NETO punguzeni jazba: Tusiingize siasa kwenye elimu, tuache interview iamue nani aajiriwe

NETO punguzeni jazba: Tusiingize siasa kwenye elimu, tuache interview iamue nani aajiriwe

.Acheni tu usaili wa walimu ubakie hivyo wazee. Labda kama kuna marekebisho basi yafanywe ila inerview ibaki.


Wazee niwaambie asilimia 70 ya walim wa NETO. hawako compitent. Yaan. Swala la kusahau content lipo deep sana.

Na kwa uziada wapo walopita shule kijanja janja tu so hawako na uwezo totally.... *sio kua wamesahau ila hawana uwezo. ...

Heb imagine Mwalim wa English hajui hata kuna aina ngapi za maneno (word classes) ... Kuna aina ngap za prepositions au hata issue ya tenses hajui kabisa... Ukimuuliza articles na function ndo kabiiisa. Ukitaka akimbie muulize grammatical errors ni nini na zipoje.

Mwali wa kiswahili hata kuchambua senyensi hajui . Aina na makundi ya ngeli hajui. Ukitaka akimbie muulize tu ushahidi wa kiisim kua kiswahili ni kibantu na aseme hatua za usanifishaji lugha.

Mwalim wa hesab anachojua ni kuchapa tu. Ila namna ya ku impart knowledge kwa kmtoto hajui

From there watu wataamka na kuanza kujishughurisha. .. me nawahakikishia kua wabongo ni waviv sana. .. acha wenye chembechembe za uchapa kazi waajiriwe kupitia usaili...

Ukinijib anzia penye hoja ya kuhusu kutafuta mwalim kwajil ya mwanao wewe .. unaambiwa huyu mwalim alipata 16 kwenye paper ya interview na huyu mwingine alipata 80. Je ni yupi ungependa akufundishie mtoto ??

Ukinijib kitu naomba ongeza comment. Tunafanya usaili kwa madaktari, kwa wanamichezo, marubani, madereva na hata kwa wake tunao waoa. Sasa why mwalim asifanyiwe interview ??.

Heb sogea mbele nikuulize ndugu, unadhani mwalim alofeli paper anafaa kufundisha somo husika ?
NETO wana hoja nyingi nzuri kuliko namna unavyotala waonekane.

Nianze kwa ku declare interest. Mimi ni muumini wa Elimu bora hivyo naunga mkono interview kabla ya ajira yoyote including Ajira za ualimu.

Hata hivyo, mfumo wa usaili hauko fair. Na hilo ndilo NETO wanalolipigania.
Pili, NETO wanapigania usawa wa mishahara kwa walimu wanaofundisha kwenye shule za umma na wale wanaofundisha shule binafsi. Baada ya kuwa wahitimu wa fani za ualimu wamekua wengi, shule nyingi za binafsi, zilishusha mishahara. Kuna baadhi ya shule zimefika hatua ya kulipa mwalimu wa digrii mshahara wa laki moja. Huo ni unyanyasaji. Serikali inatakiwa iingilie kati. Kuna walimu ambao wanafanya kazi kwenye shule ambazo, wastani wa Mwalimu kwa wanafunzi ni Mwalimu mmoja kwa wanafunzi themanini. Halafu mwalimu huyo alipwe laki moja. Hio ni haki kweli?

Serikali inayojali raia wake haitakiwi kulifumbia macho hili.
Laiti wangesimamia vizuri, shule zikalipa mishahara kama ya shule za serikali, walimu jobless wangepungua mitaani na hizi kelele za sasa tusingeziona.

Kwenye hili, serikali waache kutumia polisi. Ni jambo la uelewa tuu ambalo linahitaji kauli moja tuu ya waziri na barua ya Katibu wa wizara kwenda kwenye shule binafsi na likaisha.
 
Mapungufu ya mfumo ni mengi sana ndugu . Nakubaliana sana na hoja zako.

Ila nikusahihishe kidogo ... Hakuna mwalim wa kiswahili alopewa mtihan wa kingereza, wala mwalim wa kingeteza alopewa mtihan wa kiswahili.

Nadhan hata NETO wangukua specific na matatizo yakimfumo kama ulivo wewe wangekua wamefanya la maana sana.

