Never give up, Haikainde Hichilema amegombea Urais mara 5 na kushindwa. Sasa ni mara ya 6

Never give up, Haikainde Hichilema amegombea Urais mara 5 na kushindwa. Sasa ni mara ya 6

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
._@hhichilema_amegombea_urais_wa_Zambia_mara_6_(mara_5_zote_akipoteza)._2017_Rais_Edgar_Lungu_...jpg


Mgombea Urais anayeongoza nchini Zambia wa Chama cha UPNDP Hichilema, alishashindwa uchaguzi wa Urais mara 5 nchini humo lakini hakukata tamaa, hii anayoongoza sasa ni mara ya 6.

Ni Mwanasiasa aliyeongoza kwa kunyanyaswa na Mamlaka wakisaidiwa na Polisi wa nchini Zambia, Taarifa zinaonyesha kwamba Mwaka 2017 Rais wa Zambia Edgar Lungu alituma vikosi vya Usalama nyumbani kwake kumkamata na kisha kumbambika kesi ya Ugaidi kama zilivyo tawala nyingi za kiafrika. Alikaa gerezani kwa siku 118 hadi pale Wazungu walipoingilia kati, baadaye akafutiwa mashtaka .

Mpaka muda huu anaongoza kwa mbali sana kwenye mbio za Urais wa nchi hiyo , na huenda akatangazwa Rais Mpya wa Zambia muda wowote kuanzia sasa

USITHUBUTU KUJIMWAMBAFAI , MADARAKA NI DHAMANA YA MUDA MFUPI TU, TUTENDE HAKI JAMANI

UPDATES
=========

Matokeo_ya_Uchaguzi_wa_Urais_Zambia_Chama_Tawala_kimepigwa_kipigo_cha_mbwa_koko.jpg
 
Hili somo zuri Sana kwa ccm Yani hichelema anatakiwa nayeye amkamate edga Lungu Kama gaidi wanasiasa waafrika bila sera ya jino kwa jino hawaheshimu wananchi.
Hichilema ni Mcha Mungu mno , sidhani kama ana roho ya visasi
 
Back
Top Bottom