Netanyahu azungumza na Putin kwa dakika 50, amkaripia kuhusu Putin kuonekana kama ambaye haeleweki kwenye huu ugomvi

Netanyahu azungumza na Putin kwa dakika 50, amkaripia kuhusu Putin kuonekana kama ambaye haeleweki kwenye huu ugomvi

Nikikujibu usikimbilie mod.
Heheeee mdogo wangu mbona unaanza kutisha watu
Kutwangwa anatwangwa israhell hasira unakua nazo wewe
Pole kijana kwahio PUT IN kamwambia atamsaidia wanajeshi wangapi???
 
Heheeee mdogo wangu mbona unaanza kutisha watu
Kutwangwa anatwangwa israhell hasira unakua nazo wewe
Pole kijana kwahio PUT IN kamwambia atamsaidia wanajeshi wangapi???

Huyo ana mazoea kunijibu shombo ila nikimujibu anakimbilia mods....
 
Back
Top Bottom