Kipenzi cha Watanzania wote huo utafiti umeufanyia wapi? Au ndiyo yale yale ya kumuita Jiwe shujaa wenu kama afanyavyo johnthebaptist, uchawa uwe na mipakaile ya maana zaidi ni kwamba,
kama Taifa tunasonga pamoja, huku tukiongozwa na kipenzi cha waTanzania wote Dr Samia Suluhu Hassan,
hayo ya kibinafsi,
yatafutiwe ufumbuzi wa kibinafsi na itapendeza zaidi š