Netanyahu sasa imetosha, uwafanyie wepesi ndugu zetu wa Palestina, naamini wameshajifunza na hivyo hawatorudia tena kufanya makosa

Netanyahu sasa imetosha, uwafanyie wepesi ndugu zetu wa Palestina, naamini wameshajifunza na hivyo hawatorudia tena kufanya makosa

Wapalestine wakiinua mikono juu ntawadharau sana, ni either wapambane wafe wote au wapatiwe taifa lao liwe huru wajiamualie mambo yao. Tofaut na hivyo hawatokuja kupata taifa lao Tena milele. Waendelee kupambana kama wamekufa 45000 niwachache sana kwenye idadi ya watu mil 2. Waendelee kupambana mpaka tone la mwisho.
wewe ungekubali kufa?
 
Keshaliweka wazi kuwa hana shida na wananchi wa Palestina, shida yake kuifuta Hamasi na itikadi zake Gaza, ili sakata kama hili lisije kujitokeza tena kwa siku za usoni, hataki 'sizi faya' mpaka atakapomalizana kabisa na Hamas.

Kasema raia wanyonge wanakufa bure kwa sababu ya kuisapoti Hamas na kukubali kuwekwa kama ngao ya mashambulizi na tabu wanazozipata haziwastahili, si zao ni za Hamas yarabi.

Nadhani anarudisha mambo ya miaka ya 1980, kuwapiga Hamas na kuikalia kimabavu Gaza hadi hapo atakapowaundia utawala rafiki anaoutaka yeye.
Atakufa na ataicha Palestinian kama alivyoikuta.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Naomba sote kwa nguvu moja bila kujali itikadi zetu mniunge mkono ninapoa WITO kwa Waziri Mkuu Benjamin Netanyau awaonee huruma ndugu zetu wa Mashariki ya kati na hivyo asitishe vita.

Netanyau hao ndugu zetu ni wanyonge kwako na hakuna namna wanaweza kushindana nawe. Netanyau ukiendelea hivi utafuta kizazi chao chote na ikitokea hivyo mwenyezi Mungu hatokusamehe.

Netanyau watu hao hata uwapige vipi watakuja tu kwani wanaamini kwenye itikadi zao.

Netanyau binafsi jamii hiyo siikubali kabisa hata hivyo huruma ya kibinadamu imenijia nikuombe uwafanyie wepesi

Wale wote wanaokubaliana nami kwenye comment tafadhali weka alama ya NDIYO kuashiria msimamo wako

Naamini tukipaza sauti zetu zitasikika hadi huko Yerusalemu.

Aksanteni sana na Mungu awabariki.
Acha akina Sinwar wafaidi mabikra huko. Unawaonea wivu?
 
Wapalestine wakiinua mikono juu ntawadharau sana, ni either wapambane wafe wote au wapatiwe taifa lao liwe huru wajiamualie mambo yao. Tofaut na hivyo hawatokuja kupata taifa lao Tena milele. Waendelee kupambana kama wamekufa 45000 niwachache sana kwenye idadi ya watu mil 2. Waendelee kupambana mpaka tone la mwisho.
Kwani wapalestina walishawahi kuwa na taifa lao
 
Wapalestine wakiinua mikono juu ntawadharau sana, ni either wapambane wafe wote au wapatiwe taifa lao liwe huru wajiamualie mambo yao. Tofaut na hivyo hawatokuja kupata taifa lao Tena milele. Waendelee kupambana kama wamekufa 45000 niwachache sana kwenye idadi ya watu mil 2. Waendelee kupambana mpaka tone la mwisho.
Braza unawaponza wenzako akati ww Upo apo Unakula Ugali choma kwa Amani.
 
Wapalestine wakiinua mikono juu ntawadharau sana, ni either wapambane wafe wote au wapatiwe taifa lao liwe huru wajiamualie mambo yao. Tofaut na hivyo hawatokuja kupata taifa lao Tena milele. Waendelee kupambana kama wamekufa 45000 niwachache sana kwenye idadi ya watu mil 2. Waendelee kupambana mpaka tone la mwisho.
Hawataki 2 state solution, wanataka Palestine isiyo na taifa la Israel

Sasa hiyo ni ngumu
 
Wadau hamjamboni nyote?

Naomba sote kwa nguvu moja bila kujali itikadi zetu mniunge mkono ninapoa WITO kwa Waziri Mkuu Benjamin Netanyau awaonee huruma ndugu zetu wa Mashariki ya kati na hivyo asitishe vita.

Netanyau hao ndugu zetu ni wanyonge kwako na hakuna namna wanaweza kushindana nawe. Netanyau ukiendelea hivi utafuta kizazi chao chote na ikitokea hivyo mwenyezi Mungu hatokusamehe.

Netanyau watu hao hata uwapige vipi watakuja tu kwani wanaamini kwenye itikadi zao.

