A Allency JF-Expert Member Joined Jan 27, 2011 Posts 14,830 Reaction score 14,472 Dec 4, 2024 #41 Tlaatlaah said: ile ya maana zaidi ni kwamba, kama Taifa tunasonga pamoja, huku tukiongozwa na kipenzi cha waTanzania wote Dr Samia Suluhu Hassan, hayo ya kibinafsi, yatafutiwe ufumbuzi wa kibinafsi na itapendeza zaidi 🐒 Click to expand... Kipenzi cha Watanzania wote huo utafiti umeufanyia wapi? Au ndiyo yale yale ya kumuita Jiwe shujaa wenu kama afanyavyo johnthebaptist, uchawa uwe na mipaka
Tlaatlaah said: ile ya maana zaidi ni kwamba, kama Taifa tunasonga pamoja, huku tukiongozwa na kipenzi cha waTanzania wote Dr Samia Suluhu Hassan, hayo ya kibinafsi, yatafutiwe ufumbuzi wa kibinafsi na itapendeza zaidi 🐒 Click to expand... Kipenzi cha Watanzania wote huo utafiti umeufanyia wapi? Au ndiyo yale yale ya kumuita Jiwe shujaa wenu kama afanyavyo johnthebaptist, uchawa uwe na mipaka