NETO punguzeni jazba: Tusiingize siasa kwenye elimu, tuache interview iamue nani aajiriwe

NETO punguzeni jazba: Tusiingize siasa kwenye elimu, tuache interview iamue nani aajiriwe

Ila hoja yao ya kufutwa kwa usaili kisa wanakaa muda mrefu bila usaili ni ya kipuuzi na ya kupuuzwa kabisa.
Wahasibu, wanasheria, wahandisi, madaktari wote hao hupitia usaili.

Kampuni gani itakuajiri bila kukupima, hata ukae miaka 10 lazima upimwe je unakumbuka ulichofundishwa?? Sasa hukumbuki utaenda kufundisha nini?

Hesabu ni formula, wewe ushasahau zote, wewe ticha wa kemia upewe maabara na huna chemical formula unayokumbuka mwisho uishie kuichoma moto maabara yenyewe.
Dah. Tunahitaji san watu wenye weredi wa kufikiri wa namna
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo! Ingawa naona kuna watu wanashangilia. Yaani huoni tofauti ya waalimu na hao wahasibu?

Waalimu wanasoma vyuo vya wizara ya elimu. Hata walio vyuo binafsi, mitaala yao na ubora wake inasimamiwa na wizara ya Elimu Wanaajiliwa na wizara ya Elimu. Huoni Tofauti? Madaktari gani wanaoajiliwa kwa usaili nchi hii? Hao wahasibu wanaajiliwa na wizara ya Uhasibu? Ipo? Mitaala yao inasimamiwa na wizara ya Uhasibu? Ipo?

Nakupa mifano hiyo ili angalau uwe na akili. Kwamba Wizara ya elimu inafanya ujinga na waziri wao. Yaanio imesimamia ubora wa wahitimu na kuridhika nao, na kutoa vyeti. Baadaye wakitoa ajira, waziri anasema kama mlevi eti ubora wao sijui nyoko gani vile!
Umepanick sana.
Madaktaru wanafanya intervuew, watu wa uchumi mabenk humo na TRA wanafanya Interview ... Why ninyi wali. Muogope interview jamani ???

Kwani hata Ruban akifanyiwa interview nae inamanisha wanamasjaka na elim yake . Au wanaangalia weridi wake ?
 
Yaani wewe ni mjuaji wa kila kitu!! Nikizaa toto lenye kiherehere kama wewe NALICHINJA
Ukweli mchungu, Ukweli unaumiza mtima,

elimu haina mwisho, ikiwa ulizembea masomoni, huwezi elewa mambo muhimu na rahisi kama haya gentleman,

kusoma ni kuzuri sana, unakua awere na kila kitu kabla hata hakijaandikwa humu kama hoja mahususi mezani 🐒
 
Sinde shule ya msing, sinde sekondari , igawilo sekondari... Nakumbuka waliwah kuja walim wa field mwaka 2005.
Mwalim alikuja akatufundisha much na many kinyume (yan sehem ya many akasema tunatumia much af sehem ya much akasema tunatumia many. )

Yam mpaka mzazi wa mwanafunzi mwenzang mmoja akaja kustukia mchongo. Mwalim wa field alatoroka hatuka mwona had leo.
Sijui nina shida gan kila nikisoma comment zako nazisoma kwa lafudhi ya kisukuma
 
Neto uwezo wao wa kufikiri ni mfupi sanaaa.
Imagine vijana wote waliopita JKT nao washinikize kuandikishwa jeshini itakuajee?
Au basi wote ambao hatuna ajira tushinikize kuajiriwa patakalika kweli kwenye hii nchii?
Kwa namna mifumo ilivo sasa watu Wana implement automation system/ robotic system ili ku increase product.

