Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Dovutwanitajie mmoja kutoka upinzania ukiondoa Prop Lipumba na Mzee Rungwe aliyegombea hata mara mbili...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dovutwanitajie mmoja kutoka upinzania ukiondoa Prop Lipumba na Mzee Rungwe aliyegombea hata mara mbili...
vazi laweza kuwa fasheni vile vileSamia mbonà ana ushungi kichwani 24/7 ukiwa Alana ya kutii maagizo ya dini na ucha Munhu, lakini Ni katili kuliko Taleban
kweli kabisavazi laweza kuwa fasheni vile vile
Hakikavazi laweza kuwa fasheni vile vile
sasa mbona unalia ?Wanasiasa wote wako kimaslai, hakuna atachokifanya aliyeingia Zambia na hakuna watakachokifanya wapinzani wakishika madaraka ya hii nchi.
Mkuu mi na we mtoa mada nani anayelia hapa au anayelia lia kila siku huku..?sasa mbona unalia ?
Kabarikiwa nini??Uzi wa kutoka Lusaka lakini anashambuliwa mletaji ambaye hata hauwezi kumfikia hata nusu ya alichobarikiwa na Mungu , wewe endelea kulipwa hizo elfu 7 ujikimu
Ila huyu hakuwa gaidi Kama mbowe huyu alihubiri amani tuView attachment 1892496
Mgombea Urais anayeongoza nchini Zambia wa Chama cha UPNDP Hichilema, alishashindwa uchaguzi wa Urais mara 5 nchini humo lakini hakukata tamaa, hii anayoongoza sasa ni mara ya 6.
Ni Mwanasiasa aliyeongoza kwa kunyanyaswa na Mamlaka wakisaidiwa na Polisi wa nchini Zambia, Taarifa zinaonyesha kwamba Mwaka 2017 Rais wa Zambia Edgar Lungu alituma vikosi vya Usalama nyumbani kwake kumkamata na kisha kumbambika kesi ya Ugaidi kama zilivyo tawala nyingi za kiafrika. Alikaa gerezani kwa siku 118 hadi pale Wazungu walipoingilia kati, baadaye akafutiwa mashtaka .
Mpaka muda huu anaongoza kwa mbali sana kwenye mbio za Urais wa nchi hiyo , na huenda akatangazwa Rais Mpya wa Zambia muda wowote kuanzia sasa
MADARAKA NI DHAMANA YA MUDA MFUPI TU, TUTENDE HAKI JAMANI
Hayo ndiyo mawazo ya masikini wengi wa Buza kwa mpalangeKabarikiwa nini??
Tako kubwa au
Nawewe unapajua kwa mparange na tabia zake!!!Hayo ndiyo mawazo ya masikini wengi wa Buza kwa mpalange
2017 Alikamatwa kwa amri ya Rais kwa tuhuma za Ugaidi na Uhaini , akakaa jela kwa siku 118Ila huyu hakuwa gaidi Kama mbowe huyu alihubiri amani tu
Haitawahi itokee kwa Chadema. Kwa hii hulka ya ugaidi ya viongozi wao na kuwa vibaraka wa mabeberu hakuna siku watapewa nchi.. Sahau singlemother. Hayo yote ya Chadema hayakuwa huko Zambia.View attachment 1892496
Mgombea Urais anayeongoza nchini Zambia wa Chama cha UPNDP Hichilema, alishashindwa uchaguzi wa Urais mara 5 nchini humo lakini hakukata tamaa, hii anayoongoza sasa ni mara ya 6.
Ni Mwanasiasa aliyeongoza kwa kunyanyaswa na Mamlaka wakisaidiwa na Polisi wa nchini Zambia, Taarifa zinaonyesha kwamba Mwaka 2017 Rais wa Zambia Edgar Lungu alituma vikosi vya Usalama nyumbani kwake kumkamata na kisha kumbambika kesi ya Ugaidi kama zilivyo tawala nyingi za kiafrika. Alikaa gerezani kwa siku 118 hadi pale Wazungu walipoingilia kati, baadaye akafutiwa mashtaka .
Mpaka muda huu anaongoza kwa mbali sana kwenye mbio za Urais wa nchi hiyo , na huenda akatangazwa Rais Mpya wa Zambia muda wowote kuanzia sasa
MADARAKA NI DHAMANA YA MUDA MFUPI TU, TUTENDE HAKI JAMANI
Wala sikukatalii , bali nashangaa unalia nini sasa ?Haitawahi itokee kwa Chadema. Kwa hii hulka ya ugaidi ya viongozi wao na kuwa vibaraka wa mabeberu hakuna siku watapewa nchi.. Sahau singlemother. Hayo yote ya Chadema hayakuwa huko Zambia.
Karibu sana MwamasikaNEVA GIVAPU
LyatongaDovutwa