Tetesi: Netanyahu kakimba Israel baada ya kusikia Iran itaishambulia Israel

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Hata haya huna kwa uwongo kombora linashindwa ua hata mende hilo kombora manati ya kizenji
 
Kidume anapambana na mataifa 4 kwa wakati mmoja ya Lebanon, Syria, Yemen na Iran pamoja na wavamizi wa Palestina.

โ€ŠGOD BLESS ISRAEL
Na sasa manati za punga iran zimetunguliwa zote aisee muajemi bure kabisaa hii tena basi vijimanati hivyo katengenezewa na nchi tatu n.korea, china na russia na bado haziui hata mende
Shoga Iran lina kazi ya kujisifu nimerusha ballistic 150 mimi๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ
 
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ unachekesha kinyama. Neta akimbia israel uko sawa kweli. Akijibu jua iran isha kuwa jivu
Hata haya huna kwa uwongo kombora linashindwa ua hata mende hilo kombora manati ya kizenji
Hata habari ya Iran kuishambulia Israel mlikuwa mnabisha lakini bila shaka mmeshudia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