NETO punguzeni jazba: Tusiingize siasa kwenye elimu, tuache interview iamue nani aajiriwe

NETO punguzeni jazba: Tusiingize siasa kwenye elimu, tuache interview iamue nani aajiriwe

deNavigator

Member
Joined
Sep 22, 2018
Posts
49
Reaction score
63
.Acheni tu usaili wa walimu ubakie hivyo wazee. Labda kama kuna marekebisho basi yafanywe ila inerview ibaki.


Wazee niwaambie asilimia 70 ya walim wa NETO. hawako compitent. Yaan. Swala la kusahau content lipo deep sana.

Na kwa uziada wapo walopita shule kijanja janja tu so hawako na uwezo totally.... *sio kua wamesahau ila hawana uwezo. ...

Heb imagine Mwalim wa English hajui hata kuna aina ngapi za maneno (word classes) ... Kuna aina ngap za prepositions au hata issue ya tenses hajui kabisa... Ukimuuliza articles na function ndo kabiiisa. Ukitaka akimbie muulize grammatical errors ni nini na zipoje.

Mwali wa kiswahili hata kuchambua senyensi hajui . Aina na makundi ya ngeli hajui. Ukitaka akimbie muulize tu ushahidi wa kiisim kua kiswahili ni kibantu na aseme hatua za usanifishaji lugha.

Mwalim wa hesab anachojua ni kuchapa tu. Ila namna ya ku impart knowledge kwa kmtoto hajui

From there watu wataamka na kuanza kujishughurisha. .. me nawahakikishia kua wabongo ni waviv sana. .. acha wenye chembechembe za uchapa kazi waajiriwe kupitia usaili...

Ukinijib anzia penye hoja ya kuhusu kutafuta mwalim kwajil ya mwanao wewe .. unaambiwa huyu mwalim alipata 16 kwenye paper ya interview na huyu mwingine alipata 80. Je ni yupi ungependa akufundishie mtoto ??

Ukinijib kitu naomba ongeza comment. Tunafanya usaili kwa madaktari, kwa wanamichezo, marubani, madereva na hata kwa wake tunao waoa. Sasa why mwalim asifanyiwe interview ??.

Heb sogea mbele nikuulize ndugu, unadhani mwalim alofeli paper anafaa kufundisha somo husika ?
 
ACHENI TU USAILI WA WALIM UBAKIE HIVYO WAZEE. Labda kama kuna marekebisho basi yafanywe ila inerview ibaki.


Wazee niwaambie asilimia 70 ya walim wa NETO. hawako compitent. Yaan. Swala la kusahau content lipo deep sana.

Na kwa uziada wapo walopita shule kijanja janja tu so hawako na uwezo totally.... *sio kua wamesahau ila hawana uwezo. ...

Heb imagine Mwalim wa English hajui hata kuna aina ngapi za maneno (word classes) ... Kuna aina ngap za prepositions au hata issue ya tenses hajui kabisa... Ukimuuliza articles na function ndo kabiiisa. Ukitaka akimbie muulize grammatical errors ni nini na zipoje.

Mwali wa kiswahili hata kuchambua senyensi hajui . Aina na makundi ya ngeli hajui. Ukitaka akimbie muulize tu ushahidi wa kiisim kua kiswahili ni kibantu na aseme hatua za usanifishaji lugha.

Mwalim wa hesab anachojua ni kuchapa tu. Ila namna ya ku impart knowledge kwa kmtoto hajui. ...

WAZEE ACHENI INTERVIEW ZIAMUE. at least tutapata walim wenye mwelekeo.. kuliko tungefanya kuwachota tu kama maji. (AT LEAST TUTAPATA WALIM BORA)

From there watu wataamka na kuanza kujishughurisha. .. me nawahakikishia kua wabongo ni waviv sana. .. acha wenye chembechembe za uchapa kazi waajiriwe kupitia usaili...

Ukinijib anzia penye hoja ya kuhusu kutafuta mwalim kwajil ya mwanao wewe .. unaambiwa huyu mwalim alipata 16 kwenye paper ya interview na huyu mwingine alipata 80. Je ni yupi ungependa akufundishie mtoto ??

Ukinijib kitu naomba ongeza comment. Tunafanya usaili kwa madaktari, kwa wanamichezo, marubani, madereva na hata kwa wake tunao waoa. Sasa why mwalim asifanyiwe interview ??.

Heb sogea mbele nikuulize ndugu, unadhani mwalim alofeli paper anafaa kufundisha somo husika ?
NETO wengi ni vijana waliofeli, au kuana na ufaulu wa chini sana,
hawana sifa na kwakweli hawaajiriki.

NETO ni hatari kwa ustawi wa taaluma mashuleni 🐒
 
ACHENI TU USAILI WA WALIM UBAKIE HIVYO WAZEE. Labda kama kuna marekebisho basi yafanywe ila inerview ibaki.