Tunatarajia watu wakosoe mfumo ili urekebishwe lakini interview haijawah kua dhambi kwenye taaluma zingine bas iwe vivyo hovyo kwenye ualim.
Ndugu usibishe hilo lilifanyika kabisa kama unaweza kumpata mtu aliyehitimu kozi ya ualimu wa elimu ya hawali na makuzi ya mtoto kati ya mwaka 2015-2018 muhulize chuoni alifundishwa kwa lugha gani au muombe ata vyeti vyake uvipitie Hawa walimu walisoma mtaala wa kiswahili lakini kwenye usaili wameletewa lugha ya English
 
.Acheni tu usaili wa walimu ubakie hivyo wazee. Labda kama kuna marekebisho basi yafanywe ila inerview ibaki.


Wazee niwaambie asilimia 70 ya walim wa NETO. hawako compitent. Yaan. Swala la kusahau content lipo deep sana.

Na kwa uziada wapo walopita shule kijanja janja tu so hawako na uwezo totally.... *sio kua wamesahau ila hawana uwezo. ...

Heb imagine Mwalim wa English hajui hata kuna aina ngapi za maneno (word classes) ... Kuna aina ngap za prepositions au hata issue ya tenses hajui kabisa... Ukimuuliza articles na function ndo kabiiisa. Ukitaka akimbie muulize grammatical errors ni nini na zipoje.

Mwali wa kiswahili hata kuchambua senyensi hajui . Aina na makundi ya ngeli hajui. Ukitaka akimbie muulize tu ushahidi wa kiisim kua kiswahili ni kibantu na aseme hatua za usanifishaji lugha.

Mwalim wa hesab anachojua ni kuchapa tu. Ila namna ya ku impart knowledge kwa kmtoto hajui

From there watu wataamka na kuanza kujishughurisha. .. me nawahakikishia kua wabongo ni waviv sana. .. acha wenye chembechembe za uchapa kazi waajiriwe kupitia usaili...

Ukinijib anzia penye hoja ya kuhusu kutafuta mwalim kwajil ya mwanao wewe .. unaambiwa huyu mwalim alipata 16 kwenye paper ya interview na huyu mwingine alipata 80. Je ni yupi ungependa akufundishie mtoto ??

Ukinijib kitu naomba ongeza comment. Tunafanya usaili kwa madaktari, kwa wanamichezo, marubani, madereva na hata kwa wake tunao waoa. Sasa why mwalim asifanyiwe interview ??.

Heb sogea mbele nikuulize ndugu, unadhani mwalim alofeli paper anafaa kufundisha somo husika ?
Kuna watu wanalipwa kwa kupinga ukweli, uhalisia. Pia wapo wanaolipwa kwa kusisitiza ushezi na upumbavu. Upumbavu, ushezi na ujinga kwa nchi za Afrika hutetewa kwa gharama kubwa. Obviously vitu vya maana havitetewi kwa gharama ya upumbavu na ushezi, na ndivyo vyenye mashiko, kuvipinga ni sawa na kupambana na mwanga kwa kutumia giza.
 
Mleta mada nakupa 5 walimu wasailiwe wakishindwa usaili watafutiwe nyavu wakavue.fikiria umesoma fani yoyote unapewa usaili unapata 0 sasa nani atakusaidia??vyuoni hawafundishi kila kitu inatakiwa kijana mwenyewe ajiongeze kupata maarifa.pia namshsuri waziri walimu wa vyuo wafundishe tu mitihani itungwe na necta au chombo kingine.
Wewe na mleta mada wote ni deluded. Anayeharibu sekta ya Elimu licha ya Jitihada za serikali ni waziri wa elimu. Mbona mfumo wa zamani wa Tamisemi haukuwahi kuleta malalamiko kiasi hiki?
 
walimu wasio na sifa hawastahili kupewa fursa ya kufundisha watoto wetu,

wanyinwe nafasi hizo wasije haribu kiwango bora cha elimu yetu 🐒
Sifa gani utazipata kwa interview ya maswali ya kuandika? Kama ni kujibu mitihani walishajibu kwa wataalamu kuliko hata wizara, huko vyuoni!
Hopeless Minister, Hopeless ministry!
 
Ila hoja yao ya kufutwa kwa usaili kisa wanakaa muda mrefu bila usaili ni ya kipuuzi na ya kupuuzwa kabisa.
Wahasibu, wanasheria, wahandisi, madaktari wote hao hupitia usaili.

Kampuni gani itakuajiri bila kukupima, hata ukae miaka 10 lazima upimwe je unakumbuka ulichofundishwa?? Sasa hukumbuki utaenda kufundisha nini?

