rafiki yake kwenye handaki la nyuklia kuhofia usalama wake

hapo Gaza ni pagumu kwasababu unaambiwa kuna mahandaki zaidi ya buku yenye kilometer kadhaa. sasa dawa pekee ya kuwauwa hamas ni kuzuia chakula, kile kilichopo kwenye mahandaki kikiisha hawana pa kutoka wakanunue kingine kwasababu nje kote kuna vifaru vya waisrael hakuna pa kutokea. shida inakuja sasa ndani kuna mateka waisrael, ukiwanyima chakula na ndugu zako wana sterve kwa njaa. ni operation ngumu sana na Hamas wanaifahamu zaidi Gaza kuliko israel wanavyoifahamu gaza.
Ugum wa kwanza wa gaza ni idadi ya watu. Eneo ni dogo sana halafu ikafuatia hizo turnel so wakipiga tu gaid mmoja lazima raia wawili wafe
 
mwelekeo ulivyo, muda si mrefu kama hamas watakubali kuachia mateka, vita itasitishwa. lakini vijana wameshazingira na kuingia gaza hawawezi kukubali kurudi kirahisi, wana hasira sana na hamas. ila watu ambao watoto wao wametekwa, wana hasira sana na netanyau na hata wakimpiga risasi tusishangae, nadhani ndio maana wamemhamisha. though unachotakiwa kujua ni kwamba Netanyau ni Komandoo hatari sana, hata operation Entebe Uganda alikuja na mdogo wake aliuliwa siku ile ya operation, idi amini alimuua.
Aliyeuliwa Uganda ni mjomba wake
 
mwelekeo ulivyo, muda si mrefu kama hamas watakubali kuachia mateka, vita itasitishwa. lakini vijana wameshazingira na kuingia gaza hawawezi kukubali kurudi kirahisi, wana hasira sana na hamas. ila watu ambao watoto wao wametekwa, wana hasira sana na netanyau na hata wakimpiga risasi tusishangae, nadhani ndio maana wamemhamisha. though unachotakiwa kujua ni kwamba Netanyau ni Komandoo hatari sana, hata operation Entebe Uganda alikuja na mdogo wake aliuliwa siku ile ya operation, idi amini alimuua.
Umekurupuka, tafuta taarifa sahihi, vingenevyo utaaibika, humu kuna watu makini, wanajua yaliyotokea ,yanayotokea labda yatakayotokea wanaweza wasijue.
 
mwelekeo ulivyo, muda si mrefu kama hamas watakubali kuachia mateka, vita itasitishwa. lakini vijana wameshazingira na kuingia gaza hawawezi kukubali kurudi kirahisi, wana hasira sana na hamas. ila watu ambao watoto wao wametekwa, wana hasira sana na netanyau na hata wakimpiga risasi tusishangae, nadhani ndio maana wamemhamisha. though unachotakiwa kujua ni kwamba Netanyau ni Komandoo hatari sana, hata operation Entebe Uganda alikuja na mdogo wake aliuliwa siku ile ya operation, idi amini alimuua.
Hali si shwari kwa Netanyahu nje na ndani ya nchi.
vita itaendelea kuwa ngumu wakati kiongozi wa vita inabidi ajifiche kuhofia usalama wake.
 
Waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu na mke wake Sara wamehama kutoka makazi yao na kuhamia kwa rafiki yake na bilionea wa kimarekani, Simon Falic ambaye nyumbani kwake kuna handaki la kujilinda na nyuklia.

Maamuzi hayo ameyafanya kuhofia wananchi wake wenye hasira kwa jinsi alivyoitumbukiza nchi hiyo kwenye vita na namna anavyoendesha vita hivyo kwa sasa.

Wawili hao ambao hata kabla ya uvamizi wa Hamas walikuwa na kashfa nyingi za kifisadi kikawaida huwa wanaishi kwenye nyumba zao mbili za kifakhari kwa zamu, moja iliyopo Jerusalem na nyengine kwenye mji wa ufukweni wa Caesarea.