Wanaondoa wafanyakazi ili kuepusha gharama za kila siku za kuwalipa. Sasa nyie endeleeni kishinikiza kuajiriwaaa
Huna hoja, huenda wewe ni mwana CCM. Wana CCM Wana roho mbaya sana na hujiona wamekamilika. Shame on you mbwa nyie
 
Nawe utakuwa hopeless kama waziri.
Vyuo vyote vinatoa elimu ya ualimu kwa usimamizi wa wizara, na kukaguliwa na wizara. Baadaye waziri anajidai hatambui ubora wa wahitimu.

Tumedekeza kila waziri kuja na upuuzi wake na kufanya ndo mahitaji ya taifa. KIla waziri anakuja na ujinga wake!
Mkenda hastahili hata kidogo kuongoza hata kikundi Cha wanaukoo wake. Anajionaga smart sana kumbe ni non sense kama Alivyotambulishwa Kwa Rais Mseveni.
 
NETO wengi ni vijana waliofeli, au kuana na ufaulu wa chini sana,
hawana sifa na kwakweli hawaajiriki.

NETO ni hatari kwa ustawi wa taaluma mashuleni 🐒
Lowassa alisema vijana kukosa ajira ni bomu. Muda ukifika litalipuka!
SSH alifeli shule Leo ni Rais.
Makamba, Nape, Makonda n.k walifeli, Leo ni watu kwenye jamii!!

Hata kama ni failures haina maana wasipate kazi yoyote kujikwamua na umaskini!
Uongozi ni kubuni na kutengeneza fursa za ajira!
 
Lowassa alisema vijana kukosa ajira ni bomu. Muda ukifika litalipuka!
SSH alifeli shule Leo ni Rais.
Makamba, Nape, Makonda n.k walifeli, Leo ni watu kwenye jamii!!

Hata kama ni failures haina maana wasipate kazi yoyote kujikwamua na umaskini!
Uongozi ni kubuni na kutengeneza fursa za ajira!
Gentleman,
fursa za ajiri za uhakika na zinawatosha vijana wote hususan hao waliofeli na kukosa sifa ni kwenye sekta ya kilimo, na si vinginevyo,

waende huko kujikwamua kiuchumi 🐒
 
.Acheni tu usaili wa walimu ubakie hivyo wazee. Labda kama kuna marekebisho basi yafanywe ila inerview ibaki.


Wazee niwaambie asilimia 70 ya walim wa NETO. hawako compitent. Yaan. Swala la kusahau content lipo deep sana.

Na kwa uziada wapo walopita shule kijanja janja tu so hawako na uwezo totally.... *sio kua wamesahau ila hawana uwezo. ...

Heb imagine Mwalim wa English hajui hata kuna aina ngapi za maneno (word classes) ... Kuna aina ngap za prepositions au hata issue ya tenses hajui kabisa... Ukimuuliza articles na function ndo kabiiisa. Ukitaka akimbie muulize grammatical errors ni nini na zipoje.

Mwali wa kiswahili hata kuchambua senyensi hajui . Aina na makundi ya ngeli hajui. Ukitaka akimbie muulize tu ushahidi wa kiisim kua kiswahili ni kibantu na aseme hatua za usanifishaji lugha.

Mwalim wa hesab anachojua ni kuchapa tu. Ila namna ya ku impart knowledge kwa kmtoto hajui

From there watu wataamka na kuanza kujishughurisha. .. me nawahakikishia kua wabongo ni waviv sana. .. acha wenye chembechembe za uchapa kazi waajiriwe kupitia usaili...

Ukinijib anzia penye hoja ya kuhusu kutafuta mwalim kwajil ya mwanao wewe .. unaambiwa huyu mwalim alipata 16 kwenye paper ya interview na huyu mwingine alipata 80. Je ni yupi ungependa akufundishie mtoto ??

Ukinijib kitu naomba ongeza comment. Tunafanya usaili kwa madaktari, kwa wanamichezo, marubani, madereva na hata kwa wake tunao waoa. Sasa why mwalim asifanyiwe interview ??.

Heb sogea mbele nikuulize ndugu, unadhani mwalim alofeli paper anafaa kufundisha somo husika ?
Acha uwongoo kuna walimu wanafundisha shule za private na wako vizuri lakini hizo interview wamekwama, hayo maswali yalikuwa yanapima compitence ya mtu?