Hesabu ni formula, wewe ushasahau zote, wewe ticha wa kemia upewe maabara na huna chemical formula unayokumbuka mwisho uishie kuichoma moto maabara yenyewe.
Lakini pia jambo linalotia kinyaa ni uwepo wa michezo michafu ya rushwa ktk hizi idara zinazosimamia usaili kwa mfano mtu unapomuhoji kwenye oral interview Kwanini matokeo yake yasiwekwe kwenye account yake ajue kapata ngapi ?
Unashangaa tu mtu kaitwa kazini lkn ufaulu wake wa oral interview haujulkani maana yake ni kuwa ata ukifanya interview zote Bado anayeamua nani wa kuingia kazini ni mtu na si alama zake za ufaulu
 
Mleta mada nakupa 5 walimu wasailiwe wakishindwa usaili watafutiwe nyavu wakavue.fikiria umesoma fani yoyote unapewa usaili unapata 0 sasa nani atakusaidia??vyuoni hawafundishi kila kitu inatakiwa kijana mwenyewe ajiongeze kupata maarifa.pia namshsuri waziri walimu wa vyuo wafundishe tu mitihani itungwe na necta au chombo kingine.
Nawe utakuwa hopeless kama waziri.
Vyuo vyote vinatoa elimu ya ualimu kwa usimamizi wa wizara, na kukaguliwa na wizara. Baadaye waziri anajidai hatambui ubora wa wahitimu.

Tumedekeza kila waziri kuja na upuuzi wake na kufanya ndo mahitaji ya taifa. KIla waziri anakuja na ujinga wake!
 
Ila hoja yao ya kufutwa kwa usaili kisa wanakaa muda mrefu bila usaili ni ya kipuuzi na ya kupuuzwa kabisa.
Wahasibu, wanasheria, wahandisi, madaktari wote hao hupitia usaili.

Kampuni gani itakuajiri bila kukupima, hata ukae miaka 10 lazima upimwe je unakumbuka ulichofundishwa?? Sasa hukumbuki utaenda kufundisha nini?

Hesabu ni formula, wewe ushasahau zote, wewe ticha wa kemia upewe maabara na huna chemical formula unayokumbuka mwisho uishie kuichoma moto maabara yenyewe.
Dah. Tunahitaji san watu wenye weredi wa kufikiri wa namna yako. Aise
 
Ila hoja yao ya kufutwa kwa usaili kisa wanakaa muda mrefu bila usaili ni ya kipuuzi na ya kupuuzwa kabisa.
Wahasibu, wanasheria, wahandisi, madaktari wote hao hupitia usaili.

Kampuni gani itakuajiri bila kukupima, hata ukae miaka 10 lazima upimwe je unakumbuka ulichofundishwa?? Sasa hukumbuki utaenda kufundisha nini?

Hesabu ni formula, wewe ushasahau zote, wewe ticha wa kemia upewe maabara na huna chemical formula unayokumbuka mwisho uishie kuichoma moto maabara yenyewe.
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo! Ingawa naona kuna watu wanashangilia. Yaani huoni tofauti ya waalimu na hao wahasibu?

Waalimu wanasoma vyuo vya wizara ya elimu. Hata walio vyuo binafsi, mitaala yao na ubora wake inasimamiwa na wizara ya Elimu Wanaajiliwa na wizara ya Elimu. Huoni Tofauti? Madaktari gani wanaoajiliwa kwa usaili nchi hii? Hao wahasibu wanaajiliwa na wizara ya Uhasibu? Ipo? Mitaala yao inasimamiwa na wizara ya Uhasibu? Ipo?

Nakupa mifano hiyo ili angalau uwe na akili. Kwamba Wizara ya elimu inafanya ujinga na waziri wao. Yaanio imesimamia ubora wa wahitimu na kuridhika nao, na kutoa vyeti. Baadaye wakitoa ajira, waziri anasema kama mlevi eti ubora wao sijui nyoko gani vile!
 
Zamani mfumo wa uajiri walimu walikuwa wanachukuliwa moja kwa moja na kila kitu kilikuwa kiko sawa, ni kuwashauri viongozi walete mfumo huo .
Hoja yako ni dhaifu sana. Hiyo zamani waalimu walikuwa wachache sasa hivi ni wengi kuliko mahitaji. Hata kada zingine walikuwa wanachukuliwa tu bila kuwa na mambo mengi. Na kadiri miaka inavyosonga uhitaji utazidi kuwa mdogo. Kama nchi tufikirie jinsi gani ya kupunguza ukubwa wa tatizo kupitia ujasiriamali na uwezeshaji wa sekta binafsi.
 
