Tetesi: Netanyahu kakimba Israel baada ya kusikia Iran itaishambulia Israel

Tetesi: Netanyahu kakimba Israel baada ya kusikia Iran itaishambulia Israel

Wanaukumbi.

ndege ya Waziri Mkuu Netanyahu, Zion Wing, imeondoka Israel usiku wa kuamkia leo.

Hii inafuatia maonyo kutoka kwa washirika wa Marekani na Magharibi kuhusu shambulio linalokuja la Iran linalohusisha makombora ya balistiki, ndege zisizo na rubani na UAV.

Mvutano unaongezeka huku Israel ikikabiliana na ghadhabu ya Iran.



View: https://x.com/marionawfal/status/1841147217366688158?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Alijifanya mwamba kumbe kuku kabisa 😄 🤣 😂
 
Back
Top Bottom