NETO punguzeni jazba: Tusiingize siasa kwenye elimu, tuache interview iamue nani aajiriwe

NETO punguzeni jazba: Tusiingize siasa kwenye elimu, tuache interview iamue nani aajiriwe

Lakini pia jambo linalotia kinyaa ni uwepo wa michezo michafu ya rushwa ktk hizi idara zinazosimamia usaili kwa mfano mtu unapomuhoji kwenye oral interview Kwanini matokeo yake yasiwekwe kwenye account yake ajue kapata ngapi ?
Unashangaa tu mtu kaitwa kazini lkn ufaulu wake wa oral interview haujulkani maana yake ni kuwa ata ukifanya interview zote Bado anayeamua nani wa kuingia kazini ni mtu na si alama zake za ufaulu
Hayo ndio mambo ya kupigania mkuu

Hivi ukiruhusu kupita bila usaili si ndio disaster kabisa, maana watapishwa mno.
 
Back
Top Bottom