Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Netanyau atembelea kambi ya Jeshi la Israel huko milima ya Golan. Ni kambi ile ilotandikwa Kwa drone za Hezbollah na kuleta maafa Kwa Jeshi la Israel.
Netanyau amesema watahakikisha wanawasaka magaidi wa Hezbollah kila sehemu waliyojificha huko Lebanon ikiwemo mji Mkuu wa Beirut.
Anaongeza kuwa Israel inapambana na Iran ambayo ni muhimili wa ugaidi duniani ambayo imekusudia kulifuta taifa la kiyahudi
Amedai kuwa anajua kuwa nchi yake inalipa gharama kubwa kwenye vita hii lakini mafanikio ni makubwa.
Soma Pia: Jeshi la Israel laazimia kusambaratisha kitengo 127 cha uzalishaji na uendeshaji wa drone cha Hezbollah pamoja na kuua makamanda wote
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
Mungu wabariki watoto wote 12 wa Yakubu bin isihaka bin Ibrahimu
October 14, 2024
Netanyahu visits base hit by Hezbollah drone, says IDF will continue to strike in Beirut
Prime Minister Benjamin Netanyahu, center, visits a Golani training base targeted by a deadly Hezbollah drone strike a day earlier, October 14, 2024. (Kobi Gideon/GPO)
Visiting the Golani training base at which a Hezbollah drone killed four soldiers last night, Prime Minister Benjamin Netanyahu promises to continue striking the Iran-backed Lebanese terror group, including in Beirut.
“We are fighting a tough campaign against Iran’s axis of evil that wants to totally destroy us,” says Netanyahu. “They won’t make it. We keep fighting. We pay painful prices, but we have tremendous achievements — and we will continue to achieve them.”
“I want to make it clear: we will continue to hit Hezbollah mercilessly in all parts of Lebanon — also in Beirut,” he says, after Hebrew media reports indicated that he had instructed the IDF to refrain from hitting the Lebanese capital at Washington’s behest.
Netanyahu visits the dining hall that was hit by the UAV, and talks about the incident with survivors.
He also visits soldiers injured in the attack at Hillel Yaffe Medical Center in Hadera.
Netanyau atembelea kambi ya Jeshi la Israel huko milima ya Golan. Ni kambi ile ilotandikwa Kwa drone za Hezbollah na kuleta maafa Kwa Jeshi la Israel.
Netanyau amesema watahakikisha wanawasaka magaidi wa Hezbollah kila sehemu waliyojificha huko Lebanon ikiwemo mji Mkuu wa Beirut.
Anaongeza kuwa Israel inapambana na Iran ambayo ni muhimili wa ugaidi duniani ambayo imekusudia kulifuta taifa la kiyahudi
Amedai kuwa anajua kuwa nchi yake inalipa gharama kubwa kwenye vita hii lakini mafanikio ni makubwa.
Soma Pia: Jeshi la Israel laazimia kusambaratisha kitengo 127 cha uzalishaji na uendeshaji wa drone cha Hezbollah pamoja na kuua makamanda wote
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
Mungu wabariki watoto wote 12 wa Yakubu bin isihaka bin Ibrahimu
October 14, 2024
Netanyahu visits base hit by Hezbollah drone, says IDF will continue to strike in Beirut
Prime Minister Benjamin Netanyahu, center, visits a Golani training base targeted by a deadly Hezbollah drone strike a day earlier, October 14, 2024. (Kobi Gideon/GPO)
Visiting the Golani training base at which a Hezbollah drone killed four soldiers last night, Prime Minister Benjamin Netanyahu promises to continue striking the Iran-backed Lebanese terror group, including in Beirut.
“We are fighting a tough campaign against Iran’s axis of evil that wants to totally destroy us,” says Netanyahu. “They won’t make it. We keep fighting. We pay painful prices, but we have tremendous achievements — and we will continue to achieve them.”
“I want to make it clear: we will continue to hit Hezbollah mercilessly in all parts of Lebanon — also in Beirut,” he says, after Hebrew media reports indicated that he had instructed the IDF to refrain from hitting the Lebanese capital at Washington’s behest.
Netanyahu visits the dining hall that was hit by the UAV, and talks about the incident with survivors.
He also visits soldiers injured in the attack at Hillel Yaffe Medical Center in Hadera.

