Never give up, Haikainde Hichilema amegombea Urais mara 5 na kushindwa. Sasa ni mara ya 6

Never give up, Haikainde Hichilema amegombea Urais mara 5 na kushindwa. Sasa ni mara ya 6

Wanasiasa wote wako kimaslai, hakuna atachokifanya aliyeingia Zambia na hakuna watakachokifanya wapinzani wakishika madaraka ya hii nchi.
 
Uzi wa kutoka Lusaka lakini anashambuliwa mletaji ambaye hata hauwezi kumfikia hata nusu ya alichobarikiwa na Mungu , wewe endelea kulipwa hizo elfu 7 ujikimu
Kabarikiwa nini??

Tako kubwa au
 
Matokeo_ya_Uchaguzi_wa_Urais_Zambia_Chama_Tawala_kimepigwa_kipigo_cha_mbwa_koko.jpg
 
View attachment 1892496

Mgombea Urais anayeongoza nchini Zambia wa Chama cha UPNDP Hichilema, alishashindwa uchaguzi wa Urais mara 5 nchini humo lakini hakukata tamaa, hii anayoongoza sasa ni mara ya 6.

Ni Mwanasiasa aliyeongoza kwa kunyanyaswa na Mamlaka wakisaidiwa na Polisi wa nchini Zambia, Taarifa zinaonyesha kwamba Mwaka 2017 Rais wa Zambia Edgar Lungu alituma vikosi vya Usalama nyumbani kwake kumkamata na kisha kumbambika kesi ya Ugaidi kama zilivyo tawala nyingi za kiafrika. Alikaa gerezani kwa siku 118 hadi pale Wazungu walipoingilia kati, baadaye akafutiwa mashtaka .

Mpaka muda huu anaongoza kwa mbali sana kwenye mbio za Urais wa nchi hiyo , na huenda akatangazwa Rais Mpya wa Zambia muda wowote kuanzia sasa

MADARAKA NI DHAMANA YA MUDA MFUPI TU, TUTENDE HAKI JAMANI
Ila huyu hakuwa gaidi Kama mbowe huyu alihubiri amani tu
 
View attachment 1892496

Mgombea Urais anayeongoza nchini Zambia wa Chama cha UPNDP Hichilema, alishashindwa uchaguzi wa Urais mara 5 nchini humo lakini hakukata tamaa, hii anayoongoza sasa ni mara ya 6.

Ni Mwanasiasa aliyeongoza kwa kunyanyaswa na Mamlaka wakisaidiwa na Polisi wa nchini Zambia, Taarifa zinaonyesha kwamba Mwaka 2017 Rais wa Zambia Edgar Lungu alituma vikosi vya Usalama nyumbani kwake kumkamata na kisha kumbambika kesi ya Ugaidi kama zilivyo tawala nyingi za kiafrika. Alikaa gerezani kwa siku 118 hadi pale Wazungu walipoingilia kati, baadaye akafutiwa mashtaka .

Mpaka muda huu anaongoza kwa mbali sana kwenye mbio za Urais wa nchi hiyo , na huenda akatangazwa Rais Mpya wa Zambia muda wowote kuanzia sasa

MADARAKA NI DHAMANA YA MUDA MFUPI TU, TUTENDE HAKI JAMANI
Haitawahi itokee kwa Chadema. Kwa hii hulka ya ugaidi ya viongozi wao na kuwa vibaraka wa mabeberu hakuna siku watapewa nchi.. Sahau singlemother. Hayo yote ya Chadema hayakuwa huko Zambia.
 
Haitawahi itokee kwa Chadema. Kwa hii hulka ya ugaidi ya viongozi wao na kuwa vibaraka wa mabeberu hakuna siku watapewa nchi.. Sahau singlemother. Hayo yote ya Chadema hayakuwa huko Zambia.
Wala sikukatalii , bali nashangaa unalia nini sasa ?
 
Back
Top Bottom