Netumbo Nandi-Ndaitwah aweka Historia, awa Rais wa kwanza mwanamke wa Namibia

Netumbo Nandi-Ndaitwah aweka Historia, awa Rais wa kwanza mwanamke wa Namibia

Wanabodi

TAAMULI HURU: Wamarekani hawajawa tayari kuongozwa na Rais mwanamke Wamarekani, japo ndio the oldest democracy,lakini sio kila kitu!,bado wanakabiliwa na mfumo dume,hawajawa tayari kumchagua rais mwanamke,Sisi Afrika tumewatangulia,jana Namibia wamefanya kweli,wamechagua rais mwanamke,swali ni je na sisi Tanzania, 2025, tunakwenda kuwaonyesha?.

Paskali
ni bayana waTanzania wote wameshaamua kwenda na kipenzi chao, chenye dhamira njema na nia madhubuti ya wazi kabisa, ya kuliunganisha Taifa na kuifungua nchi miongoni mwa mataifa ya ulimwengu.

ana aminika na ndie pekee anaekobalika zaidi kitaifa na kimataifa.

ni Dr Samia Suluhu Hassan, mwenyekiti wa CCM Taifa, na Rais wa JMT.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Wanabodi

TAAMULI HURU: Wamarekani hawajawa tayari kuongozwa na Rais mwanamke Wamarekani, japo ndio the oldest democracy,lakini sio kila kitu!,bado wanakabiliwa na mfumo dume,hawajawa tayari kumchagua rais mwanamke,Sisi Afrika tumewatangulia,jana Namibia wamefanya kweli,wamechagua rais mwanamke,swali ni je na sisi Tanzania, 2025, tunakwenda kuwaonyesha?.

Paskali
Hatupigi kura kuchagua jinsia, tunapiga kura kuchagua mtu mwenye uwezo. Haijalishi ni mwanamke au mwanaume, uwezo ndilo jambo la msingi. Haya mambo ya mpigie kura kisa mwanaume, mpigie kura kisa mwanamke, mpe uongozi kisa mwanaume, mpe uongozi kisa mwanamke ndiyo maana tuna viongozi wengine unajiuliza hata huo uongozi wameupata vipi unashangaa.
 
Wanabodi

TAAMULI HURU: Wamarekani hawajawa tayari kuongozwa na Rais mwanamke Wamarekani, japo ndio the oldest democracy,lakini sio kila kitu!,bado wanakabiliwa na mfumo dume,hawajawa tayari kumchagua rais mwanamke,Sisi Afrika tumewatangulia,jana Namibia wamefanya kweli,wamechagua rais mwanamke,swali ni je na sisi Tanzania, 2025, tunakwenda kuwaonyesha?.

Paskali
Kuna mgombea yeyote wa urais aliye mwanamke hapa kwetu ambaye ameshapitishwa na chama chake kugombea labda?
 
ni bayana waTanzania wote wameshaamua kwenda na kipenzi chao, chenye dhamira njema na nia madhubuti ya wazi kabisa, ya kuliunganisha Taifa na kuifungua nchi miongoni mwa mataifa ya ulimwengu.

ana aminika na ndie pekee anaekobalika zaidi kitaifa na kimataifa.

ni Dr Samia Suluhu Hassan, mwenyekiti wa CCM Taifa, na Rais wa JMT.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Je kuna tofauti yoyote kati ya wewe na Lucas Mwashambwa ukitoa majina
 
Je kuna tofauti yoyote kati ya wewe na Lucas Mwashambwa ukitoa majina
ile ya maana zaidi ni kwamba,
kama Taifa tunasonga pamoja, huku tukiongozwa na kipenzi cha waTanzania wote Dr Samia Suluhu Hassan,

hayo ya kibinafsi,
yatafutiwe ufumbuzi wa kibinafsi na itapendeza zaidi 🐒
 
Back
Top Bottom