wewe ungekubali kufa?Wapalestine wakiinua mikono juu ntawadharau sana, ni either wapambane wafe wote au wapatiwe taifa lao liwe huru wajiamualie mambo yao. Tofaut na hivyo hawatokuja kupata taifa lao Tena milele. Waendelee kupambana kama wamekufa 45000 niwachache sana kwenye idadi ya watu mil 2. Waendelee kupambana mpaka tone la mwisho.
Atakufa na ataicha Palestinian kama alivyoikuta.Keshaliweka wazi kuwa hana shida na wananchi wa Palestina, shida yake kuifuta Hamasi na itikadi zake Gaza, ili sakata kama hili lisije kujitokeza tena kwa siku za usoni, hataki 'sizi faya' mpaka atakapomalizana kabisa na Hamas.
Kasema raia wanyonge wanakufa bure kwa sababu ya kuisapoti Hamas na kukubali kuwekwa kama ngao ya mashambulizi na tabu wanazozipata haziwastahili, si zao ni za Hamas yarabi.
Nadhani anarudisha mambo ya miaka ya 1980, kuwapiga Hamas na kuikalia kimabavu Gaza hadi hapo atakapowaundia utawala rafiki anaoutaka yeye.
Acha akina Sinwar wafaidi mabikra huko. Unawaonea wivu?Wadau hamjamboni nyote?
Naomba sote kwa nguvu moja bila kujali itikadi zetu mniunge mkono ninapoa WITO kwa Waziri Mkuu Benjamin Netanyau awaonee huruma ndugu zetu wa Mashariki ya kati na hivyo asitishe vita.
Netanyau hao ndugu zetu ni wanyonge kwako na hakuna namna wanaweza kushindana nawe. Netanyau ukiendelea hivi utafuta kizazi chao chote na ikitokea hivyo mwenyezi Mungu hatokusamehe.
Netanyau watu hao hata uwapige vipi watakuja tu kwani wanaamini kwenye itikadi zao.
Netanyau binafsi jamii hiyo siikubali kabisa hata hivyo huruma ya kibinadamu imenijia nikuombe uwafanyie wepesi
Wale wote wanaokubaliana nami kwenye comment tafadhali weka alama ya NDIYO kuashiria msimamo wako
Naamini tukipaza sauti zetu zitasikika hadi huko Yerusalemu.
Aksanteni sana na Mungu awabariki.
Mlifikiri watampigia magoti, aendelee tu kuuwa ila kamwe hawatanyoosha mikono.Ndugu Neta🐈 kawapiga vya kutosha, awaache sasa maana maisha ya binadamu wenzetu kuke wanazidi kupoteza maisha
Kwani wapalestina walishawahi kuwa na taifa laoWapalestine wakiinua mikono juu ntawadharau sana, ni either wapambane wafe wote au wapatiwe taifa lao liwe huru wajiamualie mambo yao. Tofaut na hivyo hawatokuja kupata taifa lao Tena milele. Waendelee kupambana kama wamekufa 45000 niwachache sana kwenye idadi ya watu mil 2. Waendelee kupambana mpaka tone la mwisho.
Kupigania nchi yangu ndio ningekubali.wewe ungekubali kufa?
Palestine ni nini?.Kwani wapalestina walishawahi kuwa na taifa lao
Braza unawaponza wenzako akati ww Upo apo Unakula Ugali choma kwa Amani.Wapalestine wakiinua mikono juu ntawadharau sana, ni either wapambane wafe wote au wapatiwe taifa lao liwe huru wajiamualie mambo yao. Tofaut na hivyo hawatokuja kupata taifa lao Tena milele. Waendelee kupambana kama wamekufa 45000 niwachache sana kwenye idadi ya watu mil 2. Waendelee kupambana mpaka tone la mwisho.
Hawataki 2 state solution, wanataka Palestine isiyo na taifa la IsraelWapalestine wakiinua mikono juu ntawadharau sana, ni either wapambane wafe wote au wapatiwe taifa lao liwe huru wajiamualie mambo yao. Tofaut na hivyo hawatokuja kupata taifa lao Tena milele. Waendelee kupambana kama wamekufa 45000 niwachache sana kwenye idadi ya watu mil 2. Waendelee kupambana mpaka tone la mwisho.
Mtoto akiunyea mkono unatakiwa kuufuta mkono na sio kuukata. Kipigo unacho wapiga utazani sio ndugu zako wa damu!! Naunga mkono Nyau stop this war.Wadau hamjamboni nyote?
