Netanyahu asalimu amri baada ya kichapo cha Hezbollah

Netanyahu asalimu amri baada ya kichapo cha Hezbollah

wee sema hizibula wameinua mikono kuisaidia gaza baada ya kupata kipondo kikali Cha Yahudi! Gaza ni yatima!😭😭
Kipondo Cha kuigeuza Gaza kifusi kinaendelea😆😆😆
👇👇
Maandishi halisi
Kadiria tafsiri hii
Maoni yako yatatumika kusaidia kuboresha huduma ya Tafsiri ya Google




Al Jazeera
See this story on our app
VIEW IN APP
LIVE
Sign up
Open the menu

Updates: At least 84 killed in Gaza; Israel resumes raids across Lebanon

UN should consider suspending Israel over genocide, says special rapporteur
By Alastair McCready, Dalia Hatuqa, Urooba Jamal, Tamila Varshalomidze and Federica Marsi
Published On 1 Nov 2024
1 Nov 2024
Click here to share on social media
This live page is now closed. You can continue to follow our coverage here.

Read more
1 Nov 2024 - 23:59 (23:59 GMT)
Thank you for joining us
This live page is now closed.

For more on why is Israel targeting Lebanon’s ancient city of Baalbek, check out our explainer here.

View our photo gallery to see how Israel is targeting hospitals in Gaza, as medical supplies are torched and operations disrupted, here.

To know why the UN should consider suspending Israel over the genocide of Palestinians in Gaza and its decades-long illegal occupation of Palestinian land, go here.

Click here to share on social media
1 Nov 2024 - 23:45 (23:45 GMT)
Here’s what happened today
We will be closing this live page soon but before we do that, here is a recap of the day’s main developments:

Two Israeli attacks on residential buildings in northern Gaza killed 84 Palestinians, including over 50 children.
Pentagon says the US will deploy additional ballistic missile defence destroyers, fighter squadron and tanker aircraft, and several US Air Force B-52 long-range strike bombers to the Middle East.
Israel says it has killed senior Hamas official Izz al-Din Kassab in an air strike in Khan Younis.
Senior Hamas officials say Israel is not taking the Gaza ceasefire negotiations seriously, offering a temporary truce that falls short of demands for a permanent halt to the war.
Israeli strikes in Lebanon’s Baalbek-Hermel region killed 52 people and wounded 72.
The UN peacekeeping chief says UNIFIL will hold its line in Lebanon despite facing attacks in recent weeks, adding that its positions would be “occupied” if it left.
Click here to share on social media
Advertisement

1 Nov 2024 - 23:30 (23:30 GMT)
Turkey sends 1,000 tonnes of humanitarian aid to Lebanon
A Turkish ship carrying 1,000 tonnes of humanitarian aid has arrived at Beirut’s port, bringing vital supplies to Lebanon amid ongoing Israeli attacks.

The aid, organised by Turkish NGOs operating in Lebanon, included food supplies, medical equipment and essential goods aimed at assisting vulnerable citizens, Turkey’s Anadolu news agency reported.

This was the third shipment from Turkey to reach Lebanon. On October 9, two ships delivered 300 tonnes of humanitarian supplies.



The Turkish ship arrives at Beirut Port carrying aid containers [Ibrahim Amro/AFP]
Click here to share on social media
1 Nov 2024 - 23:15 (23:15 GMT)
What’s happening in the occupied West Bank?
A group of armed Israeli settlers opened fire and threw rocks at the homes of Palestinians in the town of Surif near Hebron in the occupied West Bank.

Additionally, the Israeli army raided the town of Faroun near Tulkarem and opened fire and tear gas canisters on Palestinians, Wafa news agency reported.

The report added that Israeli forces also prevented Palestinian farmers from harvesting olives in the town of Deir Istiya in northwestern Salfit.

Israeli settlers also started a fire in the Ramin Plain area in eastern Tulkarem.

Since October of last year, more than 760 Palestinians have been killed in the occupied West Bank by Israeli forces and settlers.

Click here to share on social media
1 Nov 2024 - 23:00 (23:00 GMT)
Blinken reviews Israel’s steps to increase Gaza aid in call with Israeli minister
US Secretary of State Antony Blinken has spoken with Israel’s Minister of Strategic Affairs Ron Dermer to discuss steps for regional de-escalation, the US State Department said.

They reviewed the steps Israel has taken to improve the humanitarian situation in Gaza and Blinken urged for further measures to
Huwa sisomi propaganda.

Jionee mambo hayo👇🏾👇🏾👇🏾
 
Mleta mada bila kumkutanisha la Baltazar ni kazi bure ataendelea kushusha uhalo tu humu
Nafahamu, imekuuma sana. Utazowea tu, vita haijaisha. Ni mapigano tu yamesitishwa, tena kwa muda.
Ni ushindi mkubwa kwa Hezbollah, lakini ni ahueni kibwa kwa nyau. mambo yalimwendea vibaya sana, anapata kupumuwa.
 
