Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #61
Majimbo 128 yamehesabiwa kati ya 156 bado Hichilema anaongoza kwa karibu kura mil 1
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Congrats brother Hakainde and Lungu kwa kupiga na kupigwa rungu. Zambians have spoken guysView attachment 1892496
Mgombea Urais anayeongoza nchini Zambia wa Chama cha UPNDP Hichilema, alishashindwa uchaguzi wa Urais mara 5 nchini humo lakini hakukata tamaa, hii anayoongoza sasa ni mara ya 6.
Ni Mwanasiasa aliyeongoza kwa kunyanyaswa na Mamlaka wakisaidiwa na Polisi wa nchini Zambia, Taarifa zinaonyesha kwamba Mwaka 2017 Rais wa Zambia Edgar Lungu alituma vikosi vya Usalama nyumbani kwake kumkamata na kisha kumbambika kesi ya Ugaidi kama zilivyo tawala nyingi za kiafrika. Alikaa gerezani kwa siku 118 hadi pale Wazungu walipoingilia kati, baadaye akafutiwa mashtaka .
Mpaka muda huu anaongoza kwa mbali sana kwenye mbio za Urais wa nchi hiyo , na huenda akatangazwa Rais Mpya wa Zambia muda wowote kuanzia sasa
USITHUBUTU KUJIMWAMBAFAI , MADARAKA NI DHAMANA YA MUDA MFUPI TU, TUTENDE HAKI JAMANI
UPDATES
=========
View attachment 1893046
Kwani Magufuli hakuwa mcha 'mungu'?Hichilema ni Mcha Mungu mno , sidhani kama ana roho ya visasi
hakukimbia nchiView attachment 1892496
Mgombea Urais anayeongoza nchini Zambia wa Chama cha UPNDP Hichilema, alishashindwa uchaguzi wa Urais mara 5 nchini humo lakini hakukata tamaa, hii anayoongoza sasa ni mara ya 6.
Ni Mwanasiasa aliyeongoza kwa kunyanyaswa na Mamlaka wakisaidiwa na Polisi wa nchini Zambia, Taarifa zinaonyesha kwamba Mwaka 2017 Rais wa Zambia Edgar Lungu alituma vikosi vya Usalama nyumbani kwake kumkamata na kisha kumbambika kesi ya Ugaidi kama zilivyo tawala nyingi za kiafrika. Alikaa gerezani kwa siku 118 hadi pale Wazungu walipoingilia kati, baadaye akafutiwa mashtaka .
Mpaka muda huu anaongoza kwa mbali sana kwenye mbio za Urais wa nchi hiyo , na huenda akatangazwa Rais Mpya wa Zambia muda wowote kuanzia sasa
USITHUBUTU KUJIMWAMBAFAI , MADARAKA NI DHAMANA YA MUDA MFUPI TU, TUTENDE HAKI JAMANI
UPDATES
=========
View attachment 1893046
View attachment 1892496
Mgombea Urais anayeongoza nchini Zambia wa Chama cha UPNDP Hichilema, alishashindwa uchaguzi wa Urais mara 5 nchini humo lakini hakukata tamaa, hii anayoongoza sasa ni mara ya 6.
Ni Mwanasiasa aliyeongoza kwa kunyanyaswa na Mamlaka wakisaidiwa na Polisi wa nchini Zambia, Taarifa zinaonyesha kwamba Mwaka 2017 Rais wa Zambia Edgar Lungu alituma vikosi vya Usalama nyumbani kwake kumkamata na kisha kumbambika kesi ya Ugaidi kama zilivyo tawala nyingi za kiafrika. Alikaa gerezani kwa siku 118 hadi pale Wazungu walipoingilia kati, baadaye akafutiwa mashtaka .
Mpaka muda huu anaongoza kwa mbali sana kwenye mbio za Urais wa nchi hiyo , na huenda akatangazwa Rais Mpya wa Zambia muda wowote kuanzia sasa
USITHUBUTU KUJIMWAMBAFAI , MADARAKA NI DHAMANA YA MUDA MFUPI TU, TUTENDE HAKI JAMANI
UPDATES
=========
View attachment 1893046
Kwasababu Tanzania iliumbwa na CCM na sio Mungu?Hilo haliwezi kutokea Tanzania!