Hoja yako ni dhaifu sana. Hiyo zamani waalimu walikuwa wachache sasa hivi ni wengi kuliko mahitaji. Hata kada zingine walikuwa wanachukuliwa tu bila kuwa na mambo mengi. Na kadiri miaka inavyosonga uhitaji utazidi kuwa mdogo. Kama nchi tufikirie jinsi gani ya kupunguza ukubwa wa tatizo kupitia ujasiriamali na uwezeshaji wa sekta binafsi.
Ukiwa mwongo usiwe msahaulifu, katika hotuba na mihadhara ya kielimu mmesema upungufu wa waalimu Tanzania kwa uwiano na wanafunzi unaopendekezwa na walioleta huu hii formal education ni tuna upungufu wa 276,000 na Mtaani wako nusu ya hiyo pengo kufikia uwiano.. unawezaje kusema wako wengi kuzidi?

Hiyo zamani unayodai kilikuwa na shule chache sana na wengi tuliosoma privates ingawa tulifaulu sio kwamba tulikuwa na hela ni uchache wa mashule sasa yameongezwa Katibu Kila Kijiji na bado yanajengwa Kisha mnasema nafasi chache waalimu wengi!!!!!! 🙄🙄🙄
 
Haki yao kulalamika
Binafsi sikubaliani mwl aliyehitimu na vyeti vya kuthibitisha hilo anavyo,hapo ni kumpa kazi tu, unamsaili mtu kama unataka kumpa kazi ambayo hajaisomea.
Kinachotakiwa ni kupimwa afya tu, kwa sababu inawezekana wakiwa huko nje wamepata magonjwa.
 
Kumpima afya kunahusianaje na ualimu wake. Halafu huko nje wapi wakati wengine wana magonjwa ya kuzaliwa nayo au kurithi
Binafsi sikubaliani mwl aliyehitimu na vyeti vya kuthibitisha hilo anavyo,hapo ni kumpa kazi tu, unamsaili mtu kama unataka kumpa kazi ambayo hajaisomea.
Kinachotakiwa ni kupimwa afya tu, kwa sababu inawezekana wakiwa huko nje wamepata magonjwa.
 
Hoja yako ni dhaifu sana. Hiyo zamani waalimu walikuwa wachache sasa hivi ni wengi kuliko mahitaji. Hata kada zingine walikuwa wanachukuliwa tu bila kuwa na mambo mengi. Na kadiri miaka inavyosonga uhitaji utazidi kuwa mdogo. Kama nchi tufikirie jinsi gani ya kupunguza ukubwa wa tatizo kupitia ujasiriamali na uwezeshaji wa sekta binafsi.
Una uhakika walikuwa wachache!?? Bro kipindi hicho tunasoma watu wengi walikuwa wanachagua kusoma ualimu kwa sababu mkopo walikuwa wanatoa 100% .

Hoja yako ni dhaifu..mimi ni mwana CCM damu na kadi ninayo na nalipia ila katika ili tusaidie vijana wapate ajira.

"Acha kuendekeza uchawa ,saidia vijana wapate ajira"
 
Una uhakika walikuwa wachache!?? Bro kipindi hicho tunasoma watu wengi walikuwa wanachagua kusoma ualimu kwa sababu mkopo walikuwa wanatoa 100% .

Hoja yako ni dhaifu..mimi ni mwana CCM damu na kadi ninayo na nalipia ila katika ili tusaidie vijana wapate ajira.

"Acha kuendekeza uchawa ,saidia vijana wapate ajira"
Wewe umeshaamua kutoelewa kwa hiyo hata nikikuelewesha hutaelewa.
 
NETO wengi ni vijana waliofeli, au kuana na ufaulu wa chini sana,
hawana sifa na kwakweli hawaajiriki.

NETO ni hatari kwa ustawi wa taaluma mashuleni 🐒
Yaani wewe ni mjuaji wa kila kitu!! Nikizaa toto lenye kiherehere kama wewe NALICHINJA
 
.Acheni tu usaili wa walimu ubakie hivyo wazee. Labda kama kuna marekebisho basi yafanywe ila inerview ibaki.


Wazee niwaambie asilimia 70 ya walim wa NETO. hawako compitent. Yaan. Swala la kusahau content lipo deep sana.

Na kwa uziada wapo walopita shule kijanja janja tu so hawako na uwezo totally.... *sio kua wamesahau ila hawana uwezo. ...

