Umkonto umsizwe
JF-Expert Member
- Feb 7, 2023
- 454
- 949
😂😂 interview wenyewe ambaya kama huna kadi ya ccm huingii😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ma nene ya kuwa wana mapungufu ni kukwepa lawama ya kukosa uwezo wa kuwaajiri,wengine wametoka shule miaka saba au zaidi kusahau ni lazima,ila kama elimu aliyopatiwa ikiwa bora bado ubora itakiwepo kama ilikuwa na mapungufu yatakuwepo hivyo ni vyema hoja zao zikajibiwa na sii kukatishwa tamaa na kuwavunja moyo ili wasihoji.Competency ya walimu inaanzia vyuo walivyosoma, shule ngap zina upungufu wa walimu na hawajahajiliwa, NETO wako sahihi katika malalamiko yao sikiliza kwa umakini utaelewa
Acha upotoshaji hata kama ni Mnufaika wa mfumo wa hovyo wa Ma CCM Bora ukae kimya ibaki siri yako..Acheni tu usaili wa walimu ubakie hivyo wazee. Labda kama kuna marekebisho basi yafanywe ila inerview ibaki.
Wazee niwaambie asilimia 70 ya walim wa NETO. hawako compitent. Yaan. Swala la kusahau content lipo deep sana.
Na kwa uziada wapo walopita shule kijanja janja tu so hawako na uwezo totally.... *sio kua wamesahau ila hawana uwezo. ...
Heb imagine Mwalim wa English hajui hata kuna aina ngapi za maneno (word classes) ... Kuna aina ngap za prepositions au hata issue ya tenses hajui kabisa... Ukimuuliza articles na function ndo kabiiisa. Ukitaka akimbie muulize grammatical errors ni nini na zipoje.
Mwali wa kiswahili hata kuchambua senyensi hajui . Aina na makundi ya ngeli hajui. Ukitaka akimbie muulize tu ushahidi wa kiisim kua kiswahili ni kibantu na aseme hatua za usanifishaji lugha.
Mwalim wa hesab anachojua ni kuchapa tu. Ila namna ya ku impart knowledge kwa kmtoto hajui
From there watu wataamka na kuanza kujishughurisha. .. me nawahakikishia kua wabongo ni waviv sana. .. acha wenye chembechembe za uchapa kazi waajiriwe kupitia usaili...
Ukinijib anzia penye hoja ya kuhusu kutafuta mwalim kwajil ya mwanao wewe .. unaambiwa huyu mwalim alipata 16 kwenye paper ya interview na huyu mwingine alipata 80. Je ni yupi ungependa akufundishie mtoto ??
Ukinijib kitu naomba ongeza comment. Tunafanya usaili kwa madaktari, kwa wanamichezo, marubani, madereva na hata kwa wake tunao waoa. Sasa why mwalim asifanyiwe interview ??.
Heb sogea mbele nikuulize ndugu, unadhani mwalim alofeli paper anafaa kufundisha somo husika ?
Ndugu yangu. Kwani dereva, rubani daktari , na fami zinginezote zinapofanyiwa interview mbona hatuhoki haya ??? Kwanini iwe kwa mwalim peke ake. Kwanini tulalamikie interview hii peke ake. Why not zingine zote ????Sasa hapo swali wali pass vipi vyuoni ? hapo tatizo ni serikali pumbavu ya ccm.....hao waoimu ilitakiwa wasipite vyuoni ....shida inaanzia hapo...ni vizuri serikali izingatie ufanisi wa shule na walimu kwenye kupanga daraja za walimu kimishahara ....walimu walio kwenye ajira wanafanya upuuzi mkubwa sana ...ufanisi warning 0 kabisa ndiyo maana hata hao walimu wanashindwa hayo mambo uliyo eleza tatizo ni walimu waliopo kwenye vyuo vyao pia
Acha upotoshaji. Mara nyingi wewe huandika habari za kujisifia CCM na viunga vyake. Sasa madai ya NETO huwezi kuyaelewa maana ninyi Wana CCM uwezo wenu wa kufikiri umefika mwisho. Hamna jipya zaidi ya kusifiana sifiana kinafiki.NETO wengi ni vijana waliofeli, au kuana na ufaulu wa chini sana,
hawana sifa na kwakweli hawaajiriki.
NETO ni hatari kwa ustawi wa taaluma mashuleni 🐒
Sija hoji kwa walimu tu nimesema tatizo ni ufundishaji sio kwamba hao walimu waliopo makazini ni wazuri sana wengine ni wabovu kuliko hao wasio na ajira...elimu zote tanzania ni mbovu na wahitimu wake ni wabovuNdugu yangu. Kwani dereva, rubani daktari , na fami zinginezote zinapofanyiwa interview mbona hatuhoki haya ??? Kwanini iwe kwa mwalim peke ake. Kwanini tulalamikie interview hii peke ake. Why not zingine zote ????