Wazee niwaambie asilimia 70 ya walim wa NETO. hawako compitent. Yaan. Swala la kusahau content lipo deep sana.

Na kwa uziada wapo walopita shule kijanja janja tu so hawako na uwezo totally.... *sio kua wamesahau ila hawana uwezo. ...

Heb imagine Mwalim wa English hajui hata kuna aina ngapi za maneno (word classes) ... Kuna aina ngap za prepositions au hata issue ya tenses hajui kabisa... Ukimuuliza articles na function ndo kabiiisa. Ukitaka akimbie muulize grammatical errors ni nini na zipoje.

Mwali wa kiswahili hata kuchambua senyensi hajui . Aina na makundi ya ngeli hajui. Ukitaka akimbie muulize tu ushahidi wa kiisim kua kiswahili ni kibantu na aseme hatua za usanifishaji lugha.

Mwalim wa hesab anachojua ni kuchapa tu. Ila namna ya ku impart knowledge kwa kmtoto hajui. ...

WAZEE ACHENI INTERVIEW ZIAMUE. at least tutapata walim wenye mwelekeo.. kuliko tungefanya kuwachota tu kama maji. (AT LEAST TUTAPATA WALIM BORA)

From there watu wataamka na kuanza kujishughurisha. .. me nawahakikishia kua wabongo ni waviv sana. .. acha wenye chembechembe za uchapa kazi waajiriwe kupitia usaili...

Ukinijib anzia penye hoja ya kuhusu kutafuta mwalim kwajil ya mwanao wewe .. unaambiwa huyu mwalim alipata 16 kwenye paper ya interview na huyu mwingine alipata 80. Je ni yupi ungependa akufundishie mtoto ??

Ukinijib kitu naomba ongeza comment. Tunafanya usaili kwa madaktari, kwa wanamichezo, marubani, madereva na hata kwa wake tunao waoa. Sasa why mwalim asifanyiwe interview ??.

Heb sogea mbele nikuulize ndugu, unadhani mwalim alofeli paper anafaa kufundisha somo husika ?
Competency ya walimu inaanzia vyuo walivyosoma, shule ngap zina upungufu wa walimu na hawajahajiliwa, NETO wako sahihi katika malalamiko yao sikiliza kwa umakini utaelewa
 
Ata wewe unakosoa wenzako ila angalia uandishi wako:

"Ukinijib"walim" "Hebu" "Kiisim"​

Zamani mfumo wa uajiri walimu walikuwa wanachukuliwa moja kwa moja na kila kitu kilikuwa kiko sawa, ni kuwashauri viongozi walete mfumo huo .

"Tusaidie waliosoma ualimu wapate ajira kwani asilimia 90% wametoka maisha ya chini"
 
Ata wewe unakosoa wenzako ila angalia uandishi wako:

"Ukinijib"walim" "Hebu" "Kiisim"​

Zamani mfumo wa uajiri walimu walikuwa wanachukuliwa moja kwa moja na kila kitu kilikuwa kiko sawa, ni kuwashauri viongozi walete mfumo huo .

"Tusaidie waliosoma ualimu wapate ajira kwani asilimia 90% wametoka maisha ya chini"
Ni mambo ya hovyo kabisa mkuu
 
Una uthibitisho Gani kwa unachosema tunaomba evidence
Mashabiki ambao wanajiita pia wanachama wa NETO alsilimia 95 wamefeli interview ... Kati ya hao asilimia 60 wamefeli kwa marks za chini ya 50 percent.... Huyu mtu ha fit kua accademician akiwa hawez kuperform mtihan wa taaluma yake kwa marks walau za 75 percent.
 
.Acheni tu usaili wa walimu ubakie hivyo wazee. Labda kama kuna marekebisho basi yafanywe ila inerview ibaki.


Wazee niwaambie asilimia 70 ya walim wa NETO. hawako compitent. Yaan. Swala la kusahau content lipo deep sana.

Na kwa uziada wapo walopita shule kijanja janja tu so hawako na uwezo totally.... *sio kua wamesahau ila hawana uwezo. ...

Heb imagine Mwalim wa English hajui hata kuna aina ngapi za maneno (word classes) ... Kuna aina ngap za prepositions au hata issue ya tenses hajui kabisa... Ukimuuliza articles na function ndo kabiiisa. Ukitaka akimbie muulize grammatical errors ni nini na zipoje.

Mwali wa kiswahili hata kuchambua senyensi hajui . Aina na makundi ya ngeli hajui. Ukitaka akimbie muulize tu ushahidi wa kiisim kua kiswahili ni kibantu na aseme hatua za usanifishaji lugha.

Mwalim wa hesab anachojua ni kuchapa tu. Ila namna ya ku impart knowledge kwa kmtoto hajui

From there watu wataamka na kuanza kujishughurisha. .. me nawahakikishia kua wabongo ni waviv sana. .. acha wenye chembechembe za uchapa kazi waajiriwe kupitia usaili...