Itoshe tu kusema serikal ina nafasi chache zau kuajiri haina uwezo wa kuajiri walimu wote, tuache visingizio visivyo na msingi wala maana yoyote
 
.Acheni tu usaili wa walimu ubakie hivyo wazee. Labda kama kuna marekebisho basi yafanywe ila inerview ibaki.


Wazee niwaambie asilimia 70 ya walim wa NETO. hawako compitent. Yaan. Swala la kusahau content lipo deep sana.

Na kwa uziada wapo walopita shule kijanja janja tu so hawako na uwezo totally.... *sio kua wamesahau ila hawana uwezo. ...

Heb imagine Mwalim wa English hajui hata kuna aina ngapi za maneno (word classes) ... Kuna aina ngap za prepositions au hata issue ya tenses hajui kabisa... Ukimuuliza articles na function ndo kabiiisa. Ukitaka akimbie muulize grammatical errors ni nini na zipoje.

Mwali wa kiswahili hata kuchambua senyensi hajui . Aina na makundi ya ngeli hajui. Ukitaka akimbie muulize tu ushahidi wa kiisim kua kiswahili ni kibantu na aseme hatua za usanifishaji lugha.

Mwalim wa hesab anachojua ni kuchapa tu. Ila namna ya ku impart knowledge kwa kmtoto hajui

From there watu wataamka na kuanza kujishughurisha. .. me nawahakikishia kua wabongo ni waviv sana. .. acha wenye chembechembe za uchapa kazi waajiriwe kupitia usaili...

Ukinijib anzia penye hoja ya kuhusu kutafuta mwalim kwajil ya mwanao wewe .. unaambiwa huyu mwalim alipata 16 kwenye paper ya interview na huyu mwingine alipata 80. Je ni yupi ungependa akufundishie mtoto ??

Ukinijib kitu naomba ongeza comment. Tunafanya usaili kwa madaktari, kwa wanamichezo, marubani, madereva na hata kwa wake tunao waoa. Sasa why mwalim asifanyiwe interview ??.

Heb sogea mbele nikuulize ndugu, unadhani mwalim alofeli paper anafaa kufundisha somo husika ?
Siku mkianza interview za Wakurugenzi,wakuu wa idara,makatibu wakuu,makatibu tawala,na mawaziri ndio mje muwalaumu hawa walimu
 
.Acheni tu usaili wa walimu ubakie hivyo wazee. Labda kama kuna marekebisho basi yafanywe ila inerview ibaki.


Wazee niwaambie asilimia 70 ya walim wa NETO. hawako compitent. Yaan. Swala la kusahau content lipo deep sana.

Na kwa uziada wapo walopita shule kijanja janja tu so hawako na uwezo totally.... *sio kua wamesahau ila hawana uwezo. ...

Heb imagine Mwalim wa English hajui hata kuna aina ngapi za maneno (word classes) ... Kuna aina ngap za prepositions au hata issue ya tenses hajui kabisa... Ukimuuliza articles na function ndo kabiiisa. Ukitaka akimbie muulize grammatical errors ni nini na zipoje.

Mwali wa kiswahili hata kuchambua senyensi hajui . Aina na makundi ya ngeli hajui. Ukitaka akimbie muulize tu ushahidi wa kiisim kua kiswahili ni kibantu na aseme hatua za usanifishaji lugha.

Mwalim wa hesab anachojua ni kuchapa tu. Ila namna ya ku impart knowledge kwa kmtoto hajui

From there watu wataamka na kuanza kujishughurisha. .. me nawahakikishia kua wabongo ni waviv sana. .. acha wenye chembechembe za uchapa kazi waajiriwe kupitia usaili...

Ukinijib anzia penye hoja ya kuhusu kutafuta mwalim kwajil ya mwanao wewe .. unaambiwa huyu mwalim alipata 16 kwenye paper ya interview na huyu mwingine alipata 80. Je ni yupi ungependa akufundishie mtoto ??