Relax bas gentleman jikite kwenye hoja mahususi mezani,Acha upotoshaji. Mara nyingi wewe huandika habari za kujisifia CCM na viunga vyake. Sasa madai ya NETO huwezi kuyaelewa maana ninyi Wana CCM uwezo wenu wa kufikiri umefika mwisho. Hamna jipya zaidi ya kusifiana sifiana kinafiki.
Lakini taratibu tu tutaelewana maana hii nchi ni yetu sote na si mali ya wachache hivyo lazima tule wote cake ya taifa.
Ulichoandika hapo juu kama ni kweli basi siyo tatizo la NETO; ni JANGA la TAIFA kua elimu imedorora, ishakua siasa, na uongouongo..Acheni tu usaili wa walimu ubakie hivyo wazee. Labda kama kuna marekebisho basi yafanywe ila inerview ibaki.
Wazee niwaambie asilimia 70 ya walim wa NETO. hawako compitent. Yaan. Swala la kusahau content lipo deep sana.
Na kwa uziada wapo walopita shule kijanja janja tu so hawako na uwezo totally.... *sio kua wamesahau ila hawana uwezo. ...
Heb imagine Mwalim wa English hajui hata kuna aina ngapi za maneno (word classes) ... Kuna aina ngap za prepositions au hata issue ya tenses hajui kabisa... Ukimuuliza articles na function ndo kabiiisa. Ukitaka akimbie muulize grammatical errors ni nini na zipoje.
Mwali wa kiswahili hata kuchambua senyensi hajui . Aina na makundi ya ngeli hajui. Ukitaka akimbie muulize tu ushahidi wa kiisim kua kiswahili ni kibantu na aseme hatua za usanifishaji lugha.
Mwalim wa hesab anachojua ni kuchapa tu. Ila namna ya ku impart knowledge kwa kmtoto hajui
From there watu wataamka na kuanza kujishughurisha. .. me nawahakikishia kua wabongo ni waviv sana. .. acha wenye chembechembe za uchapa kazi waajiriwe kupitia usaili...
Ukinijib anzia penye hoja ya kuhusu kutafuta mwalim kwajil ya mwanao wewe .. unaambiwa huyu mwalim alipata 16 kwenye paper ya interview na huyu mwingine alipata 80. Je ni yupi ungependa akufundishie mtoto ??
Ukinijib kitu naomba ongeza comment. Tunafanya usaili kwa madaktari, kwa wanamichezo, marubani, madereva na hata kwa wake tunao waoa. Sasa why mwalim asifanyiwe interview ??.
Heb sogea mbele nikuulize ndugu, unadhani mwalim alofeli paper anafaa kufundisha somo husika ?
Aisee!Wazee niwaambie asilimia 70 ya walim wa NETO. hawako compitent.
Waalimu walizoe kazi ni bwerere..Kwanza ndugu mwandishi huna haki ya kuongea kwasababu ata uandishi wako unatia mashaka
Haya sasa ngoja nijaribu kukujibu
Sio kwamba NETO wanapinga usaili ila kinachofanyika kwenye usaili ndicho kibaya
Kwa mfano unawezaje kumpa mtu mtihani wa usaili wa English ilihali chuoni ulimfundisha kwa lugha ya kiswahili?
Je unawezaje kumpima mtu aliyehitimu 2015 na aliyehitimu 2024 kwa mtihani mmoja?
Je unawezaje kuwa na nafasi 15 za kazi arf kwenye usaili unaita watu 600
Unamuondoa mtu kwenye mchakato wa ajira kwa kigezo Cha kuwa hajafaulu usaili Kwanini unaruhusu aendelee kujitolea shuleni ?
unakaa home 4years unafikili taaluma itabaki kichwani hilo la kulicheki kichwa kishakuwa na mambo mengiSure. Tupendekeze marekebisho yatayowabeba vijana kiujumla. Ila nasi vijana tusiache kujitahidi kujishughurisha. ...
Wakitupa nafasi tuhakikishe tupo na ujuzi.
Pumbavu kabisa wewe..Acheni tu usaili wa walimu ubakie hivyo wazee. Labda kama kuna marekebisho basi yafanywe ila inerview ibaki.
Wazee niwaambie asilimia 70 ya walim wa NETO. hawako compitent. Yaan. Swala la kusahau content lipo deep sana.
Na kwa uziada wapo walopita shule kijanja janja tu so hawako na uwezo totally.... *sio kua wamesahau ila hawana uwezo. ...
