Hata haya huna kwa uwongo kombora linashindwa ua hata mende hilo kombora manati ya kizenjiWanaukumbi.
ndege ya Waziri Mkuu Netanyahu, Zion Wing, imeondoka Israel usiku wa kuamkia leo.
Hii inafuatia maonyo kutoka kwa washirika wa Marekani na Magharibi kuhusu shambulio linalokuja la Iran linalohusisha makombora ya balistiki, ndege zisizo na rubani na UAV.
Mvutano unaongezeka huku Israel ikikabiliana na ghadhabu ya Iran.
View: https://x.com/marionawfal/status/1841147217366688158?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Sio kuchekesha tu...ni mapumbavu yaaaani Netanyahu akimbie Israel halafu yeye Rits apate taarifa Namtumbo๐๐๐๐ unachekesha kinyama. Neta akimbia israel uko sawa kweli. Akijibu jua iran isha kuwa jivu
Na sasa manati za punga iran zimetunguliwa zote aisee muajemi bure kabisaa hii tena basi vijimanati hivyo katengenezewa na nchi tatu n.korea, china na russia na bado haziui hata mendeKidume anapambana na mataifa 4 kwa wakati mmoja ya Lebanon, Syria, Yemen na Iran pamoja na wavamizi wa Palestina.
โGOD BLESS ISRAEL
Hata haya huna kwa uwongo kombora linashindwa ua hata mende hilo kombora manati ya kizenji
๐๐๐๐ unachekesha kinyama. Neta akimbia israel uko sawa kweli. Akijibu jua iran isha kuwa jivu
Hata habari ya Iran kuishambulia Israel mlikuwa mnabisha lakini bila shaka mmeshudia.Hata haya huna kwa uwongo kombora linashindwa ua hata mende hilo kombora manati ya kizenji
Na sasa manati za punga iran zimetunguliwa zote aisee muajemi bure kabisaa hii tena basi vijimanati hivyo katengenezewa na nchi tatu n.korea, china na russia na bado haziui hata mende
Shoga Iran lina kazi ya kujisifu nimerusha ballistic 150 mimi๐๐คฃ
Hizo manati za kizenji zimeua nini hapo tel aviv?Hata habari ya Iran kuishambulia Israel mlikuwa mnabisha lakini bila shaka mmeshudia.
Hivi viclip vyenu mnavyodanganywa havinaga issue we endelea kuvipost
Hizo manati za kizenji zimeua nini hapo tel aviv?