Kwamba mtu akiwa upande wa palestina ni kabazi? Kawaida yangu napenda kukaa upande wa haki.
Endelea kuwa kobazi mkuu na ujitapbulishe usijifiche ahamafu unakumbuka kwakua ni mtu wa kulopoka kwenye Kila mada eti haki kwahiyo haki Kila siku kobazi ndio wanaonewa sio halafu ungekua unapennda haki usingesema wapigwe acha uzuzu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Endelea kuwa kobazi mkuu na ujitapbulishe usijifiche ahamafu unakumbuka kwakua ni mtu wa kulopoka kwenye Kila mada eti haki kwahiyo haki Kila siku kobazi ndio wanaonewa sio halafu ungekua unapennda haki usingesema wapigwe acha uzuzu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ningependa kuwa kobazi nakua tu fasta ila sina sababu ya mimi kuwa na imani yoyote ya Mungu , sijui kama unaelewa 🤔
 
Ningependa kuwa kobazi nakua tu fasta ila sina sababu ya mimi kuwa na imani yoyote ya Mungu , sijui kama unaelewa 🤔
We ni kobazi tusipotezeane mda hapa sisi sio watoto naona unaakili za kitoto mzee ukikua utaacha maana unajitekenya halafu unacheka🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kwani Yahudi na kafiri tofauti yao nini?? Huoni hao wanaoitwa makafiri wamewasaidia wanawake na watoto kwenye vita kwa kuandaa mkataba huku ALLAH akiwa kajificha!
Katika uislam kufa ni moja ya mitihani Allah aliyotuandalia.
Vipi ninyi makafiri Yesu amewalinda dhidi ya makombora ya Hizbollah!?
Mbona mmekimbia Kaskazini na kuacha makazi yenu?
 
Walipiga wapi na Israel ilipata madhara gani?
Nenda katika vyombo vya habari vyovyote hata BBC ukitaka,Hizbollah imeshambulia sana Galilaya kiasi wakazi takriban laki tatu wamekimbia Galilaya Sasa hivi Galilaya tupu haina wakaaji.
Kambi ya jeshi ya Galilaya nayo haifanyi kazi Kwa kushambuliwa mara Kwa mara.
Miji inayoanzia na Kiryat mathalan Kiryat shmona imeshambuliwa sana.

Tel aviv nako kimeshambuliwa wiki iliyopita na majengo yameharibika.
 
1000049357.png


Kobazi Ndio wanafiki pro max, hata abaki mmoja Duniani atajiua, hapo ni Kiongozi wa Hamas akiwa na Kiongozi wa Waasi wa Syria wanaompinga Assad anayeungwa mkono na Iran na Hezbollah.

Yaani kumbe Assad alichinja mbuzi huyu kima alivoliwa kichwa.

Wapalestina wa Syria nao walichinja mbuzi Nashrallah alivoliwa kichwa...
Hawa Watu kama wao kwa wao hawapendani kiasi hichi Hadi Cha kuchinjana, alafu mtu yuko Lindi anajiita mwarabu, 😒 WTF
 
Kwa mara ya tatu katika historia ya mazayuni wanasalimu amri bila kupenda kwa Hezbollah.

hdezbollah ni kikundi cha mgambo lkilichoanzishwa mwaka 1982 kwa lengo moja tu. Kuhakikisha mazayuni wanaondoka Lebanon walikukokuwa wanaishikilia kwa mabavu wakisaidiwaa na Mmarekani.

Kweli, walitimiza lengo hilo baada ya kuwatandika bomu moja tu wamarekani hapo Beirut Lebanon. Walisambaratisha makao makuu ya kivita ya mashariki ya kati ya wamarekani walioikita hapo beirut wakiamini kuwa mazayuni na wao hakuna anaeweza kuwafanya chochote.

Mammbo yakawa kinyume na matarajipo yao baada ya kuanzishwa kikundi cha hebollah. Wakabamizwa bomu moja tu, wakatoka mkuku wao na mashoga zao wa kizayuni. Lebanon ikarudi kwa watawatawala wake wa kiasili.

Mazayuni na wamarekani tukio lilel liliwauma sana, hawakulisahau, mazayuni kwa kusaidiwa na wamarekani wakaivamia tena Lebanon, kama walivyofanya juzi juzi. Iliwachukuwa siku sita kuikamata lebanon yote. Wakijiaminisha kua hakuna ataewafanya kitu kwa wakati huo, walijisahau na kudhani kuwa walishawadhibiti hezbollah. Kinyume na matarajio yao, hezbollah wakalianzisha tena mwaka 2006, wakawatembezea kichapo mazayuni mpaka wakakikmbia kabisa na kurudi kwenye ardhi za wapalestina wanazozikalia kwa mabavu. Kwa lugha ya sasa, tunasema wakalitema bungo.

Kma kawaida yao, mazayuni hawajakisahau kichapo na hivi juzi juzi bita yao na kikundi kidogo cha hamas na silaha za wamarekeani na NATO nzima zikawafanya wajone kuwa hakuna wakuwazuia sasa kuiteka Lebanon.

Afanaalek, kufa hakuna breki. Hezbollah kama kawaida yao na kutimiza azma ya kuansishwa kwao, wakaanza kwamyofoa mazayuni huko lebanon, kuona sasa wamewadhibiti na hakuna watachiokifanya huko, wakaanza kuwanyofoa "kwao" mazayuni, kichapo walichotembezewa kimefanya netanyau ale matapishi wake. kwani aliwahi kusema "kukubali kusitisha mapigano" ni kusalimu amri kuwa tumeshindwa, hilo halitatokea.

Tunauliza kiko wapi? Ushahidi wa niliyoyaandika. Haya ndiyo mayapisha aliyoyameza nyau:


View: https://youtube.com/shorts/7GyeA2uKKdE?si=qaWL-ONlF9W6DOVi

Una uhakika
 
Back
Top Bottom