Netanyau binafsi jamii hiyo siikubali kabisa hata hivyo huruma ya kibinadamu imenijia nikuombe uwafanyie wepesi

Wale wote wanaokubaliana nami kwenye comment tafadhali weka alama ya NDIYO kuashiria msimamo wako

Naamini tukipaza sauti zetu zitasikika hadi huko Yerusalemu.

Aksanteni sana na Mungu awabariki.
Mtoto akiunyea mkono unatakiwa kuufuta mkono na sio kuukata. Kipigo unacho wapiga utazani sio ndugu zako wa damu!! Naunga mkono Nyau stop this war.
 
Hawataki 2 state solution, wanataka Palestine isiyo na taifa la Israel

Sasa hiyo ni ngumu
Israel ndio anataka taifa Moja, Tangu kipindi Cha Arafat Israel ashakata kuundwa kwa taifa huru la Palestine. Na ndio vita yao, maana Israel anavamia maeneo ya Palestine nakusema niyake wakibisha anawatembezea kichapo. Angalia eneo alilokabidhiwa Israel na UN 1948 na hili alilonalo Leo.

Pia alichukua maeneo kibao, na mwaka 1967 UN wakaweka mipaka upya, na Palestine anahitaji taifa huru kwa kufata mipaka ya 1967 . Sasa Israel Hilo hataki, anafanya Genocide. Na Israel alifikir watakimbilia Jangwa la Sinai huko Misri lakini wamemshutukia wanegoma kupokea wakimbizi.

Anahitaji wakimbie Ili aendeleaj kuchukua maeneo ndio maana waarabu wote wamegoma kuwapokea wapalestine, kama ataweza awaue wote wapalestine mil 2 jambo ambalo hawezi.
 
Wapalestine wakiinua mikono juu ntawadharau sana, ni either wapambane wafe wote au wapatiwe taifa lao liwe huru wajiamualie mambo yao. Tofaut na hivyo hawatokuja kupata taifa lao Tena milele. Waendelee kupambana kama wamekufa 45000 niwachache sana kwenye idadi ya watu mil 2. Waendelee kupambana mpaka tone la mwisho.
Kawasaidie mbele kabisa
 
Wayahudi zaidi ya mia moja bado wako mikononi mwao, wataendelea kupata mkong'oto mpaka wayahudi waliotekwa waachiliwe wote,wakiwa hai ama wakiwa maiti.waliyataka wenyewe.
Walishaambiwa ukiua 1 wetu tunaua 100 kwenu.
Tkiingia kwenye hesabu na arithmetic 250×100=25000 hiyo hesabu ishafika na nyongeza tatizo ni hao kukaza shingo ndl wanapigwa na kupigwa mpk baba zao Iran,Lebanon ,Syria yaani ni kipigo tu na hao sijui Yemen vinzi vinavyoshangilia mzoga wanapigwa wote kwa jumla.
 
Tatizo alitoa ahadi kulimaliza kundi la hamas lakini ngoma bado ngumu

Anatamani kutoa jeshi ghaza ila anaona aibu kwa hata mateka hawaja kombolewa
Watu kama nyie ndio mnasababisha huu mgogoro usiishe. Sasa wapalestina wanapata faida gani kwa mazingira hayo ambapo wanakufa kwa maelfu.

Kama ndio imani inawatuma hivyo kwamba wakifa wakipigana na wasio wa imani yao eti wataenda akhera kupewa mabikra 72 wenye macho kama mayai basi hiyo itakuwa sio dini ya mwenyezi Mungu bali ya ibilisi.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Naomba sote kwa nguvu moja bila kujali itikadi zetu mniunge mkono ninapoa. WITO kwa Waziri Mkuu Benjamin Netanyau awaonee huruma ndugu zetu wa Mashariki ya kati na hivyo asitishe vita.

Netanyau hao ndugu zetu ni wanyonge kwako na hakuna namna wanaweza kushindana nawe. Netanyau ukiendelea hivi utafuta kizazi chao chote na ikitokea hivyo mwenyezi Mungu hatokusamehe.

Netanyau watu hao hata uwapige vipi watakuja tu kwani wanaamini kwenye itikadi zao.

Netanyau binafsi jamii hiyo siikubali kabisa hata hivyo huruma ya kibinadamu imenijia nikuombe uwafanyie wepesi

Wale wote wanaokubaliana nami kwenye comment tafadhali weka alama ya NDIYO kuashiria msimamo wako

Naamini tukipaza sauti zetu zitasikika hadi huko Yerusalemu.

Aksanteni sana na Mungu awabariki.
umeongeankwahisia nanubinaadamu lakini usichokijua Mungubanampa kiburi ili amkamate vizuri chuku historia ya mussa na firauni lak hali ya ubinaadam this is enougj
 
Back
Top Bottom