Ukinijib anzia penye hoja ya kuhusu kutafuta mwalim kwajil ya mwanao wewe .. unaambiwa huyu mwalim alipata 16 kwenye paper ya interview na huyu mwingine alipata 80. Je ni yupi ungependa akufundishie mtoto ??

Ukinijib kitu naomba ongeza comment. Tunafanya usaili kwa madaktari, kwa wanamichezo, marubani, madereva na hata kwa wake tunao waoa. Sasa why mwalim asifanyiwe interview ??.

Heb sogea mbele nikuulize ndugu, unadhani mwalim alofeli paper anafaa kufundisha somo husika ?
ILE INTERVIEW INAPIMA VIPI COMPETENCE YA MWALIMU?
 
.Acheni tu usaili wa walimu ubakie hivyo wazee. Labda kama kuna marekebisho basi yafanywe ila inerview ibaki.


Wazee niwaambie asilimia 70 ya walim wa NETO. hawako compitent. Yaan. Swala la kusahau content lipo deep sana.

Na kwa uziada wapo walopita shule kijanja janja tu so hawako na uwezo totally.... *sio kua wamesahau ila hawana uwezo. ...

Heb imagine Mwalim wa English hajui hata kuna aina ngapi za maneno (word classes) ... Kuna aina ngap za prepositions au hata issue ya tenses hajui kabisa... Ukimuuliza articles na function ndo kabiiisa. Ukitaka akimbie muulize grammatical errors ni nini na zipoje.

Mwali wa kiswahili hata kuchambua senyensi hajui . Aina na makundi ya ngeli hajui. Ukitaka akimbie muulize tu ushahidi wa kiisim kua kiswahili ni kibantu na aseme hatua za usanifishaji lugha.

Mwalim wa hesab anachojua ni kuchapa tu. Ila namna ya ku impart knowledge kwa kmtoto hajui

From there watu wataamka na kuanza kujishughurisha. .. me nawahakikishia kua wabongo ni waviv sana. .. acha wenye chembechembe za uchapa kazi waajiriwe kupitia usaili...

Ukinijib anzia penye hoja ya kuhusu kutafuta mwalim kwajil ya mwanao wewe .. unaambiwa huyu mwalim alipata 16 kwenye paper ya interview na huyu mwingine alipata 80. Je ni yupi ungependa akufundishie mtoto ??

Ukinijib kitu naomba ongeza comment. Tunafanya usaili kwa madaktari, kwa wanamichezo, marubani, madereva na hata kwa wake tunao waoa. Sasa why mwalim asifanyiwe interview ??.

Heb sogea mbele nikuulize ndugu, unadhani mwalim alofeli paper anafaa kufundisha somo husika ?
Sasa hapo swali wali pass vipi vyuoni ? hapo tatizo ni serikali pumbavu ya ccm.....hao walimu ilitakiwa wasipite vyuoni ....shida inaanzia hapo...ni vizuri serikali izingatie ufanisi wa shule na walimu kwenye kupanga daraja za walimu kimishahara ....walimu walio kwenye ajira wanafanya upuuzi mkubwa sana ...ufanisi wao ni asilimia 0 kabisa ndiyo maana hata hao walimu wanashindwa hayo mambo uliyo eleza tatizo ni walimu waliopo kwenye vyuo vyao pia
 
Mashabiki ambao wanajiita pia wanachama wa NETO alsilimia 95 wamefeli interview ... Kati ya hao asilimia 60 wamefeli kwa marks za chini ya 50 percent.... Huyu mtu ha fit kua accademician akiwa hawez kuperform mtihan wa taaluma yake kwa marks walau za 75 percent.
Toa udhibitisho wa icho unachokisema Ainisha number zao na marks zao.

Kwa kauli ya viongozi wa NETO, NETO ilitengenezwa kabla ya usahili kufanyika.. kama si kweli unaweza ukatoa uthibitisho kuwa hao viongozi wamefeli usahili..!?
 
Watu mliosome English Mediuma mnajiona sana
nimesoma shule ya kata aloinzindua hayati Benjamin W.Mkapa,

Nakumbuka nilijiunga shuleni hapo fomu one July 13, miaka hiyo, nikiwa nimebeba ndo ya lita10, kwanja, panga, na jembe kama ambavyo join instructions ilivyo sema,

kijana nikiwa na baiskeli yangu aina ya phonex kama usafiri wa kifahari sana wakati huo,

dah, umenikumbusha mbali sana gentleman 🐒
 
Mleta mada nakupa 5 walimu wasailiwe wakishindwa usaili watafutiwe nyavu wakavue.fikiria umesoma fani yoyote unapewa usaili unapata 0 sasa nani atakusaidia??vyuoni hawafundishi kila kitu inatakiwa kijana mwenyewe ajiongeze kupata maarifa.pia namshsuri waziri walimu wa vyuo wafundishe tu mitihani itungwe na necta au chombo kingine.
 
Back
Top Bottom