Heb imagine Mwalim wa English hajui hata kuna aina ngapi za maneno (word classes) ... Kuna aina ngap za prepositions au hata issue ya tenses hajui kabisa... Ukimuuliza articles na function ndo kabiiisa. Ukitaka akimbie muulize grammatical errors ni nini na zipoje.
Mwali wa kiswahili hata kuchambua senyensi hajui . Aina na makundi ya ngeli hajui. Ukitaka akimbie muulize tu ushahidi wa kiisim kua kiswahili ni kibantu na aseme hatua za usanifishaji lugha.
Mwalim wa hesab anachojua ni kuchapa tu. Ila namna ya ku impart knowledge kwa kmtoto hajui
From there watu wataamka na kuanza kujishughurisha. .. me nawahakikishia kua wabongo ni waviv sana. .. acha wenye chembechembe za uchapa kazi waajiriwe kupitia usaili...
Ukinijib anzia penye hoja ya kuhusu kutafuta mwalim kwajil ya mwanao wewe .. unaambiwa huyu mwalim alipata 16 kwenye paper ya interview na huyu mwingine alipata 80. Je ni yupi ungependa akufundishie mtoto ??
Ukinijib kitu naomba ongeza comment. Tunafanya usaili kwa madaktari, kwa wanamichezo, marubani, madereva na hata kwa wake tunao waoa. Sasa why mwalim asifanyiwe interview ??.
Heb sogea mbele nikuulize ndugu, unadhani mwalim alofeli paper anafaa kufundisha somo husika ?
Nakubari. Upo sahihi kwa upande wakoCompetency ya walimu inaanzia vyuo walivyosoma, shule ngap zina upungufu wa walimu na hawajahajiliwa, NETO wako sahihi katika malalamiko yao sikiliza kwa umakini utaelewa
ahahaha.... dah ... Tz ny*k* sana.😂😂 interview wenyewe ambaya kama huna kadi ya ccm huingii😂😂
hawawez kuelewa ila huko kweny mhimili wa elimu , watoa ilimu ni hamnazk kuliko wanaoitaka ilimu , Tupige magoti tusali.Acheni tu usaili wa walimu ubakie hivyo wazee. Labda kama kuna marekebisho basi yafanywe ila inerview ibaki.
Wazee niwaambie asilimia 70 ya walim wa NETO. hawako compitent. Yaan. Swala la kusahau content lipo deep sana.
Na kwa uziada wapo walopita shule kijanja janja tu so hawako na uwezo totally.... *sio kua wamesahau ila hawana uwezo. ...
Heb imagine Mwalim wa English hajui hata kuna aina ngapi za maneno (word classes) ... Kuna aina ngap za prepositions au hata issue ya tenses hajui kabisa... Ukimuuliza articles na function ndo kabiiisa. Ukitaka akimbie muulize grammatical errors ni nini na zipoje.
Mwali wa kiswahili hata kuchambua senyensi hajui . Aina na makundi ya ngeli hajui. Ukitaka akimbie muulize tu ushahidi wa kiisim kua kiswahili ni kibantu na aseme hatua za usanifishaji lugha.
Mwalim wa hesab anachojua ni kuchapa tu. Ila namna ya ku impart knowledge kwa kmtoto hajui
From there watu wataamka na kuanza kujishughurisha. .. me nawahakikishia kua wabongo ni waviv sana. .. acha wenye chembechembe za uchapa kazi waajiriwe kupitia usaili...
Ukinijib anzia penye hoja ya kuhusu kutafuta mwalim kwajil ya mwanao wewe .. unaambiwa huyu mwalim alipata 16 kwenye paper ya interview na huyu mwingine alipata 80. Je ni yupi ungependa akufundishie mtoto ??
Ukinijib kitu naomba ongeza comment. Tunafanya usaili kwa madaktari, kwa wanamichezo, marubani, madereva na hata kwa wake tunao waoa. Sasa why mwalim asifanyiwe interview ??.
Heb sogea mbele nikuulize ndugu, unadhani mwalim alofeli paper anafaa kufundisha somo husika ?
ishu wanafauluje ? je mitihani inawaanda vp kutrain wanafunzi iwapo trainees hawapo compitentNakubari. Upo sahihi kwa upande wako
Lakini tukinena kiuana zuoni. Chuo kazi yake ni kukupa mwanga na so kukufundisha all over the way.
Chuo kinakufungulia mrango ni wajib wako binafsi kusoma (kujinoa) .. sio kazi ya chuo kusoma au kukufundisha as if upo darasa la pili.
Hata advance hawafundish kias hicho. Wanafunzi hujisomea ila wakifika chuo huanza uvivu
Thats why ukienda chuo unaambiwa lecture ananafasi ya 25 percent or less. Zingine unatafuta on your own.. lakini wanazuoni hasa wa Tanzania wanaenda kutafuta pisi au sponsors.