Naomba sote kwa nguvu moja bila kujali itikadi zetu mniunge mkono ninapoa WITO kwa Waziri Mkuu Benjamin Netanyau awaonee huruma ndugu zetu wa Mashariki ya kati na hivyo asitishe vita.
Netanyau hao ndugu zetu ni wanyonge kwako na hakuna namna wanaweza kushindana nawe. Netanyau ukiendelea hivi utafuta kizazi chao chote na ikitokea hivyo mwenyezi Mungu hatokusamehe.
Netanyau watu hao hata uwapige vipi watakuja tu kwani wanaamini kwenye itikadi zao.
Netanyau binafsi jamii hiyo siikubali kabisa hata hivyo huruma ya kibinadamu imenijia nikuombe uwafanyie wepesi
Wale wote wanaokubaliana nami kwenye comment tafadhali weka alama ya NDIYO kuashiria msimamo wako
Naamini tukipaza sauti zetu zitasikika hadi huko Yerusalemu.
Aksanteni sana na Mungu awabariki.
Kwahio mkuu wakubali kukaa utumwani kisa wanamuogopa mwenye nguvu, kilichotokea august 23 kijirudie?. Maana walipondwa na vifaru na kufukuzwa Ili wapishe waisrael wajenge.Braza unawaponza wenzako akati ww Upo apo Unakula Ugali choma kwa Amani.
Israel ndio anataka taifa Moja, Tangu kipindi Cha Arafat Israel ashakata kuundwa kwa taifa huru la Palestine. Na ndio vita yao, maana Israel anavamia maeneo ya Palestine nakusema niyake wakibisha anawatembezea kichapo. Angalia eneo alilokabidhiwa Israel na UN 1948 na hili alilonalo Leo.Hawataki 2 state solution, wanataka Palestine isiyo na taifa la Israel
Sasa hiyo ni ngumu
Yote yanawezekana.Atakufa na ataicha Palestinian kama alivyoikuta.
Kawasaidie mbele kabisaWapalestine wakiinua mikono juu ntawadharau sana, ni either wapambane wafe wote au wapatiwe taifa lao liwe huru wajiamualie mambo yao. Tofaut na hivyo hawatokuja kupata taifa lao Tena milele. Waendelee kupambana kama wamekufa 45000 niwachache sana kwenye idadi ya watu mil 2. Waendelee kupambana mpaka tone la mwisho.
Walishaambiwa ukiua 1 wetu tunaua 100 kwenu.Wayahudi zaidi ya mia moja bado wako mikononi mwao, wataendelea kupata mkong'oto mpaka wayahudi waliotekwa waachiliwe wote,wakiwa hai ama wakiwa maiti.waliyataka wenyewe.
Watu kama nyie ndio mnasababisha huu mgogoro usiishe. Sasa wapalestina wanapata faida gani kwa mazingira hayo ambapo wanakufa kwa maelfu.Tatizo alitoa ahadi kulimaliza kundi la hamas lakini ngoma bado ngumu
Anatamani kutoa jeshi ghaza ila anaona aibu kwa hata mateka hawaja kombolewa
umeongeankwahisia nanubinaadamu lakini usichokijua Mungubanampa kiburi ili amkamate vizuri chuku historia ya mussa na firauni lak hali ya ubinaadam this is enougjWadau hamjamboni nyote?
Naomba sote kwa nguvu moja bila kujali itikadi zetu mniunge mkono ninapoa. WITO kwa Waziri Mkuu Benjamin Netanyau awaonee huruma ndugu zetu wa Mashariki ya kati na hivyo asitishe vita.
Netanyau hao ndugu zetu ni wanyonge kwako na hakuna namna wanaweza kushindana nawe. Netanyau ukiendelea hivi utafuta kizazi chao chote na ikitokea hivyo mwenyezi Mungu hatokusamehe.
Netanyau watu hao hata uwapige vipi watakuja tu kwani wanaamini kwenye itikadi zao.
Netanyau binafsi jamii hiyo siikubali kabisa hata hivyo huruma ya kibinadamu imenijia nikuombe uwafanyie wepesi
Wale wote wanaokubaliana nami kwenye comment tafadhali weka alama ya NDIYO kuashiria msimamo wako
Naamini tukipaza sauti zetu zitasikika hadi huko Yerusalemu.
Aksanteni sana na Mungu awabariki.