The Telegraph

Netanyahu and wife Sara decamp to luxury mansion amid growing public anger

Kwamba Ikulu hakuna handaki au? 🤣🤣
 
Hali si shwari kwa Netanyahu nje na ndani ya nchi.
vita itaendelea kuwa ngumu wakati kiongozi wa vita inabidi ajifiche kuhofia usalama wake.
but still anaweza kutoa maelekezo, kwasababu hata alipokuwa huru sana hakuwa anaenda front. ni kutoa maelekezo tu.
 
Waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu na mke wake Sara wamehama kutoka makazi yao na kuhamia kwa rafiki yake na bilionea wa kimarekani, Simon Falic ambaye nyumbani kwake kuna handaki la kujilinda na nyuklia.

Maamuzi hayo ameyafanya kuhofia wananchi wake wenye hasira kwa jinsi alivyoitumbukiza nchi hiyo kwenye vita na namna anavyoendesha vita hivyo kwa sasa.

Wawili hao ambao hata kabla ya uvamizi wa Hamas walikuwa na kashfa nyingi za kifisadi kikawaida huwa wanaishi kwenye nyumba zao mbili za kifakhari kwa zamu, moja iliyopo Jerusalem na nyengine kwenye mji wa ufukweni wa Caesarea.

The Telegraph

Netanyahu and wife Sara decamp to luxury mansion amid growing public anger

Alwaz leo utatoa nyuzi ngapi wakati kichapo kinaendelea Gaza.
 
hapo Gaza ni pagumu kwasababu unaambiwa kuna mahandaki zaidi ya buku yenye kilometer kadhaa. sasa dawa pekee ya kuwauwa hamas ni kuzuia chakula, kile kilichopo kwenye mahandaki kikiisha hawana pa kutoka wakanunue kingine kwasababu nje kote kuna vifaru vya waisrael hakuna pa kutokea. shida inakuja sasa ndani kuna mateka waisrael, ukiwanyima chakula na ndugu zako wana sterve kwa njaa. ni operation ngumu sana na Hamas wanaifahamu zaidi Gaza kuliko israel wanavyoifahamu gaza.
Ninajiuliza nani alijenga hayo mahandaki?Halafu hao hao Israël ndo walitengeneza Hamas ,kama USA walivyomtengeneza Osama bin Laden.
 
mwelekeo ulivyo, muda si mrefu kama hamas watakubali kuachia mateka, vita itasitishwa. lakini vijana wameshazingira na kuingia gaza hawawezi kukubali kurudi kirahisi, wana hasira sana na hamas. ila watu ambao watoto wao wametekwa, wana hasira sana na netanyau na hata wakimpiga risasi tusishangae, nadhani ndio maana wamemhamisha. though unachotakiwa kujua ni kwamba Netanyau ni Komandoo hatari sana, hata operation Entebe Uganda alikuja na mdogo wake aliuliwa siku ile ya operation, idi amini alimuua.
Kamanda wa kikosi kimojawapo cha wayahudi waliojiingiza Gaza, sasa hivi ni mateka wa Wapalestina:

IMG-20231030-WA0007.jpg
IMG-20231030-WA0005.jpg
IMG-20231030-WA0003.jpg
 
hapo Gaza ni pagumu kwasababu unaambiwa kuna mahandaki zaidi ya buku yenye kilometer kadhaa. sasa dawa pekee ya kuwauwa hamas ni kuzuia chakula, kile kilichopo kwenye mahandaki kikiisha hawana pa kutoka wakanunue kingine kwasababu nje kote kuna vifaru vya waisrael hakuna pa kutokea. shida inakuja sasa ndani kuna mateka waisrael, ukiwanyima chakula na ndugu zako wana sterve kwa njaa. ni operation ngumu sana na Hamas wanaifahamu zaidi Gaza kuliko israel wanavyoifahamu gaza.
Naunga mkono hoja, IDF wakifanikiwa kuwaokoa mateka Kisha kuwaangamiza Hamas bila shaka itakuwa ndio jeshi Bora kabisa Toka Dunia kuumbwa.
 
Baadae usije kulia lia tena maana mmafurahia dakika moja mnalia mwaka
Sisi tunawalilia ndugu zetu Wapalestina miaka yote. Kwa maelfu ya wapalestina wanaouliwa , akitekwa au kuuliwa myahudi mmoja tu ni faraja kwetu.huy9 kamabda kikosi c by ake kizima kilij88bgiza kichwa kichwa, jionee chini hapo:

 
Back
Top Bottom