Yaleyale ya Mbowe, Mandela, Kenyatta Sr, Nkurumah nk2017 Alikamatwa kwa amri ya Rais kwa tuhuma za Ugaidi na Uhaini , akakaa jela kwa siku 118
Atagombea mbowe au tundu?Kitakachotokea 2025
Kule tume ipo huru, huku sahauView attachment 1892496
Mgombea Urais anayeongoza nchini Zambia wa Chama cha UPNDP Hichilema, alishashindwa uchaguzi wa Urais mara 5 nchini humo lakini hakukata tamaa, hii anayoongoza sasa ni mara ya 6.
Ni Mwanasiasa aliyeongoza kwa kunyanyaswa na Mamlaka wakisaidiwa na Polisi wa nchini Zambia, Taarifa zinaonyesha kwamba Mwaka 2017 Rais wa Zambia Edgar Lungu alituma vikosi vya Usalama nyumbani kwake kumkamata na kisha kumbambika kesi ya Ugaidi kama zilivyo tawala nyingi za kiafrika. Alikaa gerezani kwa siku 118 hadi pale Wazungu walipoingilia kati, baadaye akafutiwa mashtaka .
Mpaka muda huu anaongoza kwa mbali sana kwenye mbio za Urais wa nchi hiyo , na huenda akatangazwa Rais Mpya wa Zambia muda wowote kuanzia sasa
USITHUBUTU KUJIMWAMBAFAI , MADARAKA NI DHAMANA YA MUDA MFUPI TU, TUTENDE HAKI JAMANI
UPDATES
=========
View attachment 1893046
CCM wanajua hilo ila kiburi chao kiko kwenye system ya sasa ya katiba ambayo inawawezesha kuiba Kadri wanavyopenda. Ndiyo maana mwaka jana tuliona Mwendazake aliamua kuacha kufanya kampeni Kusini akijua Mahela atafanya kazi yake.Liwe fundisho kwa CCM
Ndiyo ujinga waoCCM wanajua hilo ila kiburi chao kiko kwenye system ya sasa ya katiba ambayo inawawezesha kuiba Kadri wanavyopenda. Ndiyo maana mwaka jana tuliona Mwendazake aliamua kuacha kufanya kampeni Kusini akijua Mahela atafanya kazi yake.
Sio Mara ya kwanza ,wapinzani kushinda huko Zambia.Mwaka 1991 alishinda Chiluba.Akaanza kwa kumweka ndani Kaunda.Lakini mpaka leo wana uchumi mbovu tu.Hata Chadema wakishinda ni utopolo tu.Kazi ndio msingi wa maendeleo sio vyama kushinda.Kwa kweli huyu ni zaidi ya kijakazi cha Mbowe ni mtwana wa Mbowe.
Badala ya kuuliza gaidi mbowe anatoka lini lupango unauliza sabaya, nyumbu hovyo kabisa.Sabaya anatoka lini Lupango?
Usishangae Kama HH kaomba usaidizi wa chadema na kashinda inatosha.Nashangaa !!
Afrika inaamka kila mahaliView attachment 1892496
Mgombea Urais anayeongoza nchini Zambia wa Chama cha UPNDP Hichilema, alishashindwa uchaguzi wa Urais mara 5 nchini humo lakini hakukata tamaa, hii anayoongoza sasa ni mara ya 6.
Ni Mwanasiasa aliyeongoza kwa kunyanyaswa na Mamlaka wakisaidiwa na Polisi wa nchini Zambia, Taarifa zinaonyesha kwamba Mwaka 2017 Rais wa Zambia Edgar Lungu alituma vikosi vya Usalama nyumbani kwake kumkamata na kisha kumbambika kesi ya Ugaidi kama zilivyo tawala nyingi za kiafrika. Alikaa gerezani kwa siku 118 hadi pale Wazungu walipoingilia kati, baadaye akafutiwa mashtaka .
Mpaka muda huu anaongoza kwa mbali sana kwenye mbio za Urais wa nchi hiyo , na huenda akatangazwa Rais Mpya wa Zambia muda wowote kuanzia sasa
USITHUBUTU KUJIMWAMBAFAI , MADARAKA NI DHAMANA YA MUDA MFUPI TU, TUTENDE HAKI JAMANI
UPDATES
=========
View attachment 1893046
Dili na yako.Badala ya kuuliza gaidi mbowe anatoka lini lupango unauliza sabaya, nyumbu hovyo kabisa.