Netanyahu azungumza na Putin kwa dakika 50, amkaripia kuhusu Putin kuonekana kama ambaye haeleweki kwenye huu ugomvi

Netanyahu azungumza na Putin kwa dakika 50, amkaripia kuhusu Putin kuonekana kama ambaye haeleweki kwenye huu ugomvi

huyu mkenya bhana......amehama mazima kule russo-ukrain war
sasa yupo huku kwa netanyahu na wavaa kobazi
 
Ikumbukwe kuna kipindi Putin alikua kiboko cha haya magaidi, kayalipua sana ila hivi majuzi haeleweki eleweki, ila inawezekana kutoeleweka kwake kunatokana na aibu anayofanyiwa kule na kataifa kajirani, Ukraine...........hiyo aibu imemfanya achanganyikiwe....

Prime Minister Benjamin Netanyahu spoke at length on Sunday with Russian President Vladimir Putin about Israel’s war against Hamas and the situation in the region, the prime minister’s office said.

In the 50-minute call Netanyahu strongly criticized what he termed “dangerous co-operation” between Russia and Iran, according to the readout. He also expressed displeasure with the positions put forward by Russian representatives at the UN and other forums against Israel.
Speach ya Nyetanau ipo ALJAZEELA mpaka muda huu. Amemwekeza kuhusu msimamo wake juu ya Taifa la Iran na Israel pia.
 
Ikumbukwe kuna kipindi Putin alikua kiboko cha haya magaidi, kayalipua sana ila hivi majuzi haeleweki eleweki, ila inawezekana kutoeleweka kwake kunatokana na aibu anayofanyiwa kule na kataifa kajirani, Ukraine...........hiyo aibu imemfanya achanganyikiwe....

Prime Minister Benjamin Netanyahu spoke at length on Sunday with Russian President Vladimir Putin about Israel’s war against Hamas and the situation in the region, the prime minister’s office said.

In the 50-minute call Netanyahu strongly criticized what he termed “dangerous co-operation” between Russia and Iran, according to the readout. He also expressed displeasure with the positions put forward by Russian representatives at the UN and other forums against Israel.


"Kakaripiwa*
 
Msichokijua, Wayahudi wapo kote ikiwemo hata kwenye uongozi huko Urusi, maotegemea kuja kuwafuta kwenye uso wa dunia mtahangaika sana.
Idf wameokoa magaidi wao wangapi mpaka muda huu [emoji3]
 
Ikumbukwe kuna kipindi Putin alikua kiboko cha haya magaidi, kayalipua sana ila hivi majuzi haeleweki eleweki, ila inawezekana kutoeleweka kwake kunatokana na aibu anayofanyiwa kule na kataifa kajirani, Ukraine...........hiyo aibu imemfanya achanganyikiwe....

Prime Minister Benjamin Netanyahu spoke at length on Sunday with Russian President Vladimir Putin about Israel’s war against Hamas and the situation in the region, the prime minister’s office said.

In the 50-minute call Netanyahu strongly criticized what he termed “dangerous co-operation” between Russia and Iran, according to the readout. He also expressed displeasure with the positions put forward by Russian representatives at the UN and other forums against Israel.
Acha mambo yako, Ukraine tumechanganyikiwa wafadhili wa vita wameona hakuna dalili ya ushindi wamesitisha pesa, wamefilisika, Putin si wa mchezo mchezo yule mwamba
 
Acha mambo yako, Ukraine tumechanganyikiwa wafadhili wa vita wameona hakuna dalili ya ushindi wamesitisha pesa, wamefilisika, Putin si wa mchezo mchezo yule mwamba
PUT IN the greatest [emoji3]
 
Idf wameokoa magaidi wao wangapi mpaka muda huu [emoji3]

IDF wako pale kuhakikisha ule uchafu wa dini yenu unasafishwa, mpaka sasa wameua mazombi yenu kari 20,000
 
Acha mambo yako, Ukraine tumechanganyikiwa wafadhili wa vita wameona hakuna dalili ya ushindi wamesitisha pesa, wamefilisika, Putin si wa mchezo mchezo yule mwamba

Ukraine pale patamu sana, utin alimpa Zelensky masaa 24 aihame nchi, mpaka leo pameshindikana, tena kataifa kadogo ukilinganisha na Urusi, yaani Putin ameaibishwa na hako kainchi, katumia kila aina ya silaha ila wapi.
 
Ukraine ni sehemu ya urusi wewe soma history maana ya USSR utaujua ukweli tena warusi wapole sana ilitakiwa warudishe maeneo yote.

Hata Gaza ni sehemu ya Israeli. Soma history.
Wapalestina ni wapangaji tu sasa baba mwenye nyumba karudi kufanya yake
 
Ikumbukwe kuna kipindi Putin alikua kiboko cha haya magaidi, kayalipua sana ila hivi majuzi haeleweki eleweki, ila inawezekana kutoeleweka kwake kunatokana na aibu anayofanyiwa kule na kataifa kajirani, Ukraine...........hiyo aibu imemfanya achanganyikiwe....

Prime Minister Benjamin Netanyahu spoke at length on Sunday with Russian President Vladimir Putin about Israel’s war against Hamas and the situation in the region, the prime minister’s office said.

In the 50-minute call Netanyahu strongly criticized what he termed “dangerous co-operation” between Russia and Iran, according to the readout. He also expressed displeasure with the positions put forward by Russian representatives at the UN and other forums against Israel.
Huyo kichwa mbovu wako asipoyatafakari kwa kina nakuyaelewa waliyoongea na huyo mwamba,utarudi hapa siku ukilia lia🤣
 
Back
Top Bottom