Heb imagine Mwalim wa English hajui hata kuna aina ngapi za maneno (word classes) ... Kuna aina ngap za prepositions au hata issue ya tenses hajui kabisa... Ukimuuliza articles na function ndo kabiiisa. Ukitaka akimbie muulize grammatical errors ni nini na zipoje.

Mwali wa kiswahili hata kuchambua senyensi hajui . Aina na makundi ya ngeli hajui. Ukitaka akimbie muulize tu ushahidi wa kiisim kua kiswahili ni kibantu na aseme hatua za usanifishaji lugha.

Mwalim wa hesab anachojua ni kuchapa tu. Ila namna ya ku impart knowledge kwa kmtoto hajui

From there watu wataamka na kuanza kujishughurisha. .. me nawahakikishia kua wabongo ni waviv sana. .. acha wenye chembechembe za uchapa kazi waajiriwe kupitia usaili...

Ukinijib anzia penye hoja ya kuhusu kutafuta mwalim kwajil ya mwanao wewe .. unaambiwa huyu mwalim alipata 16 kwenye paper ya interview na huyu mwingine alipata 80. Je ni yupi ungependa akufundishie mtoto ??

Ukinijib kitu naomba ongeza comment. Tunafanya usaili kwa madaktari, kwa wanamichezo, marubani, madereva na hata kwa wake tunao waoa. Sasa why mwalim asifanyiwe interview ??.

Heb sogea mbele nikuulize ndugu, unadhani mwalim alofeli paper anafaa kufundisha somo husika ?
Waliofaulu INTERVIEW walipata low macks kwenye mtihani wa NECTA. Wasiwasi wetu upo hapo
 
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo! Ingawa naona kuna watu wanashangilia. Yaani huoni tofauti ya waalimu na hao wahasibu?

Waalimu wanasoma vyuo vya wizara ya elimu. Hata walio vyuo binafsi, mitaala yao na ubora wake inasimamiwa na wizara ya Elimu Wanaajiliwa na wizara ya Elimu. Huoni Tofauti? Madaktari gani wanaoajiliwa kwa usaili nchi hii? Hao wahasibu wanaajiliwa na wizara ya Uhasibu? Ipo? Mitaala yao inasimamiwa na wizara ya Uhasibu? Ipo?

Nakupa mifano hiyo ili angalau uwe na akili. Kwamba Wizara ya elimu inafanya ujinga na waziri wao. Yaanio imesimamia ubora wa wahitimu na kuridhika nao, na kutoa vyeti. Baadaye wakitoa ajira, waziri anasema kama mlevi eti ubora wao sijui nyoko gani vile!
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo! Ingawa naona kuna watu wanashangilia. Yaani huoni tofauti ya waalimu na hao wahasibu?

Waalimu wanasoma vyuo vya wizara ya elimu. Hata walio vyuo binafsi, mitaala yao na ubora wake inasimamiwa na wizara ya Elimu Wanaajiliwa na wizara ya Elimu. Huoni Tofauti? Madaktari gani wanaoajiliwa kwa usaili nchi hii? Hao wahasibu wanaajiliwa na wizara ya Uhasibu? Ipo? Mitaala yao inasimamiwa na wizara ya Uhasibu? Ipo?

Nakupa mifano hiyo ili angalau uwe na akili. Kwamba Wizara ya elimu inafanya ujinga na waziri wao. Yaanio imesimamia ubora wa wahitimu na kuridhika nao, na kutoa vyeti. Baadaye wakitoa ajira, waziri anasema kama mlevi eti ubora wao sijui nyoko gani vile!
Inaonekana unaishi nyuma ya kuda, au hufuatilii vitu, katika hoja ulizotoa zinaonekana hufaham mambo mengi yanaoendelea kwa sasa.
1. Madakatari ndio wanaajiliwa kwa kufanya usaili. Kuanzia mwaka jana.
2. Vyuo vingi wanavyosoma wahasibu na madaktari ndio hivyo hivyo husoma walimu. Mfano UDOM na UDSM,
3. Sio kila anahitimu anakua amaiva vizuri.

Unaeza kukosoa lkn huwezi kusema usaili uondolewe. Kwanza unagopa nini kusailiwa na ulipita vzr kwa viwango vizuri. Hata private sector wanakuafanyia usaili, kwann wasitumie vyeti vyako tu kukuajiri.

Naamin mchakato huu ni negative lakn ni wakati watu kukubali kuwa kwa sasa ajira na maisha yamekua ya ushindani.
 
Back
Top Bottom