Ukinijib kitu naomba ongeza comment. Tunafanya usaili kwa madaktari, kwa wanamichezo, marubani, madereva na hata kwa wake tunao waoa. Sasa why mwalim asifanyiwe interview ??.

Heb sogea mbele nikuulize ndugu, unadhani mwalim alofeli paper anafaa kufundisha somo husika ?
Swala la kukataa interview ni hoja isiyoelezeka, in short haiwezekani

Jambo la msingi interview iboreshwe

Walimu wafanye interview kama za watu wengine

Maswala ya interview haina content maalumu ni changamoto ( kuanzia O level, advance hadi chuo)

Interview ya kufanya maswali 25 ya multiple choice ni uongo (haiwezekani kumtaini mwalimu kwa usahili huo)


Kuna baadhi ya vitu watu wanaongea ila hawajui tu

Mimi nimeacha kufundisha mwaka wa 5 huu,

Nimekomaa na kusoma chemistry O level to advance ( waliosoma chemistry wanajua load yake japo Kuna vitu lazima viachwe kwa nature ya interview)

Hapo naenda written na Oral sijakutana hata na swali moja bali ninekutana kwenye oral tena swali ambalo tulisoma chuo

Kwenye Biology nikaamua kukomaa na course za education tu mwisho kwenye mitihani wakabase kwenye masomo kwa asilimia kubwa


Hii ndio shida ya interview hizi za walimu

Tuweni fair, mtu aliyekaa mtaani kitambo Kisha umpe mtihani usio na format maalumu lazima itakuwa shida ( Kuna mtu humu anapiga kelele ila akiambiwa afanye mtihani wa O level/ advance tena hatooi
 
Acha uwongoo kuna walimu wanafundisha shule za private na wako vizuri lakini hizo interview wamekwama, hayo maswali yalikuwa yanapima compitence ya mtu?

Itoshe tu kusema serikal ina nafasi chache zau kuajiri haina uwezo wa kuajiri walimu wote, tuache visingizio visivyo na msingi wala maana yoyote
Mimi binafsi najiamini nipo competent (In short challenge za hapa na pale hasa kujifanya mjuzi nikaenda education, kwa upande wa matokeo ya O level na advance nimepata div 1 tena shule za kata)

ila ule mfumo wa mitihani ni mbovu na japo nimepambana nao hivyo hivyo

Private interview zao zimenyooka, unaenda unajua unapewa paper ya advance unahangaika nalo

Au unapewa darasa ufundishe ila sasa interview hizi ukae na kuanza kuwakariri wanafalsafa zaidi ya 30 ni kipengele
 
Swala la kukataa interview ni hoja isiyoelezeka, in short haiwezekani

Jambo la msingi interview iboreshwe

Walimu wafanye interview kama za watu wengine

Maswala ya interview haina content maalumu ni changamoto ( kuanzia O level, advance hadi chuo)

Interview ya kufanya maswali 25 ya multiple choice ni uongo (haiwezekani kumtaini mwalimu kwa usahili huo)


Kuna baadhi ya vitu watu wanaongea ila hawajui tu

Mimi nimeacha kufundisha mwaka wa 5 huu,

Nimekomaa na kusoma chemistry O level to advance ( waliosoma chemistry wanajua load yake japo Kuna vitu lazima viachwe kwa nature ya interview)

Hapo naenda written na Oral sijakutana hata na swali moja bali ninekutana kwenye oral tena swali ambalo tulisoma chuo

Kwenye Biology nikaamua kukomaa na course za education tu mwisho kwenye mitihani wakabase kwenye masomo kwa asilimia kubwa


Hii ndio shida ya interview hizi za walimu

Tuweni fair, mtu aliyekaa mtaani kitambo Kisha umpe mtihani usio na format maalumu lazima itakuwa shida ( Kuna mtu humu anapiga kelele ila akiambiwa afanye mtihani wa O level/ advance tena hatooi
Hawa kondoo wanaongea tu ila hawajui manyiki ya wanachokieleza. Wao wanageneralize tu
 
