johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hilo haliwezi kutokea Tanzania!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Prof Lipumba!Mada kama hizi wana ccm tukisoma tunashtuka sanaa kwenye moyo..
Huyu mtandika vitanda ni msumbufuHilo haliwezi kutokea Tanzania!
kila siku siyo jumapili , hata sabaya alipotumwa na Magufuli kuiba , kupora na kubaka hakudhani kama Magufuli angekufa haraka namna ileHilo haliwezi kutokea Tanzania!
Kwa upinzani gani?kila siku siyo jumapili
wizi na ulevi wa madarakaWaafrica wanapenda madaraka ya urais kinoma... Jins jukumu la urahis lilivyogumu mtu analing'ang'aniaje
Noma sana !All the Best HH.
Sabaya anatoka lini Lupango?Binadamu ni chawa? Vipi leo hapo Desderia biashara ikoje?
Hapana wa CCM kusaidiwa na POLICECCMKwa upinzani gani?
Huu huu wa akina Patrobas Katambi?!
Nashangaa !!Rungu kashindwa kuomba usaidizi ccm kweli
Mkuu mpotezee huyo jamaa ndo mwenye ID ya johnthebaptistTena wewe chawa ndio nakuhurumia sana
Nakushukuru kwa kunistuaMkuu mpotezee huyo jamaa ndo mwenye ID ya johnthebaptist
H. Aikande Hichi Lema.Ccm wajifunze
Samia mbonà ana ushungi kichwani 24/7 ukiwa Alana ya kutii maagizo ya dini na ucha Munhu, lakini Ni katili kuliko TalebanHichilema ni Mcha Mungu mno , sidhani kama ana roho ya visasi