Netanyahu anaangalia uwezekano wa msaada wa kijeshi wa Israel kwa Ukraine

Netanyahu anaangalia uwezekano wa msaada wa kijeshi wa Israel kwa Ukraine

Mik
Israel kakutana na Misri,Lebanon,Syria, Palestine na Jordan kimsingi ukitizama hayo mataifa yalikua dhaifu kijeshi na kiuchumi kipindi Israel anakutana nao kivita.
Hapo hapo Israel ilikua ikisaidiwa kimiundombinu ya kijeshi na kifedha na USA.
Hayo mataifa yalikua hayana mshirika mwenye nguvu je unategemea Israel afeli katika hizo vita???
Palestina mpaka sasa hana serikali iliyo stable wala jeshi lililo stable unategemea Israel asimsumbue !??
Nikuulize kitu kaka kama hautojali!!!Zile ndege za kivita,mizinga,deraya,vifaru vya iraq,jordan,misiri,lebanon,sryia na sudan zilikua zimenunuliwa kutoka nchi gani!???Na mshirka mkuu wa Egypt na Syria alikua nani????Afu mada ni ubora wa IDF sio issue za palestina!!!!!!Endelea kaka nakusikiliza na mimi nichangie ndugu yangu
 
Ukipima hivyo basi 1967 before six days war jeshi la misri lilikua jeshi bora zaidi kuliko majeshi yote yaliyoshiriki vita ile!!!!Au ukipima hivyo basi ujerumani lilikua jeshi bora zaidi mwaka 1939 up to 1944!!!!!
Jeshi Bora mimi navyofaham hupimwa Kwa umahiri wa sehem zote za vita(ardhini,majini,angani).
Pia hupimwa Kwa ubora wa silaha za kivita kuanzia bunduki,mizinga,maroketi,makombora mpk ndege.
Ubora wa jeshi ndio hupimwa na vitu hivyo ulivyosema na hatuwezi kupuuza ulichosema ila matokeo ya mwisho ndio hupima ubora wa jeshi husika!!!Katika medani za kivita matokeo yenye tija ndio hitimisho la ubora wa jeshi!!!
 
Mimi huegemea uhalisia kuliko nadharia.
Six days war siwezi ita ni vita Bora kuliko vita ya Iran na Iraq,kuliko war of jangsari ya 1950s ya S.korea na N.korea,kuliko israel-lebanese war ya 2006.
Leta fact za kijeshi na hoja za kijeshi tuchambue kama wanajeshi!!!Leta fact za kijeshi kuhusu vita zote hizo tuchambue!!!!Na mimi nitakupa facts za kijeshi kuhusu six day war!!!Sawa kaka
 
Ka
Acheni kutudanganya nyie.
Tech pale USA wengi ni bara uchina na bara Hindi(Korea,Japan,Hong Kong,India)
Hao Israel wangekua Wana tech wangeunda silaha zao Kwa asilimia kubwa
Kama ukipata acsess ya kuingia Pentagon utaelewa kwanini wayahudi wamejaa pale!!!!Nenda Washington DC ukatembelee pale
 
Ukipima hivyo basi 1967 before six days war jeshi la misri lilikua jeshi bora zaidi kuliko majeshi yote yaliyoshiriki vita ile!!!!Au ukipima hivyo basi ujerumani lilikua jeshi bora zaidi mwaka 1939 up to 1944!!!!!

Ubora wa jeshi ndio hupimwa na vitu hivyo ulivyosema na hatuwezi kupuuza ulichosema ila matokeo ya mwisho ndio hupima ubora wa jeshi husika!!!Katika medani za kivita matokeo yenye tija ndio hitimisho la ubora wa jeshi!!!
Mik

Nikuulize kitu kaka kama hautojali!!!Zile ndege za kivita,mizinga,deraya,vifaru vya iraq,jordan,misiri,lebanon,sryia na sudan zilikua zimenunuliwa kutoka nchi gani!???Na mshirka mkuu wa Egypt na Syria alikua nani????Afu mada ni ubora wa IDF sio issue za palestina!!!!!!Endelea kaka nakusikiliza na mimi nichangie ndugu yangu
Kwa nifahamuvyo mm Kwa wakati ule Egypt na Syria silaha walinunua Usoviet.
Ila Israel ilikua inapata support kubwa Kwa USA.
 
Sasa ulokole umetoka wapi na unapoleta hoja za matusi kama neno"Bwana ake"inaonyesha wewe sio mchambuzi wa mambo ya kijeshi bali shabiki sababu wachambuzi hawatukani wala hawana lugha za matusi bali wanadadavua vitu!!!Kweli kwa akili yako unawafananisha marine,s wa IDF na wanajeshi wa Iran IRG???Wewe unaongea kishabiki sio mchambuzi wa maswala ya kijeshi
Wanaoitukuza israel wanajulikana wanamsemo wao ukiilani israel na ww umelaaniwa ukiibaliki na ww umebarikiwa na magari yao hukosi bendera ya israel juu ya dashboard cha ajabu hao waliobarikiwa ndio waliomsulubisha mungu mpaka akabaki na chuki lakini jamaa bado wamebarikiwa kwa ushenzi wote huo waliofanya .
 
Back
Top Bottom