Binafsi nawapenda sana walimu wa Dar es salaam

They are money oriented

Hawa mbwa wanaokuja kudharau walimu humu na kuwaona vilaza bila uhalisia, dawa Yao ni kuwapiga hela tu

Kila siku shillingi 200 - 500

Shule ina wanafunzi 3000+

Mambo mazuri kabisa
Kwa mwezi hata kama kila siku atakunja 30k basi ana uhakika wa 1M kasoro
 
.Acheni tu usaili wa walimu ubakie hivyo wazee. Labda kama kuna marekebisho basi yafanywe ila inerview ibaki.


Wazee niwaambie asilimia 70 ya walim wa NETO. hawako compitent. Yaan. Swala la kusahau content lipo deep sana.

Na kwa uziada wapo walopita shule kijanja janja tu so hawako na uwezo totally.... *sio kua wamesahau ila hawana uwezo. ...

Heb imagine Mwalim wa English hajui hata kuna aina ngapi za maneno (word classes) ... Kuna aina ngap za prepositions au hata issue ya tenses hajui kabisa... Ukimuuliza articles na function ndo kabiiisa. Ukitaka akimbie muulize grammatical errors ni nini na zipoje.

Mwali wa kiswahili hata kuchambua senyensi hajui . Aina na makundi ya ngeli hajui. Ukitaka akimbie muulize tu ushahidi wa kiisim kua kiswahili ni kibantu na aseme hatua za usanifishaji lugha.

Mwalim wa hesab anachojua ni kuchapa tu. Ila namna ya ku impart knowledge kwa kmtoto hajui

From there watu wataamka na kuanza kujishughurisha. .. me nawahakikishia kua wabongo ni waviv sana. .. acha wenye chembechembe za uchapa kazi waajiriwe kupitia usaili...

Ukinijib anzia penye hoja ya kuhusu kutafuta mwalim kwajil ya mwanao wewe .. unaambiwa huyu mwalim alipata 16 kwenye paper ya interview na huyu mwingine alipata 80. Je ni yupi ungependa akufundishie mtoto ??

Ukinijib kitu naomba ongeza comment. Tunafanya usaili kwa madaktari, kwa wanamichezo, marubani, madereva na hata kwa wake tunao waoa. Sasa why mwalim asifanyiwe interview ??.

Heb sogea mbele nikuulize ndugu, unadhani mwalim alofeli paper anafaa kufundisha somo husika ?
Hata ukipita miaka mitano ama zaidi

Everyone is mad and the degree of madness will be measured when you are angry
 
Kwa uhalisia ili kuboresha Elimu inatakiwa Walimu waliokazini wapewe mitihani atayefeli awe amejifukuzisha kazi ili waajiriwe wapya
 
Usaili ni lazima hata kama mtahiniwa asipotaka.

Utumishi shikilieni hapo hapo, msiachie 🔥
 
Interview ni spinning tactics ya serikali kutoajiri!

Jamaa wamegundua hilo na wapo sahihi!!

Kazi yenyewe ya kufundisha haihitaji hayo yote!kama nilianza kifundisha baada ya kumaliza TU form four na vijana walifanya vizuri bas nimuamini B.H Pratap that teaching is an art not to be taught!
 
nimesoma shule ya kata aloinzindua hayati Benjamin W.Mkapa,

Nakumbuka nilijiunga shuleni hapo fomu one July 13, miaka hiyo, nikiwa nimebeba ndo ya lita10, kwanja, panga, na jembe kama ambavyo join instructions ilivyo sema,

kijana nikiwa na baiskeli yangu aina ya phonex kama usafiri wa kifahari sana wakati huo,

dah, umenikumbusha mbali sana gentleman 🐒
ivi shule za kata si zimeanza 2005 ivi
ulikuwa vzr una baiskeli kabisa
 
Back
Top Bottom