Netanyahu awatesa wapalestina, aitesa Marekani, Israel na dunia yote. Mwisho wake utakuwa funzo kwa binadamu

Hamas ni harakati ya Palestina inayofanya kazi kiasi ikiwa na malengo ya kujikomboa kutoka katika makucha ya Israel.

Ndani ya Hamas kuna tawi la kijeshi linalojulikana kama "Izz ad-Din al-Qassam Brigades" hawa ndiyo wanajeshi.

Kwanini Netanyahu hatofauru kuifuta HAMAS?
Hamas ni wazo la Raia wote wa Palestina sio Gaza tu ambako Hamas kama political part inaongoza ila mrengo wa wazo huko kuiweka Palestina yote mpaka Ukingo wa Magharibi kuwa huru dhidi ya Israel.

So ili kuifuta Hamas basi ua watu wote Palestina kuanzia Gaza mpaka Western Bank maana wote hawataki kutawaliwa na Israel.
 
BADO HAMJASEMA................................. BADO SANA.
 
Msipo jiwahi mtajikuta mmebaki nyinyi wenyewe na Hamas na Ayatollah wenu anayepiga mabusu vitoto vidogo.
Huko Duniani World Council of Imams wameisha wasitukia Hamas pamoja na mabwana zao Iran

View: https://x.com/Osint613/status/1830654037458600316
 

Mambo ya kuabudu laana za watoto teule ndiyo haya.
 
Netanyahu shikilia hapo hapo
 
Kuna funzo zaidi ya kaka yake kupigwa risasi uganda akikamilisha operation ya entebe sidhani kama kuna kitu cha mtisha hyo jamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…